Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uhuru na Desalgn wawasili Juba

Kujaribu kutafuta mbinu za kumaliza mapigano yanayoendelea nchini Sudan Kusini

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

MWENGE WA UHURU WAWASILI MKOA WA DAR ES SALAAM‏

Mkuu wa Wilaya ya Mafia Sauda Salum Mtondoo akikimbiza Mwenge wa Uhuru kwa ajili ya kuukabidhi tayari kuanza ziara yake Mkoani Dar es Salaam.

Mkuu wa Wilaya ya Mafia Sauda Salum Mtondoo (mwenye T-shirt nyeupe) akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Pwani Bi. Mwantumu Mahiza leo jijini Dar es Salaam.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Bi. Mwantumu Mahiza akikimbiza mwenge wa Uhuru Tayari kwa kuukabidhi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Said Meck Sadiki.

(Picha na Hassan Silayo na Benjamin Sawe)

 

10 years ago

Michuzi

Mwenge wa Uhuru wawasili Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro

 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Rajab Rutengwe akiwa ameshika mwenge wa Uhuru baada ya kupokea kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Said Magalula Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Rajab Rutengwe (kushoto) akiwa amekumbatiana na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Said Magalula baada ya kukabidhiwa Mwenge wa Uhuru. Kiongozi wa mbio za Mwenge wa uhuru kitaifa Bw. Juma Khatibu  Chum akifungua kitambaa kama ishara ya kuzindua zoezi la uandikishaji wapiga kura Wilayani Mvomero lililofanyika  katika Kijiji cha Salawe...

 

11 years ago

GPL

MWENGE WA UHURU WAWASILI MKOA WA DAR ES SALAAM‏

 Mkuu wa Wilaya ya Mafia Sauda Salum Mtondoo akikimbiza Mwenge wa Uhuru kwa ajili ya kuukabidhi tayari kuanza ziara yake Mkoani Dar es Salaam. Mkuu wa Wilaya ya Mafia Sauda Salum Mtondoo (mwenye T-shirt nyeupe) akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Pwani Bi. Mwantumu Mahiza leo jijini Dar es…

 

11 years ago

Michuzi

MWENGE WA UHURU WAWASILI ZANZIBAR KUTOKEA DAR ES SALAM NA KUKABIDHIWA MKUU WA MKOA WA MJINI MAGHARIBI.

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe Said Meck Sadikiakimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe Abdallah Mwinyi Khamis, makabidhiano hayo yamefanyika uwanja wa ndege mkongwe Kiembesamaki leo. Vijana wa Chipkizi wakiimba nyimbo ya Mwenge. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Ikulu na Utawala Bora Dkt. Mwinyihaji Makame akishika mwenge wa Uhuru ulipowasili Zanzibar. Mkimbiza Mwenge wa Uhuru Hamza Ibrahim kutoka Mjini Magharibi na maaskari wakiukimbiza Mwenge.
  Mkuu wa Mkoa wa...

 

11 years ago

Michuzi

MWENGE WA UHURU WAWASILI VISIWANI ZANZIBAR LEO KUTOKEA DAR,WAKABIDHIWA KWA MKUU WA MKOA WA MJINI MAGHARIBI

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Said Meck Sadiki akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdallah Mwinyi Khamis, makabidhiano hayo yamefanyika uwanja wa ndege mkongwe Kiembesamaki leo. Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam Bi. Getrudi Mpaka akitoa salam za Mkoa huo wakati wa kuukabizi Mwenge wa Uhuru Mkoa wa Mjini Magharibi leo july 30.Vijana wa Chipkizi wakiimba nyimbo ya Mwenge. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Ikulu na Utawala Bora Dkt. Mwinyihaji Makame akishika mwenge wa...

 

11 years ago

TheCitizen

Warning that Juba ignored

>Just before Tanzanians went into the first multi-party election in 1995, the Father of the Nation, Mwalimu Julius Nyerere, addressed journalists at Kilimanjaro Hotel in Dar es Salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maandamano Juba kupinga UN

ZaidI ya watu 1,000 waliandamana Jumatatu mjini Juba, mji mkuu wa Sudan Kusini , huku wakituhumu Umoja wa Mataifa kwa kuwahami waasi.

 

11 years ago

TheCitizen

Dar to send peacekeepers to Juba

>Tanzania will send a battalion of peacekeepers to South Sudan this year as part of its support to efforts aimed at stabilising the newest nation torn by civil strife.

 

11 years ago

TheCitizen

Without funding, Juba famine ‘within weeks’

“If the conflict in South Sudan continues, and more aid cannot be delivered, then by August it is likely that some localised areas of South Sudan will slip into famine,” Britain’s Disasters Emergency Committee (DEC) warned, a coalition of 13 major aid agencies.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani