UDOM yazalisha wataalamu wa mafuta
CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) Juni mwaka huu kitatoa wataalamu wake wa kwanza wa masuala ya mafuta, kikiwa ndio chuo cha kwanza kuzalisha wahandisi wa petroli nchini. Akizungumza na gazeti hili, Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Prof Idrisa Kikula alisema kuwa ufundishaji wa masuala ya petroli utakwenda sambamba na wa masuala ya gesi, kwa kuwa programu hiyo inahusu nishati hizo mbili kwa pamoja.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Mzumbe Dar kusomesha wataalamu gesi, mafuta
CHUO Kikuu Mzumbe, Kampasi ya Dar es Salaam, kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Stellenbosch, Afrika ya Kusini, kinaandaa mitaala ya programu ya shahada ya uzamili katika menejimenti ya miradi...
11 years ago
Habarileo21 Dec
Chuo Kikuu Mzumbe kufunda wataalamu mafuta na gesi
CHUO Kikuu Mzumbe, Kampasi ya Dar es Salaam, kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Stellenbosch, cha Afrika Kusini kinaandaa mitaala ya programu ya shahada ya uzamili katika menejimenti ya miradi mikubwa ya sekta za madini, gesi na mafuta.
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Kigoma yazalisha tani 5,000 za tumbaku
MKOA wa Kigoma unazalisha tumbaku zaidi ya tani 5,000 kwa mwaka. Naibu waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Adam Malima alitoa kauli hiyo bungeni mjini hapa jana akijibu swali la...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ovEfPauQmFo/VUKsJ9rBw_I/AAAAAAAHUak/zFFDqECj9Ag/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
Zaidi ya wanafunzi 60,000 wa UDOM kufurahia Airtel WI-FI - Airtel yazinduzi mnara wa pili UDOM
![](http://4.bp.blogspot.com/-ovEfPauQmFo/VUKsJ9rBw_I/AAAAAAAHUak/zFFDqECj9Ag/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5Xo0SpqrF7E/VUKsKXlPpMI/AAAAAAAHUao/Xu0zraAuctc/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BSuXIHP3ZuQ/VUKsKVRqL_I/AAAAAAAHUas/6Tq65ZnsvSc/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
10 years ago
VijimamboMamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), imepunguza bei za mafuta kote nchini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J8nPCmTttsU/XrpavNnuVVI/AAAAAAALp3A/Tkm_GdJVX8snL2--OHwlxbDJYszmi0DegCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B3.jpg)
EWURA yapewa siku 10 kupitia bei za mafuta katika maghala ya kuhifadhi na kupokea mafuta.
![](https://1.bp.blogspot.com/-J8nPCmTttsU/XrpavNnuVVI/AAAAAAALp3A/Tkm_GdJVX8snL2--OHwlxbDJYszmi0DegCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B3.jpg)
Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani (wa pili kulia)akipita kukagua mazingira ya ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP, alipofanya ziara katika eneo hilo mkoani Tanga, Mei 10, 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-KizeE0XqwiY/XrpavnCZSHI/AAAAAAALp3E/OlsgDnTG8EMM_llMxefz8sbypBsgsCgIACLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B4.jpg)
Shehena ya Mafuta ikiwa imepakiwa katika matangi tayari kwa kusafirishwa,hapa ni katika ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP mkoani Tanga, Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani, alifanya ziara katika eneo hilo, Mei 10,2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rZ963RWU-wc/Xrpav5vjNDI/AAAAAAALp3I/cn3LiMHp6nEX5Ttle59mKCBn02Mo6fiGQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B5.jpg)
Baadhi ya mapipa makubwa ya kuhifadhia mafuta...
9 years ago
AllAfrica.Com24 Aug
Udom to Honour Kikwete
AllAfrica.com
Management and students of University of Dodoma (UDOM) have planned a grand reception to honour President Jakaya Kikwete for his support towards the establishment of the university. UDOM Vice-Chancellor, Prof Idris Kikula, made the revelation at the ...
11 years ago
Habarileo17 Jun
Wahadhiri Udom wagoma
WAHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wamegoma kusimamia mitihani wakishinikiza malipo ya posho za usimamizi wanazodai tangu muhula wa masomo uliopita. Mgomo wa wanataaluma hao wa Shule ya Sayansi ya Jamii katika chuo hicho, umeathiri wanafunzi zaidi ya 2,000 waliokuwa wafanye mtihani jana.
10 years ago
Habarileo15 Jan
Wanafunzi 84 UDOM mbaroni
WANAFUNZI 84 wa Chuo Kikuu UDOM wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani chuoni hapo.