Wahamiaji wanaoingia Uingereza wapungua
Kampuni ya Euro Tunnel inasema kuwa kumekuwa na kupungua kwa idadi ya wahamiaji wanaojaribu kuingia Uingereza
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili07 Oct
Uingereza yajadili Wahamiaji
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
Uingereza ,Ufaransa kuwakabili wahamiaji
10 years ago
StarTV05 May
Wakimbizi toka Burundi wanaoingia nchini wafikia 1,635
Na Kisali Simba,
Kigoma.
Idadi ya wakimbizi wanaoingia nchini kutoka Burundi kupitia Kijiji cha Kagunga katika halmashauri ya wilaya ya Kigoma imefikia 1,635.
Ujio wa wakimbizi hao unatokana na machafuko yanayoendelea katika mji mkuu wa nchi hiyo Bujumbura ambapo Polisi kunawadhibiti waandamanaji wanaopinga mpango wa Rais Pierre Nkurunziza wa kutaka kujiongeza awamu ya tatu ya madaraka.
Wakimbizi wanaendelea kuingia nchini Tanzania kupitia mkoa wa kigoma wengi wao wakiwa ni...
10 years ago
Vijimambo04 Nov
NDOA! WANAOTAKA KUTOKA NI WENGI KULIKO WANAOINGIA, SI KWELI!
![](http://api.ning.com/files/06WphArD*MuUvrv53FhknzBVNyKbaU6zM0Vk3Boe0kLx75yljFt5YBe6PFS3AsX84C46C7LiNVRuvQDf-H*i4ME6wXS87Pcq/love7.jpg?width=650)
NDOA ni mpango wa Muumba ulio wazi kabisa kwamba, wakati wa uumbaji wa Adam na Eva, ndiyo ndoa ya kwanza ilifungwa kwenye Bustani ya Eden.
Ndoa hiyo ilifungwa pale Mungu aliposema; ‘si vizuri kumwacha peke yake mtu huyu (Adam) tumfanyie msaidizi (Eva)’. Baada ya Mungu kumuumba Eva, akawaweka pamoja na kuwa mke na mume! MPANGO WA NDOA
Kwa hiyo kumbe, mpango wa ndoa kwa binadamu ni matakwa ya Mungu si ubunifu wa binadamu kama wengi wanavyofikiri.
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na msemo kwamba,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/06WphArD*Mv5wCy1G31TTSdO2F6XjdTSlJsG2z0JhmCuqeppqmGWFiEpPQ5cw9h44IaGfuOvPymbYTmCMCYMBBmkF28fFgp-/mahaba.jpg?width=650)
NDOA! WANAOTAKA KUTOKA NI WENGI KULIKO WANAOINGIA, SI KWELI!
9 years ago
VijimamboIDADI YA RAIA WA BURUNDI WANAOINGIA NCHINI KUTAFUTA HIFADHI YA UKIMBIZI YAZIDI KUONGEZEKA
Idadi ya raia wa Burundi wanaoingia nchini kutafuta hifadhi ya ukimbizi inazidi kuongezeka siku hadi siku ambapo hadi...
10 years ago
MichuziKigoma wapongezwa kwa ubunifu wa kuwasafirisha waomba hifadhi ya ukimbizi kutoka Burundi wanaoingia nchini
10 years ago
Habarileo01 Jan
Ujangili wapungua
KWA mwaka uliomalizika jana, mapambano dhidi ya ujangili na biashara haramu ya bidhaa zinazotokana na wanyama pori, yameimarishwa.
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Mfumuko wa bei wapungua
OFISI ya Takwimu ya Taifa imesema mfumuko wa bei wa Juni umepungua hadi asilimia 6.4 kutoka asilimia 6.5 ilivyokuwa Mei mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es...