Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Blatter alaumu Ufaransa na Ujerumani

Rais wa shirikisho la soka Duniani, FIFA, ameishutumu Ufaransa na Ujerumani kuwa zilitumia chagizo za kisiasa, kutaka Urusi na Qatar kuchaguliwa kuwa wenyeji wa kombe la dunia, la miaka 2018 na 2022.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ujerumani 1-0 Ufaransa

Ujerumani inakabiliana na Ufaransa ikitafuta nafasi ya nusu fainali kati ya Brazil na Colombia .

 

11 years ago

BBCSwahili

Ufaransa kuvaana na Ujerumani

Ufaransa sasa itachuana na Ujerumani katika robo fainali ya kombe la dunia

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege ya Ujerumani yaanguka nchini Ufaransa

Ndege ya shirika la ndege la Ujerumani imeanguka katika eneo la milima ya Alps nchini Ufaransa ikiwa na abiria 142 na wahudumu 6

 

9 years ago

BBCSwahili

Ujerumani kuiunga mkono Ufaransa Syria

Baraza la mawaziri nchini Ujerumani limeidhinisha msaada kwa Ufaransa katika vita dhidi ya wanamgambo wa Islamic State

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Tiketi mechi ya Ujerumani, Ufaransa yauzwa dola 1,000

Tiketi ya pambano la Ujerumani na Ufaransa yafika dola 1,000 katika soko la ulanguzi wa tiketi.

 

9 years ago

Dewji Blog

Blatter na Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka, Blatter achukua uamuzi huu

Untitled

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Rais wa Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) na Rais wa UEFA, Michel Platini wamefungiwa miaka 8 kutojihusiaha na soka na kamati ya maadili ya FIFA kwa kosa la kutumia mamlaka yao vibaya kwa kosa la matumizi mabaya ya fedha za FIFA.

Blatter na Platini wanadaiwa kuwa mwaka 2011, kugawiana pesa kiasi cha Euro Milioni 1.35 ambapo Blatter alimlipa Platini kama malipo kwa kazi ya kuwa mshauri wa Blatter mwaka 1999-2002.

Licha ya kuwafungia miaka...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dude Alaumu Viwango 0

Dude alaumu wasanii wenzake kwa kutoa utitiri wa filamu zisizo na viwango  na kusema  anataka kuleta mabadiliko katika filamu yake  mpya, baada ya kukaa muda mrefu bila kutoa sinema.

Dude alisema wasanii wengi  wa filamu  nchini  wana vipaji lakini  wanashindwa kuvitumia ipasavyo kutokana na kuandika miswada ya filamu ambazo hazina elimu yoyote kwa jamii.

Mbali na miswada mibovu , Dude amesema pia wasanii wengi wana tatizo la kuingiza mambo binafsi  ambayo hayaendani na  hadithi  yenyewe...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger alaumu walinzi wa Arsenal

Mkufunzi wa Arsenal Arsene wenger amesema kuwa safu ya ulinzi ya Arsenal ni hafifu

 

11 years ago

BBCSwahili

Ban Ki alaumu mashambulizi ya shule

Katibu Mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki-Moon amelaumu mashambulizi ya Israel dhidi ya Shule ya Umoja wa Mataifa iliyoko Gaza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani