Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufaransa kuvaana na Ujerumani

Ufaransa sasa itachuana na Ujerumani katika robo fainali ya kombe la dunia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ujerumani 1-0 Ufaransa

Ujerumani inakabiliana na Ufaransa ikitafuta nafasi ya nusu fainali kati ya Brazil na Colombia .

 

10 years ago

BBCSwahili

Blatter alaumu Ufaransa na Ujerumani

Rais wa shirikisho la soka Duniani, FIFA, ameishutumu Ufaransa na Ujerumani kuwa zilitumia chagizo za kisiasa, kutaka Urusi na Qatar kuchaguliwa kuwa wenyeji wa kombe la dunia, la miaka 2018 na 2022.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege ya Ujerumani yaanguka nchini Ufaransa

Ndege ya shirika la ndege la Ujerumani imeanguka katika eneo la milima ya Alps nchini Ufaransa ikiwa na abiria 142 na wahudumu 6

 

9 years ago

BBCSwahili

Ujerumani kuiunga mkono Ufaransa Syria

Baraza la mawaziri nchini Ujerumani limeidhinisha msaada kwa Ufaransa katika vita dhidi ya wanamgambo wa Islamic State

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Tiketi mechi ya Ujerumani, Ufaransa yauzwa dola 1,000

Tiketi ya pambano la Ujerumani na Ufaransa yafika dola 1,000 katika soko la ulanguzi wa tiketi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uholanzi kuvaana na Mexico

Uholanzi ilidhibitisha ni moto wa kuotewa mbali ilipoilaza Chile 2-0 na kukamilishi za makundi bila ya kushindwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal kuvaana na Everton

Ligi Kuu ya soka ya England inatarajiwa kuendelea tena wikendi hii kwa mechi kadhaa, Arsenal watakuwa nyumbani Emirates dhidi ya Everton.

 

10 years ago

BBCSwahili

Real Madrid kuvaana na Liverpool

Droo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ilifanyika alhamisi.

 

9 years ago

Mwananchi

Sitta, Zungu kuvaana uspika

Wakati Bunge la Kumi na Moja likitarajiwa kuanza vikao vyake wiki ijayo mjini Dodoma, Samuel Sitta  na Anne Makinda, waliokalia kiti cha Spika wa mabunge mawili yaliyopita, wanatajwa kuwamo kwenye mchuano mwingine wa kuwania nafasi hiyo ya kuongoza chombo hicho cha kutunga sheria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani