Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Umasikini unaua wajawazito’

MUUGUZI Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo, mkoani Kagera, Revocatus Dominick, amesema kina mama wengi wamekuwa wakipoteza maisha wakati wa kujifungua, kutokana na umasikini wa vipato. Dominick alitoa kauli hiyo alipozungumza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ufisadi unaua mamilioni duniani

Inakisiwa dola Trilloni 1 huporwa kutoka kwa nchi maskini kila mwaka huku maisha ya mamilioni ya watu yakihatarishwa.

 

11 years ago

GPL

MWANA...UKIBENDI UNAUA BENDI LAIVU

Inakuwaje wana? Oya masela dizaini kama mnanifungia vioo mzee mnyama mwenyewe Mpeke. Siyo freshi watu wangu wa nguvu. Kama vipi tusambaze lavu. Ni mpango mzima kozi hapa hatufanyifanyi tu bati tunafanya kazi. Karibu tena kwenye mastori yetu hapa jamvini. Aiseee hizi ni tamu kinoma. Tulia wewe upate udambwidambwi hapa!  
Bila kuwesti taimu, tudei ngoja nikusanue na stori moko ambayo naona kama ikiendelea tutazidi kulosti wana...

 

11 years ago

Mwananchi

Upendo usio na mrejesho unaua uzalendo

Neno upendo ni neno ambalo kila mtu atakubaliana nami kwamba ni neno linalotumika sana wakati wa kuashiria uhusiano kati ya kiumbe cha aina moja na chenzake cha aina hiyo au na viumbe vingi vyenye. Kiumbe chenye uwezo wa kutoa upendo kwa kiumbe kingine hakika kinasifiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Abdallah: Ukosefu wa mashindano unaua tenisi

Baada ya kukosekana mashindano ya kimataifa ya mchezo wa tenisi ya wakubwa hapa nchini kwa miaka mitatu klabu ya Dar es Salaam Gymkhana imeyarudisha mashindano hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Slaa: Uswahiba wa JK, Kawambwa unaua elimu

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amesema, uswahiba wa Rais Jakaya Kikwete na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa ndiyo chanzo cha kuporomoka kwa cha elimu nchini.

 

10 years ago

CloudsFM

KIFUA KIKUU NI UGONJWA ULIO GUNDULIKA UNAUA WATU ZAIDI YA MILIONI 1 DUNIANI

Tanzania, watu 120,191 hukisiwa kuwa na ugonjwa wa kifua kikuu kila mwaka, hii ni kutokana na taarifa ya Shirika la USAID ya mwaka 2007 na vifo vinavyotokana na ugonjwa wa kifua kikuu ni 32,000 kila mwaka hapa nchini Tanzania.Takwimu za Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) zinaonyesha kuwa Tanzania ni ya 15 kati ya nchi 22 ambazo zimeathiriwa sana na ugonjwa huu na kwa mujibu wa takwimu za shirika hilo, kwa dunia nzima mwaka 2012 watu milioni 8.6 waliambukizwa ugonjwa wa kifua kikuu, na watu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tasaf kupunguza umasikini

SERIKALI kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf), imedhamiria kupunguza umasikini katika familia kupitia mpango wa kunusuru kaya. Hayo yalibainishwa mjini hapa juzi na Mkurugenzi wa Programu za Jamii, Amadeus...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Mengi: Umasikini ni changamoto

MWENYEKITI Mtendaji wa kampuni za IPP, Dk. Reginald Mengi, amewataka wanawake wajasiriamali nchini kujiamini na kutambua kwamba umasikini siyo tatizo, bali ni changamoto itakayowawezesha kufikia mafanikio. Alisema mwanamke mjasiriamali anapaswa...

 

10 years ago

Habarileo

CCM wajipanga kuuaga umasikini

IMEELEZWA kuwa endapo wanachama na viongozi wote wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) watalipa ada zao kwa asilimia 100 kitakuwa na uwezo wa kukusanya Sh bilioni 12 kwa mwezi na kuzidi ruzuku inayotolewa na serikali kwa vyama vya siasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani