Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uholanzi kuvaana na Mexico

Uholanzi ilidhibitisha ni moto wa kuotewa mbali ilipoilaza Chile 2-0 na kukamilishi za makundi bila ya kushindwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

goli la penati dhidi ya mexico yaipeleka uholanzi robo fainali kombe la dunia brazil leo

Kocha wa Uholanzi Louis van Gallakimpongeza Arjen Robben kwa kufanyiwa rafu iliyozaa penati na hatimaye bao la ushindi dhidi ya Mexico leo
Na Sultani Kipingo

wa Globu ya Jamii

Yaani huko Old Trafford katika  klabu ya Manchester United nchini Uingereza atakoenda kufundisha msimu ujao tayari waliishaanza kuandaa ofisi ya meneja wao mpya Louis van Gall anayeifundisha timu ya Uholanzi katika kombe la dunia, baada ya kuhisiwa kuwa ataaga mashindani hayo Jumapili hii walipocheza na...

 

11 years ago

Bongo5

Uholanzi yailaza Brazil 3-0,Uholanzi yashika nafasi ya 3 kombe la dunia

Timu ya taifa ya Uholanzi imeibamiza Brazil 3-0 na kutwaa nafasi ya tatu katika kombe la dunia huko Brazil. Mashabiki wa Brazil waliwazomea wachezaji wao akiwemo kocha Luiz felipe Scolari kwa utendakazi duni katika mechi hizi mbili za mwisho ambazo Brazil imefungwa mabao 10 nayo ikifunga moja. Brazil ilifungua mechi hiyo kwa kasi lakini ikafungwa […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Ufaransa kuvaana na Ujerumani

Ufaransa sasa itachuana na Ujerumani katika robo fainali ya kombe la dunia

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal kuvaana na Everton

Ligi Kuu ya soka ya England inatarajiwa kuendelea tena wikendi hii kwa mechi kadhaa, Arsenal watakuwa nyumbani Emirates dhidi ya Everton.

 

9 years ago

Mwananchi

Sitta, Zungu kuvaana uspika

Wakati Bunge la Kumi na Moja likitarajiwa kuanza vikao vyake wiki ijayo mjini Dodoma, Samuel Sitta  na Anne Makinda, waliokalia kiti cha Spika wa mabunge mawili yaliyopita, wanatajwa kuwamo kwenye mchuano mwingine wa kuwania nafasi hiyo ya kuongoza chombo hicho cha kutunga sheria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Real Madrid kuvaana na Liverpool

Droo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ilifanyika alhamisi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Matumla kuvaana na Wang Xin Hua

Bondia wa Tanzania Mohammed Matumla anapambana na bondia kutoka China Xin Hua Ijumaa jijini Dar es Salaam

 

9 years ago

Mtanzania

Azam kuvaana na Ruvu Shooting leo

1NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

MABINGWA wa Kombe la Kagame, Azam FC, leo wanatarajia kufunga ratiba zao za mechi za kirafiki kwa kujipima tena na wanajeshi timu ya Ruvu Shooting, mchezo utakaochezwa Uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam.

Hivi karibuni Azam ilipokea kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu na kuvurugiwa rekodi ya kutokufungwa bao hata moja ndani ya dakika 90 katika michuani ya Kagame.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Ofisa Habari wa klabu hiyo, Jaffari Idd, alisema mchezo huo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani