Uhaba wa madarasa wakosesha Wanafunzi 16,482 kuingia sekondari
>Serikali imetangaza idadi ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza mwakani, huku 16,482 wakishindwa kuchaguliwa kutokana na uhaba wa madarasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziTANAPA YAKABIDHI MADARASA MAWILI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NKOARISAMBU-ARUMERU
10 years ago
MichuziWAMA YAKABIDHI MAJENGO YA MADARASA SHULE YA SEKONDARI NYAMISATI MKOA WA PWANI WILAYA YA RUFIJI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Sekondari ya Nainokanoka yalia uhaba walimu wa sayansi
SHULE ya Sekondari ya Nainokanoka wilayani hapa Mkoa wa Arusha inakabiliwa na ukosefu wa walimu wa masomo ya sayansi licha ya kuwa na mchepuo huo. Hayo yamebainishwa na Kaimu Mkuu...
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Wanafunzi darasa la kwanza hadi la saba wasomea madarasa matatu
10 years ago
Habarileo21 Sep
52 kortini kwa kuwazuia watoto kuingia sekondari
WAZAZI 52 katika Wilaya ya Kisarawe wamefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo kutokana na kuwazuia watoto wao kuendelea na elimu ya kidato cha kwanza mwaka huu.
10 years ago
GPLAIRTEL YATATUA CHANGAMOTO ZA UHABA WA VITABU VYA SAYANSI KATIKA SHULE YA SEKONDARI MUKULATI MKOANI ARUSHA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cMWxpucSd30/VEju5VLEdoI/AAAAAAAGs5s/lPk-JM7SAe0/s72-c/unnamed%2B(92).jpg)
Airtel yatatua changamoto za uhaba wa vitabu vya sayansi Katika shule ya Sekondari Mukulati Mkoani Arusha
Licha ya Kada ya sayansi kuwa ndio chimbuko kubwa la wataalamu wengi katika fani mbalimbali bado inatajwa kutofanya vizuri kutokana na uhaba wa miundombinu na vifaa stahiki ambayo ni muhimu kwa maendeleo ya kada hiyo.
Meneja wa Airtel...
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Aug
Wanafunzi St.Joseph wagoma kuingia darasani
NA SHAABAN MDOE,ARUSHA
ZAIDI ya wanafunzi 350 wa Chuo Kikuu Cha Mtakatifu Joseph, tawi la Arusha, wamegoma kuingia madarasani kwa madai ya kufundishwa kwa mitalaa kutoka nchini India.
Mbali na hilo, wanafunzi hao ambao wanasomea ualimu, wanadai kufundishwa na walimu wenye fani ya uhandisi na kwamba huimbishwa nyimbo za darasa la kwanza, pili na tatu.
Kiongozi wa Chuo hicho, Bwigane Mwaipaja, alisema tokea mwanzo wa muhula wa masomo, walibaini kuwepo kwa mitaala tofauti katika chuo hicho.
Alisema...
10 years ago
Vijimambo08 Oct
FNB YAKABIDHI MADARASA BAADA YA KUFANYIA UKARABATI NA MADAWATI NA MIKOBA YA SHULE KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MSASANI B
![](https://3.bp.blogspot.com/-8ODlrrxpUIo/VDRJ42tYilI/AAAAAAAAOt4/NIP3B_E-UbQ/s1600/IMG_8488fnb.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-ScVFR97yrXU/VDRKJLbdYFI/AAAAAAAAOuA/s9-IdQPPTQU/s1600/IMG_8950fnb.jpg)