Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndugai, Masaburi, Ritha Mlaki wajitosa uspika

Idadi ya makada wa CCM waliojitokeza kuwania uspika wa Bunge la Kumi na Moja imeongezeka kutoka tisa hadi 19.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Ni Ndugai, wengine 7 uspika

UCHAGUZI wa Spika wa Bunge la Tanzania unatarajiwa kufanyika leo ambapo wagombea wanane kutoka vyama tofauti wamejitosa kuwania nafasi hiyo katika Bunge la 11 linalotarajiwa kuanza leo mjini hapa.

 

9 years ago

Mtanzania

Ndugai, Abdallah Mwinyi wapenya uspika

mtz1*Naibu Mwansheria Mkuu naye apitishwa na CC

*Sitta atafakari sababu za kukatwa kwake, Dk. Nchimbi, Masaburi ‘Out’

NA DEBORA SANJA, DODOMA.

KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC), imepitisha majina matatu ya wanachama wake waliomba kugombea  nafasi ya uspika  wa Bunge.

Majina yaliyopitishwa ni aliyekuwa Naibu Spika katika Bunge la 10, Job Ndugai, mtoto wa Rais mstaafu wa awamu ya pili, Abdullah Ali Mwinyi pamoja na Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Tulia Akson.

Kupitishwa kwa majina...

 

9 years ago

Mwananchi

Ndugai, Ole Medeye kuchuana uspika

Kamati ya wabunge wa CCM imempitisha kwa kauli moja mbunge mteule wa Kongwa, Job Ndugai kugombea uspika wa Bunge kwenye uchaguzi unaofanyika leo.

 

9 years ago

Michuzi

WABUNGE WA CCM WAAMUA KWA PAMOJA NAFASI YA USPIKA NI JOB NDUGAI


 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiongea na waandishi wa habari mara baada ya Wabunge wa CCM kupitisha jisha la Spika.
Katibu wa NEC (CCM) Itikadi na Uenezi ambaye pia ni mbunge wa Mtama, Nape Nnauye alisema “Kamati ya Wabunge wote wa CCM imekamilisha kazi yake ya kwanza kuchambua na kupitisha moja kati ya majina matatu yaliyoteuliwa na Kamati Kuu.  “Kama tulivyoona wagombea wawili walijitoa, hivyo Job Ndugai amepitishwa kwa kauli moja kugombea nafasi ya uspika. Tunamuombea...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madam Ritha atoa ujumbe kufunga mwaka

MKURUGENZI wa Kampuni ya Benchmark Production, waandaaji wa shindano la Bongo Star Search (BSS), Ritha Poulsen ‘Madam Ritha’ amesema ujasiri ni kitu cha muhimu katika maisha ya binadamu ambacho kitamfanya...

 

9 years ago

Vijimambo

MASABURI ASEMA CHAGUA DOUBLE M

Gari maalum la kampeni za mgombe Ubunge wa Jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Didas Masaburi likipita eneo la Manzese kuhamasisha wananchi kushiriki mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM, Jangwani juzi.Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi, Dk Didas Masaburi akiwapungia mikono wapiga kura wa jimbo lake wakati alipoongoza msafara wa wanaCCM wa jimbo hilo kuelekea viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam kumsikiliza mgombea urais wa...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Masaburi atishia ubunge wa Mnyika

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Didas Masaburi, ametamba kuwa ana uwezo wa kupambana na kumng’oa Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema) kwenye Uchaguzi Mkuu ujao.

Akizungumza katika mkutano na wanafunzo wa vyuo vikuu mbalimbali jijini Dar es Salaam jana, Dk. Masaburi ambaye ni Meya wa Jiji la Dar es Salaam aanayemaliza muda wake alisema amefanya utafiti wa kutosha na kugundua kuwa anakubalika na anaweza kulibadili jimbo hilo.

Jimbo la Ubungo kwa miaka mitano iliyopita...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani