Ukata wapiga kambi kwa Ray C, wafadhili wamkacha!
Ukata mkali umepiga kambi kwa Rehema Chalamila aka Ray C kiasi cha kushindwa kufanya kile alichowaahidi mashabiki wake muda mrefu.
Ray C aliyewahi kusimamiwa na Ruge Mutahaba, ameiambia Bongo5 kuwa, watu waliopanga kumsaidia katika kazi zake hawaoneshi tena nia ya kuendelea kumsaidia.
“Naona bora nihangaike mimi mwenyewe kwa sababu watu niliokuwa nawategema hawapo na mimi tena,” amesema.
“Kama unavyojua muziki wa sasa unahitaji pesa kwaajili ya video, promotion na mambo mengine, kwa hiyo...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAANDISHI WA HABARI WAPIGA KAMBI NDANI YA CCM MAKAO MAKUU, DODOMA
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Mbeya City yafungua milango kwa wafadhili
UONGOZI wa Mbeya City umezidi kufungua milango kwa makampuni na wafanyabishara kuwekeza kwao kwa maslahi ya pande zote, hasa soka la Tanzania. Katibu wa Mbeya City, Emmanuel Kimbe akizungumza na...
11 years ago
Mwananchi05 Jul
MAZOEZI: Ngasa, Twite wamkacha Maximo
10 years ago
Mwananchi01 Mar
HOJA BINAFSI: Nasaha kwa Watanzania wanaoulizia wafadhili wa nje
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jtIZilx7xjE/VR5D8qMqbLI/AAAAAAAHPEU/8mMi23sE7eE/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
UMOJA WA MATAIFA WAFADHILI USAMBAZAJI WA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA NJIA YA SAUTI
![](http://4.bp.blogspot.com/-jtIZilx7xjE/VR5D8qMqbLI/AAAAAAAHPEU/8mMi23sE7eE/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
Aidha, mkakati huo wa kusambaza Katiba...
11 years ago
Mwananchi05 May
Mwanza yajitoa mashindano ya Majiji kwa ukata
10 years ago
Bongo Movies15 Feb
Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!
“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.
Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.
Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcreM0c1gpUfwU*9fPZNSDp8jEe7K2VgKoF3-EGhGeUqn-mbVKjY6ZF*n2qfJYVD2zHLWAi9COROLFB4wrXpzx-d/chuhcu.jpg?width=650)
CHUCHU AJICHORA TATUU YA RAY, RAY AJIBU
10 years ago
Dewji Blog27 Jun