Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNAAMBIWA MGANGA ANASWA LIVE GUEST NA WAKE ZA WATU USIKU WA MANANE...ETI ANAWAPA DAWA YA MAPENZI.


Mganga wa jadi almaarufu sangoma aliyetajwa kwa jina la Wadebi akijutia baada ya kunaswa live. Tukio hilo la aina yake lilijiri maeneo hayo, usiku wa manane wa kuamkia Jumanne iliyopita, wakati waumini wa Dini ya Kiislamu waliofunga kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani wakila daku.
Kwa mujibu wa mashuhuda, jamaa huyo alidaiwa kuwa alikuwa akiwafanyia wake hao wa watu dawa ya mapenzi kwa kuwavua nguo zote kisha ‘kuwachezea’.Ama kweli uswazi hakuishi vijimambo! Mganga wa jadi almaarufu...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

LULU, YOUNG D WAKUTWA WAKIFANYA MAPENZI USIKU WA MANANE

Elizabeth Michael 'LULU'. Jana kupitia kwenye kipindi cha U-heard cha Clouds FM chini ya bwana Sudi Brown ama Gossip Cop kulikuwa na fununu kali iliyokuwa inamuhusu mwanadada wa bongomovies  na mwimbaji wa muziki wa kizazi kipya Young D ' Young Dar es salaam' kama mwenyewe anavyojiita ya wawili hao kukutwa kwenye gari wakifanya lile tendo linaloruhusiwa kufanywa mara baada ya mdada na mkaka kufunga ndoa. ...

 

10 years ago

GPL

ANASWA! NJEMBA ADAIWA KURUBUNI WAKE ZA WATU KINGONO

Dustan Shekidele, Morogoro Mji wa Morogoro umekumbwa na matukio mfululizo ya mafumanizi ambapo baada ya ticha wa shule ya msingi kufumaniwa na dereva wa bodaboda kisha jamaa kubondwa kwa kukutwa akifanya ngono na mke wa mtu vichakani na denti wa upadri kufumaniwa, mwanzoni mwa wiki hii fumanizi lingine kiboko la njemba mwenye asili ya Kiarabu limetokea. Wakinamama (kushoto) wakimficha mwenzao (mke wa mtu) aliyenaswa kwenye...

 

10 years ago

Bongo Movies

‘Filamu Zionyeshwe Usiku wa Manane’

Meneja msaidizi wa bidhaa za Zuku Tanzania, Venaranda Raphael, amezitaka kampuni zinazofanya shughuli za filamu nchni zizingatie maadili kwa kuonyesha filamu zao usiku ili zisiharibu taibia za watoto walio chini ya umri  wa miala 18.

Alisema filamu nyingi zina picha zisizofaa kwa  watoto hivyo zionyeshwe usiku wa manane ambapo inaaminika  kwamba muda huo idadi kubwa ya watoto huwa wamelala.

Naye memeja mkuu wa kampuni hiyo, Omari Zuberi, alisema kampuni hiyo imewekeza dola milioni moja kwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Makaburi alizikwa usiku wa manane

Mhubiri mwenye utata aliyeuawa na polisi mjini Mombasa, Kenya Jumanne usiku, Abubakar Shariff Makaburi alizikwa usiku

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Kura zawasili usiku wa manane kinyume na ilivotarajiwa

Vifaa vya upigaji kura vikiwasili ofisi ya tume ya uchaguzi visiwani Zanzibar iliyopo Chake Chake Pemba chini ya ulinzi wa jeshi la wananchi Tanzania(JWTZ) tarehe 17/10/2015 Mvutano umejitokea wapi vifaa hivyo vitahifadhiwa hadi sasa

The post Kura zawasili usiku wa manane kinyume na ilivotarajiwa appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Mwananchi

Jiji lavunja vibanda usiku wa manane Mbeya

>Wafanyabiashara ndogondogo ‘Machinga’ wa jijini Mbeya jana  walijikuta kwenye wakati mgumu baada ya kufika maeneo yao ya biashara na kukuta vibanda vyao vimevunjwa usiku.

 

10 years ago

Mwananchi

Ocean Road wahudumia wagonjwa hadi usiku wa manane

Uhaba wa vifaa tiba na ubovu wa mashine ya mionzi, umewafanya wahudumu wa afya katika Taasisi ya Saratani ya Ocean Road(ORCI) kutibu wagonjwa hadi usiku wa manane. gazeti hili limebaini.

 

10 years ago

Habarileo

Aliyeuawa kwa 'ugaidi’ azikwa usiku wa manane

MTUHUMIWA wa matukio ya kigaidi na umwagiaji watu tindikali katika miji mbalimbali nchini ikiwa pamoja na Arusha, Yahaya Hassan Hela (31) maarufu kama Yahaya Sensei amezikwa usiku wa `manane’ kijijini kwao Chemchem, kata ya Suruke wilayani Kondoa, Dodoma.

 

11 years ago

GPL

20% ANASWA KWA MGANGA WA KIENYEJI

Stori: Musa Mateja na Shakoor Jongo Makubwa! Kichwa cha Bongo Fleva kutoka pande za Kimanzichana mkoani Pwani, Abas Kinzasa ‘20%’, anadaiwa kunaswa laivu akiwa kwa mganga wa kienyeji akipata tiba ya kupunguza na kuondoa sumu ya utumiaji wa bangi na pombe, Ijumaa Wikienda lina ‘pakeji’ kamili. Abas Kinzasa ‘20%’. Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, ishu hiyo ilijiri katika Kijiji cha Ngukumo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani