Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufaransa yaeleza wasiwasi kuhusu hali Burundi

Ufaransa imependekeza hatua zichukuliwe kusitisha mauaji ambayo yamekuwa yakiendelea nchini Burundi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi kuhusu hali nchini Somalia

Maafisa wa Marekani na EU wanafanya mkutano wa dharura na Rais wa Somalia, Hassan Mohamoud, kujadili hali ya usalama inayoendelea kuzorota nchini humi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Korea kupunguza hali ya wasiwasi mpakani

Korea kaskazini na Kusini zimefikia makubaliano ya kupunguza hali ya wasiwasi iliyopo mpakani mwa nchi hizo mbili.

 

10 years ago

GPL

MAFURIKO YAITIKISA DAR, HALI YA WASIWASI YAZIDI KUTANDA

Eneo la Sayansi lilivyoathiriwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha. Eneo la Tandale. Maji yakiwa yamejaa kwenye nyumba.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi wa UN kuhusu CAR

Naibu mkuu wa UN ameelezea wasiwasi kuhusu hali katika Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, akitaka kikosi maalum cha amani kupelekwa nchini humo

 

9 years ago

StarTV

Hali Ya Kisiasa Burundi  Serikali ya Burundi yakubali usuluhishi

 

Rais John Magufuli amefanya mazungumzo na Spika wa Seneti na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Burundi Reverien Ndikuriyo Ikulu jijini Dar es Salaam kuhusu hali ya kisiasa na usalama nchini Burundi na jitihada zinazochukuliwa na Tanzania ikiwa ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Akiwasilisha ujumbe wa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi kuhusu hali ya Burundi, Spika Ndikuriyo amesema Serikali ya Burundi ipo tayari kufanya mazungumzo na wadau wote wa siasa kuhusu hali ya nchi hiyo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi wa Facebook kuhusu udukuzi

Mwanzilishi wa Facebook Mark Zuckerberg amesema kuwa amezungumza na Rais Barack Obama kumwelezea kero lake kuhusu udukuzi unaofanywa na serikali kwa mitambo ya Dijital.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi wa vijana kuhusu katiba TZ

Baadhi ya vijana wameonyesha wasiwasi wao juu ya kuvunjika kwa muungano wa Tanzania bara na Zanzibar.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi kuhusu wanafunzi waliotekwa Nigeria

Hali ya wasiwasi imetanda kuhusu zaidi ya wasichana 100 waliotekwa nyara na washukiwa wa kundi la wapiganaji la Boko Haram

 

9 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi watanda Zanzibar kuhusu matokeo

Nchini Tanzania, maafisa wanaohusika na uchaguzi kwa siku ya pili wamekuwa wakihesabu kura.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani