Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapigakura 504,133 kuamua Rais wa Z’bar

zecNa Mwandishi Wetu, Zanzibar

WAZANZIBAR 504,133, wanatarajia kutoa uamuzi kwa kupiga kura ya kuamua nani awe rais wa Zanzibar kati ya wagombea 14 waliojitokeza kuwania nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, mwaka huu.

Akizungumza na MTANZANIA ofisini kwake Maisara jana, Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Salum Kassim Ali, alisema idadi hiyo imepatikana baada ya kukamilika kazi ya uandikishaji wapigakura wapya pamoja na uhakiki wa kuwaondoa watu waliofariki dunia.

Alisema kazi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Rais: Wanigeria kuamua kesho

Raia wa Nigeria kesho wanatarajiwa kujitokeza katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo

 

9 years ago

Mwananchi

Siri ya ushindi: Mikoa tisa kuamua rais

Mikoa tisa ndiyo itakayoamua mshindi wa kinyang’anyiro cha urais, Mwananchi inaweza kukuthibitishia.

 

10 years ago

To Examiners, Invigilators

Zanzibar Owes 133 Million/


Zanzibar Owes 133 Million/ - to Examiners, Invigilators
AllAfrica.com
Zanzibar — THE Zanzibar Ministry of Education and Vocational Training said here yesterday that it still owes 133m/- to examination markers, moderators and invigilators who worked in the past exams, to the disappointment of lawmakers. This was revealed by ...

 

10 years ago

In Losses

Vandalism causes Shinyanga TTCL 133.2m/


Vandalism causes Shinyanga TTCL 133.2m/- in losses
IPPmedia
Door to door inspections are to be conducted across Shinyanga Region as authorities report increasing theft and vandalism of telecommunication infrastructures there that has caused Tanzania Telecommunications Company Limited (TTCL) some 133.2 m/- ...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Idadi ya waliopoteza maisha yafikia 366, kutoka 133

Italia imeripoti ongezeko la vifo vitokanavyo na virusi vya corona kutoka 133 hadi 366, mamilioni walazimika kufuata taratibu mpya kuzuia maambukizi zaidi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Zoezi la uboreshwaji daftari la wapigakura laendelea mkoani Pwani, Rais Jakaya Kikwete ajiandikisha kupiga kura kwa kutumia BVR kijijini Msoga

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia mfumo mpya wa kielektoniki(Biometric Voters Register( BVR) katika kijiji cha Msoga,kata ya Msoga wilayani Bagamoyo jana.Kulia akiangalia kwa makini ni mwandikishaji msaidizi Bi.Happyness Thomas Misana na katikati ni Afisa TEHAMA kutoka ofisi Tume ya Taifa Uchaguzi Bi.Mariam Rajabu.Kushoto aliyesimama akishuhudia ni Mbunge wa Chalinze Ridhwani Kikwete.

Afisa TEHAMA kutoka ofisi ya Tume ya...

 

9 years ago

Habarileo

Maimamu Z’bar wampongeza Rais Magufuli

JUMUIYA ya Maimamu Zanzibar (Jumaza) kwa kushirikiana na taasisi za Kiislamu wamepongeza juhudi zinazochukuliwa na Rais John Magufuli za kuleta suluhu ya kudumu ya Zanzibar katika mazungumzo yanayowashirikisha viongozi wakuu wa vyama vya siasa na marais wastaafu.

 

9 years ago

Habarileo

Shein: Mimi bado rais halali Z’bar

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, amesema yeye bado ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar huku akiwataka wasioamini katiba hiyo, wapeleke shauri hilo Mahakama Kuu ya Zanzibar yenye uwezo pekee wa kutafsiri katiba.

 

9 years ago

Mwananchi

Shein amweleza Rais Magufuli hatima ya Z’bar

Rais John Magufuli amefanya mazungumzo na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk Ali Mohamed Shein yaliyolenga kupatiwa mwenendo wa utatuzi wa mkwamo wa kisiasa ulitokea baada ya Uchaguzi Mkuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani