Mhasibu adaiwa kuiba mil. 48/-
MHASIBU wa Kampuni ya Afro Impex Limited, Paul Tarimo (31) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kujibu mashitaka ya wizi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo17 Jan
Ofisa Ugavi adaiwa kuiba karatasi za mil. 47
OFISA Ugavi, Flora Ntubika (41) leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa karatasi zenye thamani ya Sh milioni 47.4. Ntubika alifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashitaka mbele ya Hakimu Mkazi, Gabriel Mirumbe.
10 years ago
Mtanzania24 Nov
… Waziri wa JK adaiwa kuiba ripoti ya CAG
Rais Jakaya Kikwete
Na Bakari Kimwanga, Dodoma
JOTO la kashfa ya wizi wa Sh bilioni 306 katika Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa imefunguliwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), limeendelea kupanda mjini Dodoma, huku mmoja wa mawaziri waandamizi akidaiwa kuuiba ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na kunyofoa baadhi ya kurasa kisha kuzisambaza mitaani.
Tangu kuwasilishwa kwa ripoti ya CAG bungeni wiki iliyopita, kumeibuka makundi mawili yanayokinzana moja likitaka...
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Mtumishi adaiwa kuiba dawa hospitalini
11 years ago
Habarileo06 Mar
Mganga wa kienyeji adaiwa kuiba gari
MGANGA wa kienyeji, Yahaya Michael (34) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala kujibu mashitaka ya wizi wa gari.
10 years ago
Habarileo27 Oct
Mwanamke adaiwa kuiba mtoto kulinda ndoa
POLISI mkoani Rukwa wanamshikilia mkazi wa kitongoji cha Chanji, Manispaa ya Sumbawanga, Magreth Juma (34) akituhumiwa kuiba mtoto wa kike mwenye umri wa siku mbili ili asiachike katika ndoa yake, kwa kuwa hajabahatika kumzalia mtoto mumewe.
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Adaiwa kuiba kichanga ili kulinda ndoa
JESHI la polisi mkoani Rukwa linamshikilia Magreth Juma (34), mkazi wa mtaa wa Chanji Manispaa ya Sumbawanga kwa tuhuma za wizi wa mtoto mchanga wa siku mbili. Mtuhumiwa huyo, alikamatwa...
10 years ago
GPLSTEVEN KANUMBA ADAIWA KUIBA SIMU YA MSANII MAZOEZINI -3
9 years ago
Mtanzania14 Sep
Rick Ross adaiwa kuiba gari la mke wake
NEW YORK, MAREKANI
NYOTA wa muziki wa hip hop nchini Marekani, William Roberts ‘Rick Ross, amekanusha kuhusika katika wizi wa gari ya mke wake aina ya BMW B7 lililokuwa likitumiwa na mtoto wao mwenye umri wa miaka 9.
Msanii huyo na mke wake, Tia Kemp, walilinunua gari hilo kwa ajili ya mtoto wao kwenda nalo shule, lakini mara kwa mara Rick Ross alikuwa akipenda kulitumia kitendo kilichokuwa kikizua ugomvi kati yao wa mara kwa mara.
Mwishoni mwa wiki iliyopita gari hilo lilipotea katika...
11 years ago
Habarileo28 Jun
Wadaiwa kuiba sukari ya mil. 90/-
WATU 14 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Daer es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa mifuko 1,312 ya sukari yenye thamani ya Sh milioni 90.5.