Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufundi nao kukopeshwa

Serikali imeahidi kuangalia utaratibu wa kuanzisha mfumo wa kugharimia elimu ya ufundi nchini ili kuwawezesha wanafunzi kupata mikopo kama wa elimu ya juu. Lengo likiwa ni kuwapata wataalamu wa kutosha katika viwanda na sekta nyingine.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wastaafu kukopeshwa

BENKI ya Posta Tanzania kwa kushirikiana na Mfuko wa Pensheni wa LAPF, wamezindua mpango maalumu wa kutoa mikopo kwa wastaafu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wakulima kukopeshwa pembejeo

SERIKALI imeanzisha utaratibu wa kuvikopesha pembejeo za ruzuku vikundi vya wakulima kupitia vyama vyao vya ushirika kuanzia msimu ujao wa kilimo 2014/2015. Hatua hiyo, imechukuliwa ili kukabiliana na vitendo vya...

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi vyuoni kuendelea kukopeshwa

SERIKALI imesisitiza kuwa itaendelea kutoa mikopo ya elimu ya juu kwa wanafunzi wote wenye sifa za kujiunga na vyuo mbalimbali vya elimu bila ubaguzi au kujali kuwa mwanafunzi aliyechaguliwa anakwenda kusoma chuo binafsi au cha serikali.

 

11 years ago

Habarileo

Wanachama LAPF kukopeshwa wasome

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (LAPF) umeanzisha huduma mpya ambayo itasaidia wananchama wake wenye mipango ya kupata elimu ya juu kuweza kujipatia mikopo kwa ajili ya kufanikisha adhama hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Wastaafu kuanza kukopeshwa fedha

Wastaafu wanatarajiwa kuanza kunufaika na mikopo ya fedha baada ya zaidi ya Sh13 bilioni zilizotengwa kwa ushirikiano wa taasisi za fedha kuanza kutolewa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nundu kuwapigania vijana, kinamama kukopeshwa

MBUNGE wa Tanga, Omari Nundu, amesema ataishawishi Halmashauri ya Jiji la Tanga  kutenga sh milioni 500 kwenye bajeti yake ya mwaka 2015/2016 kwa ajili ya kuwakopesha  kinamama na vijana, ili...

 

11 years ago

Habarileo

Watoa huduma NHIF kukopeshwa bililioni 10/-

 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Hamis MdeeBODI ya Wakurugenzi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), imeidhinisha Sh bilioni 10 kwa ajili ya kuwakopesha watoa huduma ili waweze kupata vifaa tiba na kukarabati maeneo yao ya kutolea huduma.

 

9 years ago

Mwananchi

HESLB: Wenye sifa ya kukopeshwa wamepata wote

Siku tatu baada ya wanafunzi waliokosa mikopo ya kujiunga na elimu ya juu kujitokeza katika ofisi ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB), wakishinikiza kushughulikiwa madai yao, uongozi wa Bodi hiyo umesema kundi la wanafunzi wote waliokuwa na sifa ya kupata mikopo wameshapata.     

 

10 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa mafunzo ufundi- 4

Leo nahitimisha mfululizo wa makala kuhusu umuhimu wa mafunzo ya ufundi nchini. Ingawa utafiti wangu ulibaini kuwa wasailiwa wengi walithamini jitihada za Serikali katika kuboresha elimu na mafunzo ya ufundi nchini, bado kuna mengi ambayo Serikali kama mdau mkuu katika elimu na mafunzo ya ufundi inatakiwa ifanye.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani