Mwanza yajitoa mashindano ya Majiji kwa ukata
Wakati kivumbi cha michuano ya kikapu Afrika ya Kanda ya Tano kikitarajiwa kuanza kutimua vumbi kesho jijini Dar es Salaam, timu ya Mwanza imejiondoa kwenye michuano hiyo kutokana na ukata.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi23 Apr
MASHINDANO YA 16 YA MPIRA WA KIKAPU (BASKETBALL) KWA MAJIJI YA AFRIKA KANDA YA TANO KUFANYIKA DAR ES SALAAM MEI
11 years ago
Mwananchi05 Feb
‘Mwanza ni chafu kuliko majiji yote’
10 years ago
Michuzi22 Jan
KAGERA WATUPWA NJE YA MASHINDANO YA WANAWAKE TAIFA CUP KWA MATUTA 4-3 NA TIMU YA MWANZA
Na Faustine Ruta, MwanzaTimu ya Wanawake kutoka Mkoa wa Kagera imetupwa nje ya Mashindano kwa Matuta baada ya kumaliza mtanange wao kwa sare ya Nyumbani ya Ushindi wa 2-1 na Ugenini,CCM Kirumba Mwanza na Matuta kupigwa na Timu ya Mwanza kuibuka na Ushindi wa bao 4-3.
Mchezo huo uliochezwa katika Uwanja wa CCM Kirumba Timu ya Mwanza ndio walianza kupata bao mapema dakika ya 2 kupitia kwa mchezaji wao matata Meriam Kimbuya (10) kwa kukatiza katikati ya mabeki na kufunga bao hilo la kwanza....
11 years ago
MichuziHATIMAYE WASHINDI WATATU WA MASHINDANO YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI (TANZANIA MOVIE TALENTS) KWA KANDA YA ZIWA WAPATIKANA LEO JIJINI MWANZA
10 years ago
Dewji Blog10 Jun
PINDA afungua mashindano ya UMISETA jijini Mwanza
Waziri mkuu, Mizengo Pinda akikagua kundi la waamuzi na walimu wa michezo wa shule za sekondari baada ya kufungua mashindano ya UMISETA kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Juni 10, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wachezaji wa timu ya mpira wa kikapu ya kanda ya ziwa baada ya kufungua mashindano ya UMISETA kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipiga mpira wakati alipofungua mashindano ya UMISETA...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Iov8MuBjb3k/VXSbrQ_DeiI/AAAAAAAHc4U/8XnYFm7ryX0/s72-c/unnamed%2B%252888%2529.jpg)
MULONGO AZINDUA MASHINDANO YA U13 TAIFA JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Iov8MuBjb3k/VXSbrQ_DeiI/AAAAAAAHc4U/8XnYFm7ryX0/s640/unnamed%2B%252888%2529.jpg)
Akifungua mashindano haya Mh Mulongo amewataka vijana hao kujituma katika michezo na masomo kwa kuwa vyote vinakwenda sambamba.
Amelisisitizia Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF kuongeza juhudi katika kuimarisha soka la vijana.
Katika salam zake za utangulizi Rais wa TFF Jamal Malinzi ameeleza kuwa lengo la mashindano haya ni kuibua timu ya vijana...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f6PcSQe0vXY/Vlr59uFnxxI/AAAAAAAIJAk/QO82SOrOyRs/s72-c/08d1ae8d-9a0f-4811-b189-221f2bb3d963.jpg)
MASHINDANO YA NGALAWA YA BALIMI YAZINDULIWA RASMI JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-f6PcSQe0vXY/Vlr59uFnxxI/AAAAAAAIJAk/QO82SOrOyRs/s640/08d1ae8d-9a0f-4811-b189-221f2bb3d963.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4WhdcZtdqRI/Vlr6AQu1djI/AAAAAAAIJAw/WxR8aOQgHNk/s640/a5200119-89c2-4aa4-903e-b531747c7f08.jpg)
10 years ago
MichuziMH. PINDA AFUNGUA MASHINDANO YA UMISETA, JIJINI MWANZA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8_VQ28V_E-g/VZLYHDysQQI/AAAAAAAHl8c/cU38wRUoIfo/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
MASHINDANO YA UMITASHUMTA YAFIKIA ROBO FAINALI JIJINI MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-8_VQ28V_E-g/VZLYHDysQQI/AAAAAAAHl8c/cU38wRUoIfo/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fJYIk-14aF4/VZLX_r883NI/AAAAAAAHl8U/Dd2eCLrE2NM/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)