Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa hakijaeleweka

Mambo yamekuwa mazito. Ndivyo inavyoonekana baada ya vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kushindwa kutangaza mgombea urais jana badala yake ukatoa ahadi mpya kwamba sasa atatangazwa muda wowote ndani ya siku saba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Hakijaeleweka Simba SC

Ni presha kila kona Simba. Ndivyo unavyoweza kusema wakati kamati ya utendaji ya klabu hiyo ikikutana leo, kocha Patrick Phiri ameanza upya kuwanoa wachezaji kwa kuwapeleka ufukweni ili kujenga stamina.

 

10 years ago

Mtanzania

Simba, Messi hakijaeleweka

MESSI GOALNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

MGOGORO wa kimkataba wa winga wa timu ya Simba, Ramadhan Singano ‘Messi’ na timu yake hiyo umezidi kutikisa baada ya pande hizo mbili kuendelea kuvutana.

Messi analalamikia mkataba wake kughushiwa kwa kuongezwa mwaka mmoja zaidi unaomalizika mwakani, tofauti na ule wa awali aliosaini yeye unaofikia tamati Julai mwaka huu.

Uongozi wa Simba umekuwa ukikana madai hayo ukidai Messi alisaini mwenyewe mkataba huo wa mwaka mmoja, kabla ya ule wa awali kumalizika...

 

10 years ago

Mwananchi

Hakijaeleweka, Burundi bado tete

Dar/Mashirika. Hali bado si shwari Burundi. Vituo vitano vya redio ikiwamo ya Taifa na ile ya African Public Radio (RPA) kilichokuwa kimefungwa na Serikali ya Burundi vilishambuliwa jana huku kukiwa kukiwa hakuna taarifa za uhakika za nani anayeitawala nchi hiyo kwa sasa.

 

9 years ago

Mwananchi

Matokeo jimbo la Kinondoni hakijaeleweka

Wakati matokeo ya ubunge katika jimbo la Kinondoni yakisubiriwa, umati vijana wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba (Ukawa) wamekusanyika nje ya kituo cha kujumlishia matokeo hayo huku wakiimba nyimbo  kushinikiza yatangazwe.

 

10 years ago

Michuzi

UPDATES YA UKAWA USIKU HUU: MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA

Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA umesema kuwa mgombea wao wa Urais watamtoa baada ya siku saba.
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao  wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu  kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani