Wapigakura 504,133 kuamua Rais wa Z’bar
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
WAZANZIBAR 504,133, wanatarajia kutoa uamuzi kwa kupiga kura ya kuamua nani awe rais wa Zanzibar kati ya wagombea 14 waliojitokeza kuwania nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, mwaka huu.
Akizungumza na MTANZANIA ofisini kwake Maisara jana, Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Salum Kassim Ali, alisema idadi hiyo imepatikana baada ya kukamilika kazi ya uandikishaji wapigakura wapya pamoja na uhakiki wa kuwaondoa watu waliofariki dunia.
Alisema kazi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
Uchaguzi wa Rais: Wanigeria kuamua kesho
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Siri ya ushindi: Mikoa tisa kuamua rais
10 years ago
To Examiners, Invigilators09 Jun
Zanzibar Owes 133 Million/
AllAfrica.com
Zanzibar — THE Zanzibar Ministry of Education and Vocational Training said here yesterday that it still owes 133m/- to examination markers, moderators and invigilators who worked in the past exams, to the disappointment of lawmakers. This was revealed by ...
10 years ago
In Losses21 Aug
Vandalism causes Shinyanga TTCL 133.2m/
IPPmedia
Door to door inspections are to be conducted across Shinyanga Region as authorities report increasing theft and vandalism of telecommunication infrastructures there that has caused Tanzania Telecommunications Company Limited (TTCL) some 133.2 m/- ...
5 years ago
BBCSwahili09 Mar
Coronavirus: Idadi ya waliopoteza maisha yafikia 366, kutoka 133
10 years ago
Dewji Blog09 Jul
Zoezi la uboreshwaji daftari la wapigakura laendelea mkoani Pwani, Rais Jakaya Kikwete ajiandikisha kupiga kura kwa kutumia BVR kijijini Msoga
![](http://1.bp.blogspot.com/-fqx6KUK-GfE/VZvay-k9RdI/AAAAAAAHnkk/mdbvjlqUoUY/s640/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia mfumo mpya wa kielektoniki(Biometric Voters Register( BVR) katika kijiji cha Msoga,kata ya Msoga wilayani Bagamoyo jana.Kulia akiangalia kwa makini ni mwandikishaji msaidizi Bi.Happyness Thomas Misana na katikati ni Afisa TEHAMA kutoka ofisi Tume ya Taifa Uchaguzi Bi.Mariam Rajabu.Kushoto aliyesimama akishuhudia ni Mbunge wa Chalinze Ridhwani Kikwete.
![](http://4.bp.blogspot.com/-pSNrhvcekYU/VZvardPvU5I/AAAAAAAHnkI/feqVw7MiFDs/s1600/unnamed%2B%252885%2529.jpg)
Afisa TEHAMA kutoka ofisi ya Tume ya...
9 years ago
Habarileo07 Jan
Maimamu Z’bar wampongeza Rais Magufuli
JUMUIYA ya Maimamu Zanzibar (Jumaza) kwa kushirikiana na taasisi za Kiislamu wamepongeza juhudi zinazochukuliwa na Rais John Magufuli za kuleta suluhu ya kudumu ya Zanzibar katika mazungumzo yanayowashirikisha viongozi wakuu wa vyama vya siasa na marais wastaafu.
9 years ago
Habarileo07 Jan
Shein: Mimi bado rais halali Z’bar
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, amesema yeye bado ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar huku akiwataka wasioamini katiba hiyo, wapeleke shauri hilo Mahakama Kuu ya Zanzibar yenye uwezo pekee wa kutafsiri katiba.
9 years ago
Mwananchi27 Dec
Shein amweleza Rais Magufuli hatima ya Z’bar