Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta, Zungu kuvaana uspika

Wakati Bunge la Kumi na Moja likitarajiwa kuanza vikao vyake wiki ijayo mjini Dodoma, Samuel Sitta  na Anne Makinda, waliokalia kiti cha Spika wa mabunge mawili yaliyopita, wanatajwa kuwamo kwenye mchuano mwingine wa kuwania nafasi hiyo ya kuongoza chombo hicho cha kutunga sheria.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Sitta aenguliwa uspika

Kamati Kuu ya CCM imemwengua Spika wa Bunge la Tisa, Samuel Sitta kwenye kinyang’anyiro cha kuwania uspika na kuteua majina matatu likiwamo la Naibu Spika wa Bunge la 10, Job Ndugai.

 

9 years ago

Habarileo

Sitta, Nchimbi rasmi Uspika

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza kutoa fomu kwa wanachama wake kwa ajili ya kuomba kuteuliwa kugombea nafasi ya Spika na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, na katika siku ya kwanza wanachama tisa wamejitokeza akiwemo Spika wa zamani, Samuel Sitta.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uholanzi kuvaana na Mexico

Uholanzi ilidhibitisha ni moto wa kuotewa mbali ilipoilaza Chile 2-0 na kukamilishi za makundi bila ya kushindwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ufaransa kuvaana na Ujerumani

Ufaransa sasa itachuana na Ujerumani katika robo fainali ya kombe la dunia

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal kuvaana na Everton

Ligi Kuu ya soka ya England inatarajiwa kuendelea tena wikendi hii kwa mechi kadhaa, Arsenal watakuwa nyumbani Emirates dhidi ya Everton.

 

10 years ago

BBCSwahili

Real Madrid kuvaana na Liverpool

Droo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ilifanyika alhamisi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndugu kuvaana fainali za Tennis,Marekani

Venus Williams wa Marekani anatarajiwa kupambana na mdogo wake wa damu Serena Williams katika fainali za Miami Open.

 

9 years ago

Mtanzania

Azam kuvaana na Ruvu Shooting leo

1NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

MABINGWA wa Kombe la Kagame, Azam FC, leo wanatarajia kufunga ratiba zao za mechi za kirafiki kwa kujipima tena na wanajeshi timu ya Ruvu Shooting, mchezo utakaochezwa Uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam.

Hivi karibuni Azam ilipokea kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu na kuvurugiwa rekodi ya kutokufungwa bao hata moja ndani ya dakika 90 katika michuani ya Kagame.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Ofisa Habari wa klabu hiyo, Jaffari Idd, alisema mchezo huo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Matumla kuvaana na Wang Xin Hua

Bondia wa Tanzania Mohammed Matumla anapambana na bondia kutoka China Xin Hua Ijumaa jijini Dar es Salaam

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani