Sitta, Nchimbi rasmi Uspika
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza kutoa fomu kwa wanachama wake kwa ajili ya kuomba kuteuliwa kugombea nafasi ya Spika na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, na katika siku ya kwanza wanachama tisa wamejitokeza akiwemo Spika wa zamani, Samuel Sitta.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Sitta aenguliwa uspika
9 years ago
Mwananchi04 Nov
Sitta, Zungu kuvaana uspika
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Nchimbi mgeni rasmi Tamasha la Pasaka Songea
ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Emmanuel Nchimbi, anatarajia kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la Pasaka linalotarajia kufanyika Aprili 26 mjini Songea mkoani Ruvuma. Mwenyekiti wa Kamati ya...
9 years ago
Habarileo17 Nov
Ni Ndugai, wengine 7 uspika
UCHAGUZI wa Spika wa Bunge la Tanzania unatarajiwa kufanyika leo ambapo wagombea wanane kutoka vyama tofauti wamejitosa kuwania nafasi hiyo katika Bunge la 11 linalotarajiwa kuanza leo mjini hapa.
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Makinda aukimbia uspika
*Aingia mitini dakika za mwisho licha ya kampeni
*Mpambano mkali kwa Sitta, Nchimbi, Ndugai
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
VITA ya kuwania uspika wa Bunge, imepamba moto huku Spika anayemaliza muda wake Anne Makinda, akishindwa kuchukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi hiyo, tofauti na ilivyotarajiwa.
Habari zilizolifikia MTANZANIA jana jioni zinaeleza kuwa, Makinda ameshindwa kuchukua fomu kutokana na ushauri aliopata kutoka kwa watu wake wa karibu wakiwamo makada wenye heshima...
9 years ago
CCM Blog11 Nov
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Anayetaka uspika ruksa - CCM
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-N3IiPwhkoYU/VkM7K65qKrI/AAAAAAAArKQ/imeDmeNGh3M/s72-c/1.jpg)
WAANZA KUCHUKUA FOMU ZA USPIKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-N3IiPwhkoYU/VkM7K65qKrI/AAAAAAAArKQ/imeDmeNGh3M/s640/1.jpg)