unafahamu jinsi ya kupata marafiki na kudumisha urafiki?
Hapana shaka wewe msomaji wangu una marafiki. Je, unaridhika na idadi ya marafiki ulionao? Kama hauridhiki, je, unajua namna ya kupata marafiki wapya na kudumisha urafiki na wale ulionao? Kama hujui usiwe na wasiwasi bali endelea kusoma makala hii.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Unafahamu jinsi ya kujijengea au kujiongezea ujasiri?
Ukikutana na mtu akakuuliza; baada ya kumcha Mungu ni jambo gani jingine muhimu unafikiri binadamu anapaswa kulifanya katika maisha yake? Hapana shaka hutaweza kutoa jibu mara moja kwa sababu utajikuta ukifikiria mambo kadhaa, wala hutaweza mara moja kutambua lipi ni muhimu kuliko yote.
9 years ago
MichuziWADAU WA AMANI MKOA WA SHINYANGA WAKUTANA KUJADILI JINSI YA KUDUMISHA AMANI KIPINDI CHA UCHAGUZI
Mambo kadha wa kadha yamejadiliwa ikiwemo kuhakikisha ulinzi na usalama wa...
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Jinsi ya kupata ardhi kisheria-1
Ardhi ni mali na watu wanajipatia ardhi kwa njia mbalimbali. Leo tutaangalia njia mbadala ambazo watu hujipatia ardhi hapa nchini.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HYHf5SgZ8mM/VkGumaFjVsI/AAAAAAAAUks/HtZAlXUTZMA/s72-c/recruitme.jpg)
FAHAMU JINSI #RECRUITME INAVYOWEZA KUKUPA UJUZI UTAKAOKUSAIDIA KUPATA KAZI UITAKAYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-HYHf5SgZ8mM/VkGumaFjVsI/AAAAAAAAUks/HtZAlXUTZMA/s640/recruitme.jpg)
Vijana wengi wa Tanzania wana ujuzi waliopata kutokana na mafunzo mbalimbali, lakini baadhi yao kushindwa kutumia...
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Fahamu jinsi unavyoweza kutumia kushindwa kwako kama kichocheo cha kupata ushindi maishani
Je umewahi kushindwa kutenda jambo lilikuwa muhimu sana kwa maendeleo ya maisha yako? Je hali hii huwa inatokea mara kwa mara au mara chache sana? Inapotokea huwa unafanya nini? Huwa unakata tamaa kabisa na kuacha kujaribu tena? Kabla hujatafakari sana kuhusu suala hili hebu soma taarifa yangu fupi kuhusu suala hili.
10 years ago
Michuzi19 Jun
10 years ago
Vijimambo17 Dec
UNAFAHAMU DAWA YA KUTENDWA?
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBu7MrbtfyrpeBNLC1McDcpiwZRnyw8a1r88FBuMBKeO9br62HWXx6EOrUNFgascBOR4j2j7jBwGaIQC7yV4ryQJ/couplesproblems.jpg?width=650)
HABARI zenu wapendwa wasomaji wa safu hii. Nimefurahi tumekutana tena kwa mara nyingine ili kupeana mawili matatu yanayohusu mahaba, hasa kwa kuwa baada ya kazi ngumu za kujenga taifa letu, tunahitaji nafasi kwa ajili ya kupumzisha mwili kiakili.
Juzi nilikuwa na rafiki yangu mmoja tumekaa sehemu tunabadilishana mawazo, akanipa simulizi ambayo imezaa mada hii. Alinisimulia mkasa wake kuwa anahisi mke wake anatoka na mtu mwingine, kwa sababu baada ya kuishika simu yake kwa siri na kuipekua,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBviy35YmQCKjl2VoYLPIE68QLLTQmDhJLu7HB-deLAPijOdJWiFAmPFpkVyac0-NIk8VoHFcaSfi2sdABFrrC6j/xxlv.jpg?width=650)
UNAFAHAMU DAWA YA KUTENDWA?
HABARI zenu wapendwa wasomaji wa safu hii. Nimefurahi tumekutana tena kwa mara nyingine ili kupeana mawili matatu yanayohusu mahaba, hasa kwa kuwa baada ya kazi ngumu za kujenga taifa letu, tunahitaji nafasi kwa ajili ya kupumzisha mwili kiakili. Juzi nilikuwa na rafiki yangu mmoja tumekaa sehemu tunabadilishana mawazo, akanipa simulizi ambayo imezaa mada hii. Alinisimulia mkasa wake kuwa anahisi mke wake anatoka na mtu mwingine,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania