Waiodaiwa kuiba mil. 155/- waachiwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imewaachia huru washitakiwa wawili waliokuwa wanakabiliwa na mashitaka ya kughushi na wizi wa Sh milioni 155.7 kupitia akaunti za benki.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo22 Jun
Rais Malawi aoa kwa mil. 155/-
BAADA ya miaka 30 ya kuishi bila ya ndoa, Rais mpya wa Malawi, Profesa Peter Mutharika (74), hatimaye amefunga pingu za maisha na mbunge wa zamani wa Jimbo la Balaka, Gertrude Maseko (54).
10 years ago
Dewji Blog18 Oct
TUNAJALI wawajali wanawake na vifaa tiba vya mil 155/-
Na...
10 years ago
Tanzania Daima17 Oct
Watuhumiwa kujipatia mil. 128 kwa udanganyifu waachiwa huru
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewaachia huru watu wawili waliokuwa wakikabiliwa na kosa la kujipatia sh milioni 128.3 kwa njia ya udanganyifu pamoja na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa simu....
11 years ago
Habarileo28 Jun
Wadaiwa kuiba sukari ya mil. 90/-
WATU 14 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Daer es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa mifuko 1,312 ya sukari yenye thamani ya Sh milioni 90.5.
10 years ago
Habarileo28 Aug
Mhasibu adaiwa kuiba mil. 48/-
MHASIBU wa Kampuni ya Afro Impex Limited, Paul Tarimo (31) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kujibu mashitaka ya wizi.
11 years ago
Habarileo02 Jul
Kizimbani akidaiwa kuiba Sh mil 19.6/-
MKAZI wa Igoma, Mwanza, Leticia Moses (36) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa Sh milioni 19.6.
11 years ago
Habarileo17 Jan
Ofisa Ugavi adaiwa kuiba karatasi za mil. 47
OFISA Ugavi, Flora Ntubika (41) leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa karatasi zenye thamani ya Sh milioni 47.4. Ntubika alifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashitaka mbele ya Hakimu Mkazi, Gabriel Mirumbe.
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Polisi 14 nguvuni kwa kuiba mali ya Sh900 mil
11 years ago
Tanzania Daima27 May
155 wakamatwa wakihusishwa Panya Road
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imewakamata watu 155 kwa tuhuma za kujihusisha na kundi la uhalifu la Panya Road. Kundi hilo wiki iliyopita lilivamia maeneo mbalimbali ya Dar...