Sitta aenguliwa uspika
Kamati Kuu ya CCM imemwengua Spika wa Bunge la Tisa, Samuel Sitta kwenye kinyang’anyiro cha kuwania uspika na kuteua majina matatu likiwamo la Naibu Spika wa Bunge la 10, Job Ndugai.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Nov
Sitta, Zungu kuvaana uspika
9 years ago
Habarileo12 Nov
Sitta, Nchimbi rasmi Uspika
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza kutoa fomu kwa wanachama wake kwa ajili ya kuomba kuteuliwa kugombea nafasi ya Spika na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, na katika siku ya kwanza wanachama tisa wamejitokeza akiwemo Spika wa zamani, Samuel Sitta.
9 years ago
Mwananchi22 Aug
Lowassa, Magufuli rasmi, Mtikila aenguliwa NEC
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uL3l-94vtrM/U4TtGFqEpwI/AAAAAAAFlmg/ysnRLrtx79Y/s72-c/download+(1).jpg)
Michael Richard Wambura aenguliwa Uchaguzi mkuu wa Simba SC
Na Mahmoud Zubeiry
![](http://1.bp.blogspot.com/-uL3l-94vtrM/U4TtGFqEpwI/AAAAAAAFlmg/ysnRLrtx79Y/s1600/download+(1).jpg)
9 years ago
Habarileo17 Nov
Ni Ndugai, wengine 7 uspika
UCHAGUZI wa Spika wa Bunge la Tanzania unatarajiwa kufanyika leo ambapo wagombea wanane kutoka vyama tofauti wamejitosa kuwania nafasi hiyo katika Bunge la 11 linalotarajiwa kuanza leo mjini hapa.
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Makinda aukimbia uspika
*Aingia mitini dakika za mwisho licha ya kampeni
*Mpambano mkali kwa Sitta, Nchimbi, Ndugai
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
VITA ya kuwania uspika wa Bunge, imepamba moto huku Spika anayemaliza muda wake Anne Makinda, akishindwa kuchukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi hiyo, tofauti na ilivyotarajiwa.
Habari zilizolifikia MTANZANIA jana jioni zinaeleza kuwa, Makinda ameshindwa kuchukua fomu kutokana na ushauri aliopata kutoka kwa watu wake wa karibu wakiwamo makada wenye heshima...
9 years ago
CCM Blog11 Nov
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Anayetaka uspika ruksa - CCM
9 years ago
Mwananchi15 Nov
CCM yapandisha joto la uspika