Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upendo usio na mrejesho unaua uzalendo

Neno upendo ni neno ambalo kila mtu atakubaliana nami kwamba ni neno linalotumika sana wakati wa kuashiria uhusiano kati ya kiumbe cha aina moja na chenzake cha aina hiyo au na viumbe vingi vyenye. Kiumbe chenye uwezo wa kutoa upendo kwa kiumbe kingine hakika kinasifiwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Kila siku wanadai eti vijana hatuna uzalendo. Wao wana uzalendo kwetu?

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke, mipango miji, machinga, kero vijijini na waishiwa,

Hidaya

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Umasikini unaua wajawazito’

MUUGUZI Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo, mkoani Kagera, Revocatus Dominick, amesema kina mama wengi wamekuwa wakipoteza maisha wakati wa kujifungua, kutokana na umasikini wa vipato. Dominick alitoa kauli hiyo alipozungumza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ufisadi unaua mamilioni duniani

Inakisiwa dola Trilloni 1 huporwa kutoka kwa nchi maskini kila mwaka huku maisha ya mamilioni ya watu yakihatarishwa.

 

11 years ago

GPL

MWANA...UKIBENDI UNAUA BENDI LAIVU

Inakuwaje wana? Oya masela dizaini kama mnanifungia vioo mzee mnyama mwenyewe Mpeke. Siyo freshi watu wangu wa nguvu. Kama vipi tusambaze lavu. Ni mpango mzima kozi hapa hatufanyifanyi tu bati tunafanya kazi. Karibu tena kwenye mastori yetu hapa jamvini. Aiseee hizi ni tamu kinoma. Tulia wewe upate udambwidambwi hapa!  
Bila kuwesti taimu, tudei ngoja nikusanue na stori moko ambayo naona kama ikiendelea tutazidi kulosti wana...

 

10 years ago

Mwananchi

Abdallah: Ukosefu wa mashindano unaua tenisi

Baada ya kukosekana mashindano ya kimataifa ya mchezo wa tenisi ya wakubwa hapa nchini kwa miaka mitatu klabu ya Dar es Salaam Gymkhana imeyarudisha mashindano hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Slaa: Uswahiba wa JK, Kawambwa unaua elimu

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amesema, uswahiba wa Rais Jakaya Kikwete na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa ndiyo chanzo cha kuporomoka kwa cha elimu nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Tigo kutoa mrejesho kwa wateja wake

 Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo, imejenga zaidi ya minara 500 kuboresha mawasiliano na kuwafikia wateja walioko maeneo ya vijijini.

 

10 years ago

Vijimambo

Mrejesho wa kikao cha mashauriano kuhusu Mji mpya Kigamboni




Siku ya Jumapili tarehe 10 Agosti 2014 kilifanyika kikao cha mashauriano kuhusu Mpango Kabambe wa Uendelezaji Mji Mpya wa Kigamboni kilichojumuisha Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Prof. Anna Tibaijuka (Mb), Waheshimiwa Madiwani, Maofisa Watendaji Kata, Mbunge wa Kigamboni na wadau wengine. Mhe. Waziri alielezea kuwa lengo la kikao hiki ni pamoja na kutoa elimu kuhusu suala la hisa na kutaka kuwashawishi Madiwani na Mbunge kulikubali suala hili na pia kutoa taarifa ya...

 

11 years ago

Michuzi

UCHAGUZI DMV: MREJESHO WA KIKAO CHA WAGOMBEA NA BALOZI MULAMULA

Na Liberatus Mwangombe “Libe”

Libe akifuatilia mkutano Ubalozini

         Ijumaa July 18, 2014 tulikuwa na mkutano kwenye ubalozi wa Tanzania Wshington D. C. ulio tuhusisha wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi kwenye jumuia ya DMV, viongozi wa Tume ya Uchaguzi, ATC Metro Board members na kusimamiwa na balozi Liberata Mulamula. Kwenye mkutano huu wagombea tulitoa malalamiko ya jinsi uchaguzi umekuwa ukiendeshwa bila haki na sintofahamu lote linalo uzunguka uchaguzi huu. Kusoma mrejesho wote...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani