UNAAMBIWA MGANGA ANASWA LIVE GUEST NA WAKE ZA WATU USIKU WA MANANE...ETI ANAWAPA DAWA YA MAPENZI.
Mganga wa jadi almaarufu sangoma aliyetajwa kwa jina la Wadebi akijutia baada ya kunaswa live. Tukio hilo la aina yake lilijiri maeneo hayo, usiku wa manane wa kuamkia Jumanne iliyopita, wakati waumini wa Dini ya Kiislamu waliofunga kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani wakila daku.
Kwa mujibu wa mashuhuda, jamaa huyo alidaiwa kuwa alikuwa akiwafanyia wake hao wa watu dawa ya mapenzi kwa kuwavua nguo zote kisha ‘kuwachezea’.Ama kweli uswazi hakuishi vijimambo! Mganga wa jadi almaarufu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLLULU, YOUNG D WAKUTWA WAKIFANYA MAPENZI USIKU WA MANANE
10 years ago
GPLANASWA! NJEMBA ADAIWA KURUBUNI WAKE ZA WATU KINGONO
10 years ago
Bongo Movies30 Jun
‘Filamu Zionyeshwe Usiku wa Manane’
Meneja msaidizi wa bidhaa za Zuku Tanzania, Venaranda Raphael, amezitaka kampuni zinazofanya shughuli za filamu nchni zizingatie maadili kwa kuonyesha filamu zao usiku ili zisiharibu taibia za watoto walio chini ya umri wa miala 18.
Alisema filamu nyingi zina picha zisizofaa kwa watoto hivyo zionyeshwe usiku wa manane ambapo inaaminika kwamba muda huo idadi kubwa ya watoto huwa wamelala.
Naye memeja mkuu wa kampuni hiyo, Omari Zuberi, alisema kampuni hiyo imewekeza dola milioni moja kwa...
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Makaburi alizikwa usiku wa manane
9 years ago
Mzalendo Zanzibar17 Oct
Kura zawasili usiku wa manane kinyume na ilivotarajiwa
Vifaa vya upigaji kura vikiwasili ofisi ya tume ya uchaguzi visiwani Zanzibar iliyopo Chake Chake Pemba chini ya ulinzi wa jeshi la wananchi Tanzania(JWTZ) tarehe 17/10/2015 Mvutano umejitokea wapi vifaa hivyo vitahifadhiwa hadi sasa
The post Kura zawasili usiku wa manane kinyume na ilivotarajiwa appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Jiji lavunja vibanda usiku wa manane Mbeya
10 years ago
Mwananchi31 Oct
Ocean Road wahudumia wagonjwa hadi usiku wa manane
10 years ago
Habarileo23 Oct
Aliyeuawa kwa 'ugaidi’ azikwa usiku wa manane
MTUHUMIWA wa matukio ya kigaidi na umwagiaji watu tindikali katika miji mbalimbali nchini ikiwa pamoja na Arusha, Yahaya Hassan Hela (31) maarufu kama Yahaya Sensei amezikwa usiku wa `manane’ kijijini kwao Chemchem, kata ya Suruke wilayani Kondoa, Dodoma.
11 years ago
GPL20% ANASWA KWA MGANGA WA KIENYEJI