Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKARABATI WA MV BUTIAMA, MV VIKTORIA WAKAMILIKA

 Muonekano wa Chelezo (kulia) ambacho kimekamilika kwa asilimia mia moja  na maendeleo ya Ujenzi wa Meli Mpya ya MV Mwanza (kushoto) ambayo ujenzi wake umefikia zaidi ya asilimia 30 katika bandari ya Mwanza South, Mkoani Mwanza. Mafundi wa Kampuni ya Gas Entec kutoka Korea ya Kusini, wakiendelea na kazi ya ujenzi wa meli Mpya ya MV Mwanza katika bandari ya Mwanza South. Meli hiyo inatarajiwa  kukamilika mapema mwaka 2021. Mafundi wa Kampuni ya Kampuni ya Songoro Marine Limited, wakikamilisha...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MENEJIMENTI SEKTA YA UCHUKUZI YARIDHISHWA NA UJENZI MELI MPYA, CHELEZO NA UKARABATI WA MV. VIKTORIA NA MV. BUTIAMA


Muonekano wa hatua iliyofikiwa ya sehemu ya chini ya meli Mpya ya MV Mwanza “Hapa Kazi Tu” inayojengwa katika bandari ya Mwanza Kusini, jijini Mwanza. Ujenzi wa Meli hiyo unatarajiwa kukamilika mapema mwaka 2021 na itagharamu zaidi ya kiasi cha shilingi bilioni 80.Mafundi wa Kampuni ya GAS EntecCo Ltd, Kang Nam Cooperation ya Korea Kusini pamoja na SUMA JKT ya Tanzania inayojenga meli ya MV Mwanza, wakiendelea na kazi ya ujenzi wa meli hiyo, inayojengwa jijini MwanzaKaimu Mhandisi...

 

10 years ago

Vijimambo

Ukarabati na Upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Mpanda wakamilika

  Meneja wa Uwanja wa ndege wa Mpanda, Mkoa wa Katavi Seneti Lyatuu akiwaonesha timu ya ukaguzi wa miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango upanuzi wa uwanja wa ndege wa Mpanda. Nyuma yake (mwenye suti nyeusi) ni Mhandisi Caroline Mntambo kutoka Mamlaka ya Viwanja vya Ndenge Tanzania, Makao Makuu, Dar es Salaam.Meneja wa Uwanja wa Ndege wa Mpanda Bw. Seneti Lyatuu akifafanua jambo wakati timu ya ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango...

 

10 years ago

StarTV

Magati yaanza kujengwa mwambao wa Ziwa Viktoria.

Na Maliganya Charahani,

Mwanza.

Mamlaka ya bandari nchini TPA imeanza kuziimarisha bandari zake katika mwambao wa Ziwa Viktoria kwa kujenga magati imara kwa ajili ya kuegeshea meli ili kurahisisha usafiri kwa wakazi wa maeneo hayo na katika visiwa.

 

Uimara wa magati hayo utavutia pia kampuni ya huduma za meli kurejesha safari za meli kwenye maeneo hayo ambazo zilisitishwa kwa muda mrefu kutokana na miundombinu dhaifu.

 

Wakazi wa visiwani na mwambao wa Ziwa Viktoria wanatumia mitumbwi...

 

10 years ago

Mtanzania

John Nyerere azikwa Butiama

Na Fredrick Katulanda, Butiama
ASKOFU wa Kanisa Katoliki jimbo la Musoma, Michael Msonganzila, ameongoza ibada ya mazishi ya mtoto wa nne wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, John Nyerere.

John alifariki dunia Mei 9 mwaka huu katika Hospitali ya Taifa Mahimbili, alipokuwa akipatiwa matibabu na jana alizikwa kijijini kwao Mwitongo wilayani Butiama, ambako viongozi mbalimbali wa taifa walihudhuria.

Miongoni mwa waliohudhuria mazishi hayo ni viongozi wa vyama vya siasa, wabunge huku Waziri wa...

 

11 years ago

Daily News

Butiama killers must pay for their folly


Butiama killers must pay for their folly
Daily News
POLICE in Mara Region have reported that they have apprehended a total of 26 suspects in connection with the murders of women in Butiama District. This is a job well done. Nevertheless, the effort must continue. The upshot here is to capture the real ...

 

10 years ago

Mwananchi

Uchunguzi wa kompyuta wakamilika

Jeshi la Polisi Zanzibar, limesema kazi ya kuchunguza kompyuta mpakato ya waziri wa zamani wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, (SMZ), Mansoor Yussuf Himid, aliyefunguliwa mashtaka matatu yakiwamo ya kukamatwa na silaha ya moto na risasi 407, imekamilika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkutano wa G20 wakamilika

Waziri mkuu wa Australia Tonny Abott amefunga mkutano wa mataifa tajiri duniani G20 akielezea ahadi za kiuchumi zilizoafikiwa

 

10 years ago

Mwananchi

Uchunguzi wa kifo wakamilika

Hatimaye uchunguzi wa mwili wa marehemu Liberatus Matemu (55) umefanyika jana katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) baada ya Serikali kulipa Sh260,000 kwa Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (Moi), ikiwa ni gharama za matibabu.

 

10 years ago

IPPmedia

President sends condolence following Butiama accident


IPPmedia
President sends condolence following Butiama accident
IPPmedia
President Jakaya Kikwete yesterday said he was shocked and grieved by the reported death of 36 people at the spot on Friday when two buses collided at Saba Saba area in Butiama District, Mara Region. In a statement issued in Dar es Salaam by the State ...
Grief grips Musoma, JK sends condolencesDaily News
Tanzanian president shocked at deadly road accidentXinhua
Bus collision in northern Tanzania kills 37, injures...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani