Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mhasibu adaiwa kuiba mil. 48/-

MHASIBU wa Kampuni ya Afro Impex Limited, Paul Tarimo (31) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kujibu mashitaka ya wizi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Ofisa Ugavi adaiwa kuiba karatasi za mil. 47

OFISA Ugavi, Flora Ntubika (41) leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa karatasi zenye thamani ya Sh milioni 47.4. Ntubika alifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashitaka mbele ya Hakimu Mkazi, Gabriel Mirumbe.

 

10 years ago

Mtanzania

… Waziri wa JK adaiwa kuiba ripoti ya CAG

Rais Jakaya Kikwete

Rais Jakaya Kikwete

Na Bakari Kimwanga, Dodoma

JOTO la kashfa ya wizi wa Sh bilioni 306 katika Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa imefunguliwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), limeendelea kupanda mjini Dodoma, huku  mmoja wa mawaziri waandamizi akidaiwa kuuiba ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na kunyofoa baadhi ya kurasa kisha kuzisambaza mitaani.

Tangu kuwasilishwa kwa ripoti ya CAG bungeni wiki iliyopita, kumeibuka makundi mawili yanayokinzana moja likitaka...

 

10 years ago

Mwananchi

Mtumishi adaiwa kuiba dawa hospitalini

Polisi wilayani Rufiji, mkoani Pwani inamshikilia mtumishi wa hospitali ya wilaya ya Rufiji (jina linahifadhiwa) kwa tuhuma za wizi wa makopo 48 ya dawa za antibiotic katika hospitali hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Mganga wa kienyeji adaiwa kuiba gari

MGANGA wa kienyeji, Yahaya Michael (34) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala kujibu mashitaka ya wizi wa gari.

 

10 years ago

Habarileo

Mwanamke adaiwa kuiba mtoto kulinda ndoa

POLISI mkoani Rukwa wanamshikilia mkazi wa kitongoji cha Chanji, Manispaa ya Sumbawanga, Magreth Juma (34) akituhumiwa kuiba mtoto wa kike mwenye umri wa siku mbili ili asiachike katika ndoa yake, kwa kuwa hajabahatika kumzalia mtoto mumewe.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Adaiwa kuiba kichanga ili kulinda ndoa

JESHI la polisi mkoani Rukwa linamshikilia Magreth Juma (34), mkazi wa mtaa wa Chanji Manispaa ya Sumbawanga kwa tuhuma za wizi wa mtoto mchanga wa siku mbili. Mtuhumiwa huyo, alikamatwa...

 

10 years ago

GPL

STEVEN KANUMBA ADAIWA KUIBA SIMU YA MSANII MAZOEZINI -3

WIKI iliyopita tuliishia pale Kanumba alipokuwa akijifunza kuigiza. Alikutana na dokta Nyoni ambaye alimfundisha mbinu mbalimbali huku pia akiwa amejiunga na kikundi cha Maigizo cha Kaole.
ENDELEA MWENYEWE... Kwenye Kundi la Kaole, Kanumba alikutana na msanii mkongwe Bi. Mwenda aliyekuwa akimjua vizuri mapito yake. Aliweza kumsaidia kwa kiasi kikubwa kumtetea kwa wakurugenzi hadi wakamkubali.Bi. Mwenda alimpa mawaidha ya sanaa...

 

9 years ago

Mtanzania

Rick Ross adaiwa kuiba gari la mke wake

BET Hip Hop Awards 2012 - Audience and ShowNEW YORK, MAREKANI

NYOTA wa muziki wa hip hop nchini Marekani, William Roberts ‘Rick Ross, amekanusha kuhusika katika wizi wa gari ya mke wake aina ya BMW B7 lililokuwa likitumiwa na mtoto wao mwenye umri wa miaka 9.

Msanii huyo na mke wake, Tia Kemp, walilinunua gari hilo kwa ajili ya mtoto wao kwenda nalo shule, lakini mara kwa mara Rick Ross alikuwa akipenda kulitumia kitendo kilichokuwa kikizua ugomvi kati yao wa mara kwa mara.

Mwishoni mwa wiki iliyopita gari hilo lilipotea katika...

 

11 years ago

Habarileo

Wadaiwa kuiba sukari ya mil. 90/-

WATU 14 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Daer es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa mifuko 1,312 ya sukari yenye thamani ya Sh milioni 90.5.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani