Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAZOEZI: Ngasa, Twite wamkacha Maximo

>Wakati kocha wa Yanga, Marcio Maximo akiendelea kuwapigisha jaramba wachezaji wake, jana winga Mrisho Ngasa na Mbuyu Twite wameingia mitini kwenye mazoezi bila ya kutoa taarifa kwa Mbrazili huyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAXIMO, LEONARDO WAONGOZA MAZOEZI YANGA

Kocha wa Yanga, Mbrazil, Marcio Maximo akisimamia leo Coco Beach. Wachezaji wa Yanga wakipasha.…

 

11 years ago

Mwananchi

MAZOEZI DAKIKA 120: Maximo aanza kwa kishindo Yanga

>Kocha Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo ameanza kazi yake kwa kishindo jana asubuhi na jioni kwa kuwakimbiza wachezaji wake kwa saa mbili kwenye ufukwe wa Coco na Uwanja wa Bandari, jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Bongo5

Ukata wapiga kambi kwa Ray C, wafadhili wamkacha!

Ray C

Ukata mkali umepiga kambi kwa Rehema Chalamila aka Ray C kiasi cha kushindwa kufanya kile alichowaahidi mashabiki wake muda mrefu.

Ray C

Ray C aliyewahi kusimamiwa na Ruge Mutahaba, ameiambia Bongo5 kuwa, watu waliopanga kumsaidia katika kazi zake hawaoneshi tena nia ya kuendelea kumsaidia.

“Naona bora nihangaike mimi mwenyewe kwa sababu watu niliokuwa nawategema hawapo na mimi tena,” amesema.

“Kama unavyojua muziki wa sasa unahitaji pesa kwaajili ya video, promotion na mambo mengine, kwa hiyo...

 

11 years ago

GPL

Twite: Kifo kimenibakiza Yanga

Beki wa kimataifa wa Yanga, Mbuyu Twite. Na Wilbert Molandi
BEKI kiraka wa Yanga, Mbuyu Twite, ametaja sababu moja ya yeye kusitisha mpango wake wa kusaini Azam FC na kuongeza mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea Jangwani. Awali mshambuliaji huyo alitajwa kuwepo katika orodha ya wachezaji ambao wangesaini kuichezea Azam FC baada ya timu hiyo kumnasa mshambuliaji Mrundi, Didier Kavumbagu na kiungo Frank Domayo, kufuatia...

 

11 years ago

GPL

TWITE AONGEZA MKATABA YANGA

Mlinzi kiraka wa timu ya Young Africans Mbuyu Junior Twite. Mlinzi kiraka wa timu ya Young Africans Mbuyu Junior Twite leo ameongeza mkataba mpya wa mwaka mmoja kuendelea kuitumikia klabu ya Yanga baada ya kufikia makubaliano na uongozi na kupata majibu ya Shirikisho la Soka nchini TFF juu ya idadi ya wachezaji wa kimataifa kwa msimu ujao 2014/2015. Usajili wa Twite umefanyika leo makao makuu ya klabu ya Yanga chini ya Katibu...

 

11 years ago

GPL

Yanga yampa Twite milioni 40

Beki wa kimataifa wa Yanga, Mbuyu Twite. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umefanikisha usajili wa beki wake kiraka Mbuyu Twite kwa dau la dola milioni 25 (sawa na shilingi milioni 40). Kiraka huyo juzi Jumatatu alisaini mkataba wa mwaka mmoja kwa ajili ya kuichezea timu hiyo itakayoshiriki Kombe la Shirikisho Afrika  na Ligi Kuu Bara. Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa beki huyo, wamefikia...

 

11 years ago

GPL

Yanga yamalizana na mrithi wa Twite

Beki wa Yanga, Mbuyu Twite. Na Hans Mloli
DALILI za wazi za Yanga kuonyesha kukata tamaa ya kuendelea kuwa na beki wake, Mnyarwanda Mbuyu Twite, zimefikia kwenye kiwango cha juu baada ya kukubali kuachia aondoke kwa kuwa imeshindwa dau analohitaji, lakini sasa imeenda mbele zaidi kwa kutafuta mrithi wake mapema. Twite amekuwa akiwaniwa na Azam FC kwa muda mrefu na tayari ameshafanya mazungumo na viongozi wa klabu zote, lakini...

 

10 years ago

TheCitizen

Twite, Tambwe, Kipre eye prize

Three players from Young Africans, Simba Sports Club and Azam FC are in the final list of the Tanzania Sports Writers Association (Taswa) 2013/2014 annual sports personality award on December 12 at the Diamond Jubilee VIP Hall.

 

11 years ago

GPL

Twite: Yanga imenizuia kwenda Lupopo

Beki wa kimataifa wa Yanga, Mbuyu Twite. Na Wilbert  Molandi
BEKI kiraka wa kimataifa wa Yanga, Mbuyu Twite ameitaja timu yake kuwa ndiyo iliyoweka kizuizi cha yeye kujiunga na Lupopo FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Kongo. Twite ambaye mkataba wake wa kuichezea Yanga ulimalizika Aprili 19, mwaka huu alikuwa mbioni kuondoka klabuni hapo lakini mambo yakawa yanaenda ndivyo sivyo. Twite amezungumza na Championi Ijumaa na kusema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani