Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni Ndugai, wengine 7 uspika

UCHAGUZI wa Spika wa Bunge la Tanzania unatarajiwa kufanyika leo ambapo wagombea wanane kutoka vyama tofauti wamejitosa kuwania nafasi hiyo katika Bunge la 11 linalotarajiwa kuanza leo mjini hapa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Ndugai, Abdallah Mwinyi wapenya uspika

mtz1*Naibu Mwansheria Mkuu naye apitishwa na CC

*Sitta atafakari sababu za kukatwa kwake, Dk. Nchimbi, Masaburi ‘Out’

NA DEBORA SANJA, DODOMA.

KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC), imepitisha majina matatu ya wanachama wake waliomba kugombea  nafasi ya uspika  wa Bunge.

Majina yaliyopitishwa ni aliyekuwa Naibu Spika katika Bunge la 10, Job Ndugai, mtoto wa Rais mstaafu wa awamu ya pili, Abdullah Ali Mwinyi pamoja na Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Tulia Akson.

Kupitishwa kwa majina...

 

9 years ago

Mwananchi

Ndugai, Ole Medeye kuchuana uspika

Kamati ya wabunge wa CCM imempitisha kwa kauli moja mbunge mteule wa Kongwa, Job Ndugai kugombea uspika wa Bunge kwenye uchaguzi unaofanyika leo.

 

9 years ago

Mwananchi

Ndugai, Masaburi, Ritha Mlaki wajitosa uspika

Idadi ya makada wa CCM waliojitokeza kuwania uspika wa Bunge la Kumi na Moja imeongezeka kutoka tisa hadi 19.

 

9 years ago

Michuzi

WABUNGE WA CCM WAAMUA KWA PAMOJA NAFASI YA USPIKA NI JOB NDUGAI


 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiongea na waandishi wa habari mara baada ya Wabunge wa CCM kupitisha jisha la Spika.
Katibu wa NEC (CCM) Itikadi na Uenezi ambaye pia ni mbunge wa Mtama, Nape Nnauye alisema “Kamati ya Wabunge wote wa CCM imekamilisha kazi yake ya kwanza kuchambua na kupitisha moja kati ya majina matatu yaliyoteuliwa na Kamati Kuu.  “Kama tulivyoona wagombea wawili walijitoa, hivyo Job Ndugai amepitishwa kwa kauli moja kugombea nafasi ya uspika. Tunamuombea...

 

9 years ago

Mtanzania

Makinda aukimbia uspika

1126*Aingia mitini dakika za mwisho licha ya kampeni

*Mpambano mkali kwa Sitta, Nchimbi, Ndugai

 

Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

VITA ya kuwania uspika wa Bunge, imepamba moto huku Spika anayemaliza muda wake Anne Makinda, akishindwa kuchukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi hiyo, tofauti na ilivyotarajiwa.

Habari zilizolifikia MTANZANIA jana jioni zinaeleza kuwa, Makinda ameshindwa kuchukua fomu kutokana na ushauri aliopata kutoka kwa watu wake wa karibu wakiwamo makada wenye heshima...

 

9 years ago

Mwananchi

Sitta aenguliwa uspika

Kamati Kuu ya CCM imemwengua Spika wa Bunge la Tisa, Samuel Sitta kwenye kinyang’anyiro cha kuwania uspika na kuteua majina matatu likiwamo la Naibu Spika wa Bunge la 10, Job Ndugai.

 

9 years ago

Habarileo

Sitta, Nchimbi rasmi Uspika

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza kutoa fomu kwa wanachama wake kwa ajili ya kuomba kuteuliwa kugombea nafasi ya Spika na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, na katika siku ya kwanza wanachama tisa wamejitokeza akiwemo Spika wa zamani, Samuel Sitta.

 

9 years ago

Habarileo

Wataka Uspika sasa wafikia 21

IDADI ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaoomba kuteuliwa kugombea nafasi ya Uspika na Unaibu Spika katika Bunge la 11 linalotarajiwa kuanza wiki ijayo, inazidi kuongezeka ambapo hadi sasa wamechukua fomu wanachama takribani 21.

 

9 years ago

Michuzi

WAANZA KUCHUKUA FOMU ZA USPIKA

Hawa ndio waliojitokeza mpaka sasa kuchukua fomu Makao Makuu ya CCM Ofisi Ndogo Lumumba ;Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, aliyekuwa mbunge wa Karagwe,Gosbert Blandes,Leonce Mulenda, George Nangale na Profesa Costa Mahalu, Muzamil Kalokola, Banda Sonoko,Simon Rubugu.  Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samuel Sitta akisaini kitabu cha wageni kabla ya kuchukua fomu za kuwania uspika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mbele ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani