Uholanzi kuvaana na Mexico
Uholanzi ilidhibitisha ni moto wa kuotewa mbali ilipoilaza Chile 2-0 na kukamilishi za makundi bila ya kushindwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p3HKu_IN_GA/U7BmtNsbI6I/AAAAAAAFtiM/et7JzmCq4T4/s72-c/article-2674132-1F3F80F100000578-365_634x458.jpg)
goli la penati dhidi ya mexico yaipeleka uholanzi robo fainali kombe la dunia brazil leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-p3HKu_IN_GA/U7BmtNsbI6I/AAAAAAAFtiM/et7JzmCq4T4/s1600/article-2674132-1F3F80F100000578-365_634x458.jpg)
Na Sultani Kipingo wa Globu ya Jamii Yaani huko Old Trafford katika klabu ya Manchester United nchini Uingereza atakoenda kufundisha msimu ujao tayari waliishaanza kuandaa ofisi ya meneja wao mpya Louis van Gall anayeifundisha timu ya Uholanzi katika kombe la dunia, baada ya kuhisiwa kuwa ataaga mashindani hayo Jumapili hii walipocheza na...
11 years ago
Bongo513 Jul
Uholanzi yailaza Brazil 3-0,Uholanzi yashika nafasi ya 3 kombe la dunia
11 years ago
BBCSwahili01 Jul
Ufaransa kuvaana na Ujerumani
9 years ago
BBCSwahili23 Oct
Arsenal kuvaana na Everton
9 years ago
Mwananchi04 Nov
Sitta, Zungu kuvaana uspika
10 years ago
BBCSwahili29 Aug
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
Matumla kuvaana na Wang Xin Hua
9 years ago
Mtanzania04 Sep
Azam kuvaana na Ruvu Shooting leo
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MABINGWA wa Kombe la Kagame, Azam FC, leo wanatarajia kufunga ratiba zao za mechi za kirafiki kwa kujipima tena na wanajeshi timu ya Ruvu Shooting, mchezo utakaochezwa Uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam.
Hivi karibuni Azam ilipokea kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu na kuvurugiwa rekodi ya kutokufungwa bao hata moja ndani ya dakika 90 katika michuani ya Kagame.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Ofisa Habari wa klabu hiyo, Jaffari Idd, alisema mchezo huo...