Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujangili wapungua

Ujangili ni hatari kwa temboKWA mwaka uliomalizika jana, mapambano dhidi ya ujangili na biashara haramu ya bidhaa zinazotokana na wanyama pori, yameimarishwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

‘Ujangili wapungua Selous’

KUTOKANA na jitihada kadhaa zilizofanywa na serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii juu ya mapambano dhidi ya ujangili, idadi ya Tembo katika mbuga ya Selous imeanza kuongezeka. Hiyo inatokana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujangili wapungua Hifadhi ya Ruaha

UJANGILI katika Hifadhi ya Taifa Ruaha umepungua kutokana na operesheni mbalimbali zilizofanyika katika hifadhi hiyo. Mhifadhi Mkuu wa Ruaha, Dk. Chris Timbuka, aliwaambia waandishi wa habari waliotembelea hifadhi hiyo jana...

 

10 years ago

Michuzi

Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa

Kikosi cha kupambana na ujangili nchini kimepata vitendea kazi kutoka kwa wadau wa sekta ya utalii vitakavyowezesha kukabiliana na matukio ya ujangili yaliyoshika kasi nchini na kuhatarisha kutoweka baadhi ya wanyama.
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Wahitimu wa kike wapungua

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenister Mhagama amesema idadi ya wahitimu wa kike wa kidato cha sita ni ndogo kuliko wahitimu wa kiume.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uharamia wapungua duniani

Halmashauri ya safari za baharini imetoa ripoti yake ikisema kuwa uharamia sasa unaripotiwa kusini mashariki mwa bara Asia

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfumuko wa bei wapungua

OFISI ya Takwimu ya Taifa imesema mfumuko wa bei wa Juni umepungua hadi asilimia 6.4 kutoka asilimia 6.5 ilivyokuwa Mei mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es...

 

10 years ago

Habarileo

Umasikini nchini wapungua zaidi

HALI ya umasikini nchini imepungua kutoka asilimia 34 hadi kufikia asilimia 28.2 ya Watanzania, ambao sasa ndio ambao wanaelezwa kuwa ni masikini zaidi, kutokana na kuishi chini ya Sh 1,216 fedha ambazo ndio uwezo wao katika kukidhi mahitaji yao ya msingi ya kila siku.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wanaoingia Uingereza wapungua

Kampuni ya Euro Tunnel inasema kuwa kumekuwa na kupungua kwa idadi ya wahamiaji wanaojaribu kuingia Uingereza

 

10 years ago

Mwananchi

Mfumuko wa bei wapungua nchini

Mfumuko wa bei kwa mwaka ulioishia Desemba mwaka jana umeshuka hadi kufikia asilimia 4.8 kutoka asilimia 5.8 ya Novemba kutokana na kupungua kwa bei za bidhaa mbalimbali ikielezwa kwamba kupungua huko kulikuwa hakujatokea kwa miaka miwili iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani