Blatter alaumu Ufaransa na Ujerumani
Rais wa shirikisho la soka Duniani, FIFA, ameishutumu Ufaransa na Ujerumani kuwa zilitumia chagizo za kisiasa, kutaka Urusi na Qatar kuchaguliwa kuwa wenyeji wa kombe la dunia, la miaka 2018 na 2022.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Ujerumani 1-0 Ufaransa
11 years ago
BBCSwahili01 Jul
Ufaransa kuvaana na Ujerumani
10 years ago
BBCSwahili24 Mar
Ndege ya Ujerumani yaanguka nchini Ufaransa
9 years ago
BBCSwahili01 Dec
Ujerumani kuiunga mkono Ufaransa Syria
11 years ago
Mwananchi05 Jul
BRAZIL 2014: Tiketi mechi ya Ujerumani, Ufaransa yauzwa dola 1,000
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Blatter na Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka, Blatter achukua uamuzi huu
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Rais wa Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) na Rais wa UEFA, Michel Platini wamefungiwa miaka 8 kutojihusiaha na soka na kamati ya maadili ya FIFA kwa kosa la kutumia mamlaka yao vibaya kwa kosa la matumizi mabaya ya fedha za FIFA.
Blatter na Platini wanadaiwa kuwa mwaka 2011, kugawiana pesa kiasi cha Euro Milioni 1.35 ambapo Blatter alimlipa Platini kama malipo kwa kazi ya kuwa mshauri wa Blatter mwaka 1999-2002.
Licha ya kuwafungia miaka...
10 years ago
Bongo Movies16 Jun
Dude Alaumu Viwango 0
Dude alaumu wasanii wenzake kwa kutoa utitiri wa filamu zisizo na viwango na kusema anataka kuleta mabadiliko katika filamu yake mpya, baada ya kukaa muda mrefu bila kutoa sinema.
Dude alisema wasanii wengi wa filamu nchini wana vipaji lakini wanashindwa kuvitumia ipasavyo kutokana na kuandika miswada ya filamu ambazo hazina elimu yoyote kwa jamii.
Mbali na miswada mibovu , Dude amesema pia wasanii wengi wana tatizo la kuingiza mambo binafsi ambayo hayaendani na hadithi yenyewe...
10 years ago
BBCSwahili23 Nov
Wenger alaumu walinzi wa Arsenal
11 years ago
BBCSwahili31 Jul
Ban Ki alaumu mashambulizi ya shule