UKARABATI WA MV BUTIAMA, MV VIKTORIA WAKAMILIKA
Muonekano wa Chelezo (kulia) ambacho kimekamilika kwa asilimia mia moja na maendeleo ya Ujenzi wa Meli Mpya ya MV Mwanza (kushoto) ambayo ujenzi wake umefikia zaidi ya asilimia 30 katika bandari ya Mwanza South, Mkoani Mwanza.
Mafundi wa Kampuni ya Gas Entec kutoka Korea ya Kusini, wakiendelea na kazi ya ujenzi wa meli Mpya ya MV Mwanza katika bandari ya Mwanza South. Meli hiyo inatarajiwa kukamilika mapema mwaka 2021.
Mafundi wa Kampuni ya Kampuni ya Songoro Marine Limited, wakikamilisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U2Z9H3yTpqk/XvNQGaLwI8I/AAAAAAALvQ4/xTB_dw3iiGsZsFJA25NSn2WAyDoYjABhgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-1-9.jpg)
MENEJIMENTI SEKTA YA UCHUKUZI YARIDHISHWA NA UJENZI MELI MPYA, CHELEZO NA UKARABATI WA MV. VIKTORIA NA MV. BUTIAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-U2Z9H3yTpqk/XvNQGaLwI8I/AAAAAAALvQ4/xTB_dw3iiGsZsFJA25NSn2WAyDoYjABhgCLcBGAsYHQ/s640/1-1-9.jpg)
Muonekano wa hatua iliyofikiwa ya sehemu ya chini ya meli Mpya ya MV Mwanza “Hapa Kazi Tu” inayojengwa katika bandari ya Mwanza Kusini, jijini Mwanza. Ujenzi wa Meli hiyo unatarajiwa kukamilika mapema mwaka 2021 na itagharamu zaidi ya kiasi cha shilingi bilioni 80.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-32.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3-33.jpg)
10 years ago
VijimamboUkarabati na Upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Mpanda wakamilika
10 years ago
StarTV30 Dec
Magati yaanza kujengwa mwambao wa Ziwa Viktoria.
Na Maliganya Charahani,
Mwanza.
Mamlaka ya bandari nchini TPA imeanza kuziimarisha bandari zake katika mwambao wa Ziwa Viktoria kwa kujenga magati imara kwa ajili ya kuegeshea meli ili kurahisisha usafiri kwa wakazi wa maeneo hayo na katika visiwa.
Uimara wa magati hayo utavutia pia kampuni ya huduma za meli kurejesha safari za meli kwenye maeneo hayo ambazo zilisitishwa kwa muda mrefu kutokana na miundombinu dhaifu.
Wakazi wa visiwani na mwambao wa Ziwa Viktoria wanatumia mitumbwi...
10 years ago
Mtanzania14 May
John Nyerere azikwa Butiama
Na Fredrick Katulanda, Butiama
ASKOFU wa Kanisa Katoliki jimbo la Musoma, Michael Msonganzila, ameongoza ibada ya mazishi ya mtoto wa nne wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, John Nyerere.
John alifariki dunia Mei 9 mwaka huu katika Hospitali ya Taifa Mahimbili, alipokuwa akipatiwa matibabu na jana alizikwa kijijini kwao Mwitongo wilayani Butiama, ambako viongozi mbalimbali wa taifa walihudhuria.
Miongoni mwa waliohudhuria mazishi hayo ni viongozi wa vyama vya siasa, wabunge huku Waziri wa...
11 years ago
Daily News23 Apr
Butiama killers must pay for their folly
Daily News
POLICE in Mara Region have reported that they have apprehended a total of 26 suspects in connection with the murders of women in Butiama District. This is a job well done. Nevertheless, the effort must continue. The upshot here is to capture the real ...
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Uchunguzi wa kompyuta wakamilika
10 years ago
BBCSwahili16 Nov
Mkutano wa G20 wakamilika
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Uchunguzi wa kifo wakamilika
10 years ago
IPPmedia08 Sep
President sends condolence following Butiama accident
IPPmedia
IPPmedia
President Jakaya Kikwete yesterday said he was shocked and grieved by the reported death of 36 people at the spot on Friday when two buses collided at Saba Saba area in Butiama District, Mara Region. In a statement issued in Dar es Salaam by the State ...
Grief grips Musoma, JK sends condolencesDaily News
Tanzanian president shocked at deadly road accidentXinhua
Bus collision in northern Tanzania kills 37, injures...