UHAMIAJI YASHIRIKI KATIKA MAONYESHO YA KARIBU TRAVEL MARKET FAIR, JIJINI ARUSHA
Waziri wa Utalii na Mali Asili, Mhe. Lazaro Nyalandu (Mb.) akisikiliza kwa makini maelezo kutoka kwa Afisa Uhamiaji, Rosemarry Mkandala wakati alipotembelea Banda la Idara ya Uhamiaji mara baada ya kufungua rasmi Maonesho ya Utalii “Karibu Travel Market Fair” mnamo tarehe 29.05.2015 yaliyofanyika katika viwanja vya Kisongo nje kidogo ya jiji la Arusha.
Waziri wa Utalii na Mali Asili, Mhe. Lazaro Nyalandu (Mb.) akipokea machapisho mbali mbali yanayolenga kuelimisha jamii taratibu za Utoaji wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zlte5cjWeSY/U3zGtFtzK2I/AAAAAAAFkLs/iiE8YJWVd_4/s72-c/PSPF1.jpg)
PSPF yashiriki katika maonyesho ya TCU jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-zlte5cjWeSY/U3zGtFtzK2I/AAAAAAAFkLs/iiE8YJWVd_4/s1600/PSPF1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YFUl7Tmymdw/U3zGtqOaMFI/AAAAAAAFkL4/gfYEHmUR0EM/s1600/PSPF2.jpg)
11 years ago
AllAfrica.Com26 May
Karibu Travel Market Show On Track Despite Atta
AllAfrica.com
The Tanzania Association of Tour Operators (TATO) is considering legal action against the African Tourism and Travel Association (ATTA) over the latter's "slanderous statement" against the Karibu Travel Market show. A fortnight ago, ATTA posted a piece on ...
11 years ago
ETurboNews09 Jun
Karibu Travel Market Tanzania ends on a high note
eTurboNews
eTurboNews
East Africa's premier international travel trade show, the Karibu Travel Market Tanzania (KTMT), ended yesterday in Arusha with exhibitors reportedly happy with the interest shown in Tanzania and East Africa at large by buyers who had come to attend the ...
Karibu Travel Market lays accent on curbing poachingIPPmedia
Expert: More efforts needed to stop poaching in E. AfricaDaily News
all 3
10 years ago
VijimamboBOHARI YA DAWA (MSD) YASHIRIKI MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
MichuziNSSF YASHIRIKI MAONYESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA ABITAT JIJINI DAR ES SALAAM
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-PvNtkUyR8po/XlUHUPRbFdI/AAAAAAACzYw/OaQ0wCFw360AKmyq23086MHCPsS8MN8DwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
TANZANIA YASHIRIKI KWA MARA YA KWANZA KATIKA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA BIDHAA ZA KILIMO YA PARIS 2020, UFARANSA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PvNtkUyR8po/XlUHUPRbFdI/AAAAAAACzYw/OaQ0wCFw360AKmyq23086MHCPsS8MN8DwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Tanzania inashiriki kwa mara ya kwanza katika Maonesho ya Kimataifa ya Bidhaa za Kilimo ya Paris 2020 yanayofanyika jijini Paris, Ufaransa kuanzia tarehe 22 Februari 2020 hadi tarehe 1 Machi 2020.
Maonesho hayo ambayo yalifunguliwa na Mhe. Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, yanatarajiwa kutembelewa na zaidi ya watu 600,000.
Wakati wa maonesho hayo, Tanzania itapata fursa ya kuonyesha bidhaa zake yakiwemo mazao ya kimkakati. Ujumbe wa Tanzania katika maonyesho hayo unaongozwa na Bw. Victor...
10 years ago
MichuziWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI YASHIRIKI MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA YANAYOENDELEA KATIKA VIWANYA VYA MNAZI MMOJA
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WQmW-JKa2zo/U5CwtDylOmI/AAAAAAAFn6M/Mq2aSTh0uZ0/s72-c/PazaSauti-show_500.png)
Karibu kiwanja cha Via Via jijini Arusha Jumamosi hii
![](http://3.bp.blogspot.com/-WQmW-JKa2zo/U5CwtDylOmI/AAAAAAAFn6M/Mq2aSTh0uZ0/s1600/PazaSauti-show_500.png)
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YASHIRIKI KONGAMANO LA VIJANA LA BIASHARA LILILOANDALIWA NA TAASISI YA AIESEC JIJINI ARUSHA
Kongamano hilo lilihudhuriwa na Vijana kutoka katika Vyuo Vikuu vya nchi za Afrika Mashariki na kuandaliwa na Taasisi ya AIESEC ambalo hujihusisha na ubunifu wa vipaji vya uongozi miongoni mwa vijana lililofanyika jijini Arusha hivi karibuni katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Hall CDTI- TENGERU, Arusha...