Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UGONJWA WA GENITAL WARTS KWA WANAWAKE

Ugonjwa wa Genital Warts ni hali ya kuota vinyama kwenye ngozi au utando laini unaozunguka maeneo ya siri, ni ugonjwa unaoenezwa kwa njia ya kujamiiana (sexually transmitted infection kifupi STI).
Ugonjwa huu unaweza kutokea kwenye uume, uke, mrija wa mkojo (urethra), shingo ya kizazi (cervix) au maeneo ya kuzunguka njia ya haja kubwa au ndani yake. Ugonjwa huu husababishwa na jamii ya virusi wanaoitwa kitaalamu Human...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

KUTOKWA NA VINYAMA SEHEMU ZA SIRI (GENITAL WARTS) KWA WANAWAKE-2

Tunaendelea kuchambua ugonjwa wa kutokwa na vinyama sehemu za siri kabla ya kuelezea tiba yake, tuangalie dalili zake. Wiki iliyopita tulieleza dalili za ugonjwa huu. Tukasema mojawapo ni kuota vinyama vidogo au Genital Warts huonekana kama vioteo laini vinavyojitokeza juu ya ngozi ingawa wakati mwingine vinaweza kuwa vidogo mno kiasi cha kutoweza kuonekana vizuri kwa macho ya kawaida. Tukasema dalili nyingine ni mgonjwa kuwa na...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Warts’ ugonjwa unaoathiri sehemu za siri za wanaume, wanawake

Ni ugonjwa ambao pia unaweza ukatokea kwenye kiungo chochote cha mwili kama vile usoni na mikononi.

 

10 years ago

GPL

UGONJWA KWENYE KIBOFU KWA WANAWAKE-2

Mfano ni ukuaji wa viungo kama matiti na kupata hedhi. Pia wanawake wenye uzito wa zaidi ya kilo 70 wana hatari kubwa zaidi ya kupata ‘fibroids’ kutokana na kiwango kikubwa cha ‘oestrogen’ katika umri huo. Zamani ‘fibroids’ ingeweza kusababishwa na matumizi ya vidonge vya uzazi wa mpango kwa sababu vidonge hivyo vilikuwa na kiwango kikubwa cha ‘oestrogen.’ Hivi sasa vidonge hivi...

 

10 years ago

GPL

UGONJWA KWENYE KIBOFU KWA WANAWAKE

Kwa wanawake tatizo lao kubwa la sehemu za kibofu ni ‘Fibroid’ ambao ni uvimbe katika sehemu za uzazi (uterus) ambapo hutengenezwa na kambakamba zilizofungamana (muscle fibre). ‘Fibroid’ huanza kwa ukubwa kama punje ya njugu mawe lakini huweza kukua na kuwa kama boga.
 Huwapata kwa asilimia tano wanawake wenye umri kati ya miaka 20 hadi 30, asilimia karibu 20 kwa wenye umri kati ya miaka 30 hadi 40,...

 

10 years ago

Vijimambo

Talaka Hupelekea Ugonjwa wa Mshtuko wa Moyo Hasa kwa Wanawake


Watu walio katika talaka wana uwezekano mkubwa wa kupatwa na ugonjwa wa mshtuko wa moyo ukilinganisha na wenzao ambao bado wako katika ndoa ,kulingana na utafiti nchini Marekani.Utafiti uliofanyiwa watu 15,827 unaonyesha kuwa wanawake ndio walioathirika zaidi na kwamba hupunguza hatari hiyo baada ya kuolewa tena.Utafiti huo uliochapishwa katika jarida la Journal unasema kuwa msongo wa mawazo kupitia kiasi unaohusishwa na talaka una athari za mda mrefu katika mwili.

Wakfu wa moyo nchini...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Kwa nini ugonjwa huo ni hatari zaidi kwa wanaume zaidi ya wanawake

Wanaume wengi wamekutwa na ugonjwa huo zaidi na wanaonekana kupatwa na maafa mabaya.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Wanawake 20,000 wana ugonjwa wa fistula Tanzania’

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema kuwa takwimu zinaonyesha kwamba wanawake 20,000 nchini wanaishi na ugonjwa wa Fistula.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani