Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umoja wa Ulaya kuwapa hifadhi wahamiaji

Nchi za Umoja wa Ulaya zimekubali kubeba mzigo wa wahamiaji wanaoingia barani Ulaya kupitia Italia na Ugiriki

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Umoja wa Ulaya na tatizo la wahamiaji

Viongozi wa Ufaransa na Ujerumani wamezitaka nchi za Umoja wa Ulaya kufanya kazi pamoja kuweza kukabiliana na tatizo la wahamiaji.

 

9 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA MABALOZI WA UMOJA WA JAMHURI YA KOREA, UMOJA WA ULAYA NA PALESTINA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipokea Hati za Utambulisho za Mhe. Song Geum-young, Balozi wa Jamhuri ya Korea Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 5, 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akizungumza na Mhe. Song Geum-young, Balozi wa Jamhuri ya Korea Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 5, 2016 baada ya kupokea hati zake za utambulisho  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph...

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA YAONGOZA MKUTANO WA PAMOJA KATI YA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA (AU) NA KAMATI YA SIASA NA USALAMA YA UMOJA WA ULAYA (EU) MJINI BRUSSELS, UBELGIJI

Mhe. Naimi Aziz, Balozi wa Tanzania na Mwenyekiti wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU), pamoja na Balozi Walter Stevens (Kulia), Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa na Usalama ya Umoja wa Ulaya (EU) wakiwa katika mkutano huo. Kushoto ni Balozi Smail Chergui, Kamishna wa Amani na Usalama wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika. Katika Mkutano huo, pamoja na mambo mengine, vyombo hivyo viwili vilikubaliana kuendeleza ushirikiana zaidi katika kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa migogoro...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji : nchi za ulaya zakosolewa

Waziri wa mashauri ya kigeni nchini Ufaransa ameelezea hisia za nchi za ulaya dhidi ya suala la uhamiji kuwa sawa na sakata.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji:Muungano wa Ulaya wapingwa

Makundi ya kupigania haki za kibinadamu yamesema kuwa mikakati ilioafikiwa na muungano wa Ulaya kuzuia wahamiaji sio ufumbuzi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji waokolewa pwani ya Ulaya

Wahamiaji zaidi ya 300 wameokolewa kutoka pwani ya bahari nchini Italia na Ugiriki katika matukio tofauti.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji:Mataifa ya Ulaya yatofautiana

Naibu Chansela wa Ujerumani ameelezea ghadhabu zake kutokana na hatua ya mawaziri wa muungano wa Ulaya kushindwa kukubaliana kuhusu mpango wa kugawana wahamiaji.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji:Mawaziri wa Ulaya wakutana

Mawaziri wa sheria na mambo ya ndani kutoka nchi za Ulaya wanafanya mkutano wa dharura kuzungumzia tatizo la uhamiaji.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wasababisha msukosuko ulaya

Kumekuwa na dalili za kuongezeka misukosuko kati ya nchi za ulaya wakati zinapojaribu kukabiliana na maelfu ya wahamiaji

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani