Ujenzi wa soko wawapa ahueni wanakijiji Buganzu
Wakazi wa Kijiji cha Buganzu, Kata ya Uyovu wilayani Bukombe mkoani Geita wamejengewa soko litakalowasaidia kupata mahitaji muhimu karibu na makazi yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWASHIRIKI WA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 WAHIMIZA WANAKIJIJI KUFANYA KILIMO CHA BIASHARA, WAWAPA BURUDANI WANAKIJIJI.
10 years ago
MichuziMEYA WA KINONDONI YUSUPH MWENDA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA SOKO LA MBURAHATI AAHIDI KUANZA KWA MRADI WA UJENZI WA SOKO JIPYA MWEZI UJAO
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Mkandarasi atelekeza ujenzi wa soko la Gezaulole
MKANDARASI, Serico Company Ltd anadaiwa kutoweka na kutelekeza ujenzi wa Soko la Gezaulole, Kata ya Kauzani, Manispaa ya Morogoro linalotarajiwa kugharimu sh milioni 12 hadi kukamilika. Hayo yamebainika kwenye ziara...
10 years ago
Habarileo08 Jun
Kinana atahadharisha ujenzi soko la ghorofa
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amehadharisha Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba dhidi ya mpango wake wa kujenga soko la ghorofa kwa kuitaka ijifunze kilichoikumba Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam baada ya kujenga soko la Machinga Complex .
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Ujenzi wa Soko la Mwanjelwa Mbeya kuendelea tena
10 years ago
Dewji Blog11 May
TASAF yashindwa kukamilisha ujenzi wa meza za soko la kijiji cha Ndago, wilayani Iramba
Soko la Kijiji cha Ndago,wilayani Iramba lililoshindikana kukamilishwa kwa meza za kufanyia biashara kwa wananchi wa Kijiji hicho kutokana na TASAF awamu ya pili kujitoa kukamilisha ujenzi wa meza hizo kwa kukosa fedha za kufanyikazi hiyo,baada ya kutotengwa kwa fedha za kazi hiyo.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na Jumbe Ismailly, Iramba
MFUKO wa Maendeleo ya jamii (TASAF) Wilaya ya Iramba,Mkoani Singida umeshindwa kukamilisha ujenzi wa meza za soko la Kijiji cha Ndago kwa zaidi ya...
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Wakazi Dar kupata ahueni ya usafiriÂ
KAMPUNI ya usafirishaji ya City Ridez inatarajia kuanza kutoa huduma ya usafiri kwa wakazi wa Dar es Salaam kwa kutumia magari maalumu wakati wa asubuhi na jioni ili kupunguza adha...
5 years ago
MichuziAbsa Tanzania yawapa wateja ahueni
NA MWANDISHI WETU, Dar es Salaam
Benki ya Absa Tanzania imetoa msamaha wa malipo ya madeni kwa wateja wake katika kipindi cha miezi mitatu.
Akizungumza jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Mkurugenzi Mtendaji wa Absa Tanzania, Abdi Mohamed amesema msamaha huo ni kwa wateja wa rejareja, wafanyabiashara na makampuni na uwekezaji.
“Tumechukua hatua hii kwa kutambua athari za kifedha na kiuchumi zilizoikumba Tanzania na dunia nzima kutokana na...
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Teknolojia yaleta ahueni kwa walemavu