Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta aenguliwa uspika

Kamati Kuu ya CCM imemwengua Spika wa Bunge la Tisa, Samuel Sitta kwenye kinyang’anyiro cha kuwania uspika na kuteua majina matatu likiwamo la Naibu Spika wa Bunge la 10, Job Ndugai.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Sitta, Zungu kuvaana uspika

Wakati Bunge la Kumi na Moja likitarajiwa kuanza vikao vyake wiki ijayo mjini Dodoma, Samuel Sitta  na Anne Makinda, waliokalia kiti cha Spika wa mabunge mawili yaliyopita, wanatajwa kuwamo kwenye mchuano mwingine wa kuwania nafasi hiyo ya kuongoza chombo hicho cha kutunga sheria.

 

9 years ago

Habarileo

Sitta, Nchimbi rasmi Uspika

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza kutoa fomu kwa wanachama wake kwa ajili ya kuomba kuteuliwa kugombea nafasi ya Spika na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, na katika siku ya kwanza wanachama tisa wamejitokeza akiwemo Spika wa zamani, Samuel Sitta.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa, Magufuli rasmi, Mtikila aenguliwa NEC

Sasa ni rasmi; Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa na Waziri wa Ujenzi, Dk John Pombe Magufuli watavaana katika mpambano wa kuwania kuingia Ikulu, baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwapitisha kugombea urais pamoja na wengine sita, huku watatu wakitemwa.

 

11 years ago

Michuzi

Michael Richard Wambura aenguliwa Uchaguzi mkuu wa Simba SC


Na Mahmoud Zubeiry KAMA ilivyotarajiwa, Michael Richard Wambura (pichani) ameenguliwa katika kinyang’anyiro cha Uchaguzi mkuu wa Simba SC unaotarajiwa kufanyika mwezi ujao, kwa sababu kubwa mbili.Akizungumza katika Mkutano maalum na Waandishi wa Habari mchana huu makao makuu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), makutano ya mitaa ya Ohio na Libya, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Simba SC, Wakili Dk Damas Daniel Ndumbaro amesema Wambura ameondolewa kwa sababu kwa sasa si...

 

9 years ago

Habarileo

Ni Ndugai, wengine 7 uspika

UCHAGUZI wa Spika wa Bunge la Tanzania unatarajiwa kufanyika leo ambapo wagombea wanane kutoka vyama tofauti wamejitosa kuwania nafasi hiyo katika Bunge la 11 linalotarajiwa kuanza leo mjini hapa.

 

9 years ago

Mtanzania

Makinda aukimbia uspika

1126*Aingia mitini dakika za mwisho licha ya kampeni

*Mpambano mkali kwa Sitta, Nchimbi, Ndugai

 

Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

VITA ya kuwania uspika wa Bunge, imepamba moto huku Spika anayemaliza muda wake Anne Makinda, akishindwa kuchukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi hiyo, tofauti na ilivyotarajiwa.

Habari zilizolifikia MTANZANIA jana jioni zinaeleza kuwa, Makinda ameshindwa kuchukua fomu kutokana na ushauri aliopata kutoka kwa watu wake wa karibu wakiwamo makada wenye heshima...

 

9 years ago

CCM Blog

FOMU ZA USPIKA ZAANZA KUTOLEWA


Fomu Za Kuomba Uspika Na Naibu - 11.11.2015

 

9 years ago

Mwananchi

Anayetaka uspika ruksa - CCM

Wakati makada wa CCM, wakionyesha nia ya ‘kimya kimya’ kuwania nafasi ya kiti cha Spika wa Bunge la 11, chama hicho kimesema anayetaka nafasi hiyo ruksa kujipitisha kwa wabunge kuomba kura.

 

9 years ago

Mwananchi

CCM yapandisha joto la uspika

Wakati Kamati Kuu ya CCM ikikutana leo jijini Dar es Salaam kupitisha majina matatu kati ya 23 ya wanaowania uspika, joto la kuwania nafasi hiyo linazidi kupanda .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani