Ni Ndugai, wengine 7 uspika
UCHAGUZI wa Spika wa Bunge la Tanzania unatarajiwa kufanyika leo ambapo wagombea wanane kutoka vyama tofauti wamejitosa kuwania nafasi hiyo katika Bunge la 11 linalotarajiwa kuanza leo mjini hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania16 Nov
Ndugai, Abdallah Mwinyi wapenya uspika
*Naibu Mwansheria Mkuu naye apitishwa na CC
*Sitta atafakari sababu za kukatwa kwake, Dk. Nchimbi, Masaburi ‘Out’
NA DEBORA SANJA, DODOMA.
KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC), imepitisha majina matatu ya wanachama wake waliomba kugombea nafasi ya uspika wa Bunge.
Majina yaliyopitishwa ni aliyekuwa Naibu Spika katika Bunge la 10, Job Ndugai, mtoto wa Rais mstaafu wa awamu ya pili, Abdullah Ali Mwinyi pamoja na Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Tulia Akson.
Kupitishwa kwa majina...
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Ndugai, Ole Medeye kuchuana uspika
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Ndugai, Masaburi, Ritha Mlaki wajitosa uspika
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JKHzTtDIccM/Vkm6374H5hI/AAAAAAAArdA/st_qZygFbKI/s72-c/2.jpg)
WABUNGE WA CCM WAAMUA KWA PAMOJA NAFASI YA USPIKA NI JOB NDUGAI
![](http://2.bp.blogspot.com/-JKHzTtDIccM/Vkm6374H5hI/AAAAAAAArdA/st_qZygFbKI/s640/2.jpg)
Katibu wa NEC (CCM) Itikadi na Uenezi ambaye pia ni mbunge wa Mtama, Nape Nnauye alisema “Kamati ya Wabunge wote wa CCM imekamilisha kazi yake ya kwanza kuchambua na kupitisha moja kati ya majina matatu yaliyoteuliwa na Kamati Kuu. “Kama tulivyoona wagombea wawili walijitoa, hivyo Job Ndugai amepitishwa kwa kauli moja kugombea nafasi ya uspika. Tunamuombea...
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Makinda aukimbia uspika
*Aingia mitini dakika za mwisho licha ya kampeni
*Mpambano mkali kwa Sitta, Nchimbi, Ndugai
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
VITA ya kuwania uspika wa Bunge, imepamba moto huku Spika anayemaliza muda wake Anne Makinda, akishindwa kuchukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi hiyo, tofauti na ilivyotarajiwa.
Habari zilizolifikia MTANZANIA jana jioni zinaeleza kuwa, Makinda ameshindwa kuchukua fomu kutokana na ushauri aliopata kutoka kwa watu wake wa karibu wakiwamo makada wenye heshima...
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Sitta aenguliwa uspika
9 years ago
Habarileo12 Nov
Sitta, Nchimbi rasmi Uspika
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza kutoa fomu kwa wanachama wake kwa ajili ya kuomba kuteuliwa kugombea nafasi ya Spika na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, na katika siku ya kwanza wanachama tisa wamejitokeza akiwemo Spika wa zamani, Samuel Sitta.
9 years ago
Habarileo13 Nov
Wataka Uspika sasa wafikia 21
IDADI ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaoomba kuteuliwa kugombea nafasi ya Uspika na Unaibu Spika katika Bunge la 11 linalotarajiwa kuanza wiki ijayo, inazidi kuongezeka ambapo hadi sasa wamechukua fomu wanachama takribani 21.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-N3IiPwhkoYU/VkM7K65qKrI/AAAAAAAArKQ/imeDmeNGh3M/s72-c/1.jpg)
WAANZA KUCHUKUA FOMU ZA USPIKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-N3IiPwhkoYU/VkM7K65qKrI/AAAAAAAArKQ/imeDmeNGh3M/s640/1.jpg)