UKAWA wakutana na waandhishi wa habari jijini Dar leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-fvsT4Z4DsCk/U9phogN_OXI/AAAAAAAF8Ds/1s1UXiAqAr0/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Mwenyekiti wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) Profesa Ibrahim Lipumba (katikati) akisisitiza jambo wakati akiongea na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa kutoa Tamko kuhusu Wito wa Viongozi wa Dini wa kurudi Bungeni.kushoto ni Mwenyekiti wa Chadema,Mh. Freeman Mbowe na wa pili kulia ni Mwenyeti wa NCCR-Mageuzi,Mh. James Mbatia.Kulia ni Katibu Mkuu wa Chadema,Dkt. Wilbrod Slaa.
Viongozi wakuu wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wakishikana mikono kuashiria umoja mara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziUONGOZI WA CHAMA CHA MCHEZO WA BASEBALL WAKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI JIJINI DAR LEO
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wakutana na Wahariri wa vyombo vya habari Jijini Dar
Afisa habari wa Mamlaka ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Bestina Magutu( kulia)akiwa tambulisha Wakurugenzi wa Mamlaka hiyo kwa wahariri wa vyombo vya Habari nchini katika mkutano uliofanyika katika hoteli ya Peacock jijini Dar es Salaam.ikiwa ni mahususi kwa wahariri vyombo mbalimbali nchini.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Fadhili Manongi akifafanua jambo kwa wahariri wa vyombo vya habari nchini (hawapo pichani) juu ya Kanuni na taratibu za Mamlaka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OzRDg3mHGgs/XmEKUmn0nHI/AAAAAAALhV4/q23L7I3r4K0rlRvrgHurdQv7cU-cG4g0gCLcBGAsYHQ/s72-c/bd5e8025-081a-477b-843c-3b4b96b96215.jpg)
MKURUGENZI MKUU TCRA MHANDISI JAMES KILABA, WAHARIRI VYOMBO VYA HABARI WAKUTANA JIJINI DAR KUWEKA MKAKATI WA KUFANIKISHA TUZO ZA TEHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-OzRDg3mHGgs/XmEKUmn0nHI/AAAAAAALhV4/q23L7I3r4K0rlRvrgHurdQv7cU-cG4g0gCLcBGAsYHQ/s640/bd5e8025-081a-477b-843c-3b4b96b96215.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JxoVvq1P-jg/XmEKU1UIMRI/AAAAAAALhV8/CuAmpcubiJ8JkToOr37EsELV2MNUHmdtQCLcBGAsYHQ/s640/cba817aa-50c9-45ff-b880-294175cabcdc.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kD17UfMD7rc/XmEKVeHK1vI/AAAAAAALhWA/l6tp68X8TIAmW7sSNI-1IpETBy6LY4oOQCLcBGAsYHQ/s640/d0df008c-b4e0-4e87-bc5e-5ce36312608b.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xtVuD9tRkaA/XmELzoXaTnI/AAAAAAALhWY/AT36PgPJVW0JfZBPb6GqK6I_s41ElfbjQCLcBGAsYHQ/s640/f0f946c7-1bec-4004-9ab3-a1e8d4c2c7ec.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-mCCvvoLTExU/Ve8ROIVvKuI/AAAAAAABU5Q/GNzmUdM7s_U/s72-c/6....Gwajima-akionesha-hisia-zake..jpg)
GWAJIMA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI LEO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-mCCvvoLTExU/Ve8ROIVvKuI/AAAAAAABU5Q/GNzmUdM7s_U/s640/6....Gwajima-akionesha-hisia-zake..jpg)
Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima akizungumza na waandishi wa Habari leo.
Na Emmanuel Mtengwa
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amejitokeza leo na kujibu tuhuma zilizotolewa dhidi yake na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa wiki moja iliyopita.Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Askofu Gwajima amekanusha tuhuma za kuwa alimwambia Dk Slaa kuwa wapo maaskofu ambao walihongwa na...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-iNW1Cvex7qs/VeHmu_DfTXI/AAAAAAAAuCE/HMUsu2IFxaU/s72-c/OTH_0257.jpg)
PICHA ZINGINE ZA UKAWA WAZINDUA KAMPENI ZAO JANGWANI JIJINI DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-iNW1Cvex7qs/VeHmu_DfTXI/AAAAAAAAuCE/HMUsu2IFxaU/s640/OTH_0257.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-meC_gHHQ_9Q/VeHmlK9ohQI/AAAAAAAAuB0/g9AvTx07jBw/s640/OTH_0222.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rkih4-hGv7Y/VeHm2La22qI/AAAAAAAAuCM/nMwKpndUrUY/s640/OTH_0309.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6VtCAWaf0k4/VeHmat3IPXI/AAAAAAAAuBk/nG5xq89djck/s640/OTH_0192.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4GFIzY-DikM/VeHmrFZwe0I/AAAAAAAAuB8/9g6O-_nlh2U/s640/OTH_0237.jpg)
9 years ago
MichuziNEC YAKUTANA NA WAMILIKI WA VYOMBO VYA HABARI LEO JIJINI DAR ES SALAAM
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dk.Reginard Mengi akichangia maada katika mkutano wa Wamiliki na Vyombo vya habari uliotishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) uliofanyika leo katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ExcAKJjmEls/VHYFHwQe2SI/AAAAAAAGzm4/sXRLemzNbm0/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
KATIBU MKUU TAMISEMI AKUTANA NA VYOMBO VYA HABARI JIJINI DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-ExcAKJjmEls/VHYFHwQe2SI/AAAAAAAGzm4/sXRLemzNbm0/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VNoKuKFBcl8/VHYFIaZNUlI/AAAAAAAGzm8/ssHutRqc9Xc/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10