UGONJWA KWENYE KIBOFU KWA WANAWAKE-2
![](http://api.ning.com:80/files/HMrNkLH2ZKOBYI4bSvmJ-LNz1ZTAOznx2TTdck70eKyrVmF5mSU02KDzrfGOdUq4qZIO8maB8JBjYhL2pPlBmXwNkAWmn141/UrinaryTractInfection.jpg)
Mfano ni ukuaji wa viungo kama matiti na kupata hedhi. Pia wanawake wenye uzito wa zaidi ya kilo 70 wana hatari kubwa zaidi ya kupata ‘fibroids’ kutokana na kiwango kikubwa cha ‘oestrogen’ katika umri huo. Zamani ‘fibroids’ ingeweza kusababishwa na matumizi ya vidonge vya uzazi wa mpango kwa sababu vidonge hivyo vilikuwa na kiwango kikubwa cha ‘oestrogen.’ Hivi sasa vidonge hivi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvtQjN*2fZ7YmhvM3XQpMlHbV8CT8dOrNUtFFYAcAGWmKdDXynWFEqxZwTLWnJswIfjTu1gJFCUQZNJEVtgzz5rb/uti.png)
UGONJWA KWENYE KIBOFU KWA WANAWAKE
10 years ago
Mwananchi26 Sep
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIlOcac7kuAVUgqy9Vj7bPmCVL60h1HLPBBhJuWwmOv59M1RpxgsLcWqoTt12XL6GPrHyzlAQKAzXmIzS-U1RsFD/SideEffectsofLaserGenitalWartRemoval.jpg?width=650)
UGONJWA WA GENITAL WARTS KWA WANAWAKE
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-mBjhe3EVbeI/VS6YTMtCgAI/AAAAAAAAGTk/SJeHGfelUMM/s72-c/Black-Couple-Arguing-pointing.jpg)
Talaka Hupelekea Ugonjwa wa Mshtuko wa Moyo Hasa kwa Wanawake
![](http://2.bp.blogspot.com/-mBjhe3EVbeI/VS6YTMtCgAI/AAAAAAAAGTk/SJeHGfelUMM/s1600/Black-Couple-Arguing-pointing.jpg)
Watu walio katika talaka wana uwezekano mkubwa wa kupatwa na ugonjwa wa mshtuko wa moyo ukilinganisha na wenzao ambao bado wako katika ndoa ,kulingana na utafiti nchini Marekani.Utafiti uliofanyiwa watu 15,827 unaonyesha kuwa wanawake ndio walioathirika zaidi na kwamba hupunguza hatari hiyo baada ya kuolewa tena.Utafiti huo uliochapishwa katika jarida la Journal unasema kuwa msongo wa mawazo kupitia kiasi unaohusishwa na talaka una athari za mda mrefu katika mwili.
Wakfu wa moyo nchini...
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya Corona: Kwa nini ugonjwa huo ni hatari zaidi kwa wanaume zaidi ya wanawake
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xMwNWWaa9t0/XpGs6RGOTNI/AAAAAAALmyU/4PNGXXBdz6ozfdgI8mX2LAe0DXCjjnSWgCLcBGAsYHQ/s72-c/bizo.jpg)
UGONJWA WA MATUNDU KWENYE MOYO NI MIONGONI MWA MAGONJWA HATARISHI KWA WATOTO WACHANGA
NA PATRICIA KIMELEMETA
UGONJWA wa matundu kwenye moyo kwa watoto wachanga ni miongoni mwa magonjwa hatarishi ambayo yanaweza kusababisha udumavu au wakati mwingine kifo Kwa mtoto.
Ugonjwa huo ambao unaathiri kuta za ventrikali za moyo au kwa kitaalamu ujulikana kama (Ventricular Septal Defect) (VSD) unashambulia moyo wa mtoto jambo ambalo linaweza kumuongezea maradhi mengine.
Mtoto mwenye matatizo hayo,anaweza kubainika mara baada ya kufanyiwa vipimo ambapo kwa sasa hali inaonyesha kuwa,...
10 years ago
Dewji Blog19 Apr
Kwa wanaume na wanawake walio kwenye ndoa tu ! kwa wanaotaraji kupata watoto
Pichani ni mwanadada, Hamisa Mabeto ambaye hivi karibuni amebahatika kupata mtoto. Awali ujauzitowa Hamisa Mabeto haukujulikana hadi pale alipopiga picha maalum za mavazi ya ujauzito ambazo zilisambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, ambapo hata hivyo baad ya kusambaa kwa picha hizo, siku chache, Hamisa alijifungua mtoto wake.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Msomaji wa Modewji blog, unaendelea kuperuzi leo tumewaletea dondoo kidogo katika suala la kuhimarisha familia ndani ya nyumba....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Djne6x46ODY/Xu8jB7KTDJI/AAAAAAALuzA/alONzZnzPOkZrjfL3IqvZvmQvI0d92moACLcBGAsYHQ/s72-c/National_Electoral_Commission_%2528Tanzania%2529_Logo.png)
SHERIA ZA UCHAGUZI ZINAZOJIKITA KWENYE MRENGO WA JINSI YA USHIRIKI WA WANAWAKE KATIKA UONGOZI,WENYE AZMA YA UPATIKANAJI WA HAKI ZA WANAWAKE.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Djne6x46ODY/Xu8jB7KTDJI/AAAAAAALuzA/alONzZnzPOkZrjfL3IqvZvmQvI0d92moACLcBGAsYHQ/s200/National_Electoral_Commission_%2528Tanzania%2529_Logo.png)
Mtandao wa wanawake,Katiba,Uongozi na Uchaguzi,kwa udhamini wa mfuko wa wanawake Tanzania(WFT)hivi karibuni uliendesha mada ya uchambuzi wa sheria tano za uchaguzi zilizojikita kwenye wa mrengo wa jinsi ya ushiriki wa wanawake katika uongozi unaolenga kwenye azma ya upatikanaji wa haki za wanawake na ujenzi wa nguvu za pamoja katika kuendeleza utetezi wa ukombozi wa kimapinduzi
Mkutano huo ulifanyika kwa njia ya mtandao wa zoom ulioendeshwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko...