Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndugu kuvaana fainali za Tennis,Marekani

Venus Williams wa Marekani anatarajiwa kupambana na mdogo wake wa damu Serena Williams katika fainali za Miami Open.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBC

Rising tennis star Ons Jabeur 'confused' about rest of tennis season after Wimbledon cancellation

Tunisian tennis star Ons Jabeur has told BBC Sport Africa that the cancellation of Wimbledon has left her "confused" about the remainder of the season.

 

11 years ago

Michuzi

MTANZANIA AFARIKI MAREKANI, NDUGU WA MAREHEMU WATAKIWA KUJITOKEZA

Habari kutoka Madison Wisconsin nchini Marekani zinasema kuwa mtanzania, Michael Agustine Lukindo (pichani), amefariki Dunia na hakuna taarifa zozote kuhusiana na ndugu zake. Lukindo ambaye ni mwenyeji wa Mkoa wa Tanga ameacha mke na watoto wanne. Kwa mujibu wa rafiki wa marehemu, Oliver Temba  juhudi za kuwapata ndugu zake hazikufanikiwa. Marehemu Michael Lukindo amefariki dunia mjini Madison Wisconsin-USA, kutokana na hali hiyo familia ya marehemu imewaomba ndugu wea marehemu kujitokeza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yatinga fainali kikapu

Marekani imetinga fainali kombe la dunia mpira wa kikapu kwa kuichapa Lithuania vikapu 96-68.

 

10 years ago

BBCSwahili

Fainali:Japan kuchuana na Marekani

Mabingwa watetezi Japan watajaribu kulihifadhi taji lao la kombe la dunia upande wa wanawake wakati ambapo wanakutana na Marekani kwa kipute cha fainali ya kombe hilo kwa mra ya pili mfululizo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kucheza fainali Kombe la Dunia

Marekani imekata tiketi kucheza fainali za Kombe la Dunia baada ya kuibwaga Ujerumani 2-0 katika mchezo wa nusu fainali

 

9 years ago

MillardAyo

Utata kwenye stage ya fainali za Miss Universe Marekani baada ya mshindi kukosewa.. (+Video)

Unaweza kukosea ukaomba radhi lakini watu wasiwe wepesi kukusamehe au kukuelewa kwamba umejikwaa kibinadamu… utata na kelele ziliibuka kwenye stage ya Planet Hollywood, Las Vegas Marekani saa chache zilizopita. Noma zaidi ni kwamba ishu haikuishia kwenye stage wala ukumbini, watu wakaingia mitandaoni kila mmoja akiongea la kwake huku wengi wakionekana kama hawajachukulia poa kosa la MC […]

The post Utata kwenye stage ya fainali za Miss Universe Marekani baada ya mshindi kukosewa.. (+Video)...

 

10 years ago

Michuzi

NDUGU NSAJIGWA KENNEDY MWANG'ONDA ANATAFUTWA NA NDUGU ZAKE

Familia ya Marehemu Robert Mwang'onda wa Mabibo jijini Dar es Salaam wanapenda kutangaza kupotelewa na ndugu yao Nsajigwa Kennedy Mwang'onda ambaye aliondoka nyumbani Mabibo CCM - Karibu na Chuo Cha Usafirishaji toka tarehe 26-2-2015. Anamatatizo la kupoteleza Kumbukumbu.Atakayemuona awafahamishe kwa simu namba 0715 919 168 Frank Mwang'onda, 0682 822 111/ 0754 631 888.Au atoe taarifa kituo chochote cha Polisi kwa URP/RB/2331/2015.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ufaransa kuvaana na Ujerumani

Ufaransa sasa itachuana na Ujerumani katika robo fainali ya kombe la dunia

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal kuvaana na Everton

Ligi Kuu ya soka ya England inatarajiwa kuendelea tena wikendi hii kwa mechi kadhaa, Arsenal watakuwa nyumbani Emirates dhidi ya Everton.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani