UMOJA WA MATAIFA WAONGEZA POSHO YA WALINZI WA AMANI
.jpg)
Na Mwandishi Maalum, New York Baada ya vuta ni kuvute ya muda mrefu na majadiliano makali baina ya nchi zinazotoa walinzi wa Amani ( TCC) na zile zinazochangia raslimali fedha, hatimaye siku ya alhamisi ( Julai 3, 2014) Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, lilipitisha nyongeza ya posho kwa walinzi wa amani kutoka posho ya sasa ya dola za kimarekani 1, 028 kwa mwezi hadi dola za kimarekani 1,410 kwa mwezi. Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, lilipitisha nyongeza hiyo baada ya Kamati ya Tano...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
TANZANIA YASISITIZA NYONGEZA YA POSHO KWA WALINZI WA AMANI WA UMOJA WA MATAIFA
.jpg)
11 years ago
MichuziMaadhimisho ya siku ya walinda Amani ya Umoja wa Mataifa yafanyika Dar
10 years ago
Vijimambo
UMOJA WA MATAIFA WA WAENZI WALINDA WA AMANI WALIOPOTEZA MAISHA 2014

11 years ago
Michuzi.jpg)
TUTENDELEA KUSHIRIKANA NA UMOJA WA MATAIFA KATIKA ULINZI WA AMANI-TANZANIA
11 years ago
GPL
TUTANDELEA KUSHIRIKANA NA UMOJA WA MATAIFA KATIKA ULINZI WA AMANI - TANZANIA
10 years ago
Vijimambo
WALINZI WA AMANI WATANZANIA WAPOTEZA MAISHA DRC, BAN KI MOON ALAANI VIKALI,

Na Mwandishi...
10 years ago
Vijimambo09 Jan
BAN KI MOON ASIKITISHWA NA ONGEZEKO LA MASHAMBULIZI DHIDI YA WALINZI WA AMANI NA WATOA MISAADA YA KIBINADAMU

10 years ago
Michuzi.jpg)
Ban Ki Moon asikitishwa na ongezeko la mashambulizi dhidi ya walinzi wa amani na watoaji wa misaada ya kibinadamu
.jpg)
.jpg)
11 years ago
MichuziTANZANIA YAONGOZA MKUTANO WA PAMOJA KATI YA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA (AU) NA KAMATI YA SIASA NA USALAMA YA UMOJA WA ULAYA (EU) MJINI BRUSSELS, UBELGIJI