Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Abdallah: Ukosefu wa mashindano unaua tenisi

Baada ya kukosekana mashindano ya kimataifa ya mchezo wa tenisi ya wakubwa hapa nchini kwa miaka mitatu klabu ya Dar es Salaam Gymkhana imeyarudisha mashindano hayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mashindano ya tenisi Afrika Mashariki yaanza leo

MASHINDANO ya tenisi ya Vijana ya Afrika Mashariki yanatarajiwa kuanza leo kwenye Uwanja wa Gymkhana jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Umasikini unaua wajawazito’

MUUGUZI Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo, mkoani Kagera, Revocatus Dominick, amesema kina mama wengi wamekuwa wakipoteza maisha wakati wa kujifungua, kutokana na umasikini wa vipato. Dominick alitoa kauli hiyo alipozungumza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ufisadi unaua mamilioni duniani

Inakisiwa dola Trilloni 1 huporwa kutoka kwa nchi maskini kila mwaka huku maisha ya mamilioni ya watu yakihatarishwa.

 

11 years ago

GPL

MWANA...UKIBENDI UNAUA BENDI LAIVU

Inakuwaje wana? Oya masela dizaini kama mnanifungia vioo mzee mnyama mwenyewe Mpeke. Siyo freshi watu wangu wa nguvu. Kama vipi tusambaze lavu. Ni mpango mzima kozi hapa hatufanyifanyi tu bati tunafanya kazi. Karibu tena kwenye mastori yetu hapa jamvini. Aiseee hizi ni tamu kinoma. Tulia wewe upate udambwidambwi hapa!  
Bila kuwesti taimu, tudei ngoja nikusanue na stori moko ambayo naona kama ikiendelea tutazidi kulosti wana...

 

11 years ago

Mwananchi

Upendo usio na mrejesho unaua uzalendo

Neno upendo ni neno ambalo kila mtu atakubaliana nami kwamba ni neno linalotumika sana wakati wa kuashiria uhusiano kati ya kiumbe cha aina moja na chenzake cha aina hiyo au na viumbe vingi vyenye. Kiumbe chenye uwezo wa kutoa upendo kwa kiumbe kingine hakika kinasifiwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Slaa: Uswahiba wa JK, Kawambwa unaua elimu

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amesema, uswahiba wa Rais Jakaya Kikwete na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa ndiyo chanzo cha kuporomoka kwa cha elimu nchini.

 

10 years ago

CloudsFM

KIFUA KIKUU NI UGONJWA ULIO GUNDULIKA UNAUA WATU ZAIDI YA MILIONI 1 DUNIANI

Tanzania, watu 120,191 hukisiwa kuwa na ugonjwa wa kifua kikuu kila mwaka, hii ni kutokana na taarifa ya Shirika la USAID ya mwaka 2007 na vifo vinavyotokana na ugonjwa wa kifua kikuu ni 32,000 kila mwaka hapa nchini Tanzania.Takwimu za Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) zinaonyesha kuwa Tanzania ni ya 15 kati ya nchi 22 ambazo zimeathiriwa sana na ugonjwa huu na kwa mujibu wa takwimu za shirika hilo, kwa dunia nzima mwaka 2012 watu milioni 8.6 waliambukizwa ugonjwa wa kifua kikuu, na watu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Li Na astaafu tenisi

Mchezaji nambari moja wa Tennis nchini China LI Na amestaafu

 

10 years ago

Raia Tanzania

Ukata waikumba tenisi

TIMU ya  Taifa ya  Tenisi Walemavu imewaomba wadau mbalimbali kuwasaidia kiasi cha  Dola za Marekani 1500 kwa ajili ya kushiriki michuano ya wazi ya Kenya (Kenya Open) inayotarajia kufanyika mwezi huu nchini humo.

Akizungumza na gazeti hili jana, Kocha wa timu hiyo Riziki Salum alisema wanataka kushiriki michuano hiyo ili waweze kutetea ubingwa wao walioupata mwaka jana.

Salum alisema mashindano hayo yatakuwa  ya wiki moja na wanatakiwa kujigharamia  kwa kila kitu kwa muda wote...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani