Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNAKUBALIKA KWENYE JAMII-2

BADO tunaendelea na somo letu ambalo safari hii nagusia upande wa maisha. Ndugu zangu, kukubalika kwenye jamii kuna manufaa makubwa kama nilivyosema wiki iliyopita.
Niliishia pale nilipofafanua hasara za kutokubalika kwenye jamii. Sasa leo tuendelee. KWA NINI HUKUBALIKI?
Wakati naanza kabisa kuandika mada hii, nimeeleza kwamba kila kinachotokea duniani huwa na sababu zake. Haiwezekani ukawa hukubaliki kwa chuki za watu au...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UNAKUBALIKA KWENYE JAMII YAKO?

LEO kwenye Love & Life nitazungumzia jambo muhimu sana katika maisha yetu. Kwa wiki kadhaa mfululizo nimezungumzia zaidi mapenzi, hebu leo tugusie maisha kidogo. Ni kuhusu kukubalika kwenye jamii. Watu wanakuchukuliaje mtaani kwako? Vipi kazini kwako una marafiki? Wanaokuzunguka wanakuonaje? Unakubalika? Ndugu zangu, kukubalika na watu unaoishi nao ni chachu ya maisha yako. Kwa maneno mengine huwezi kufanya mambo yako kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Watanzania watakiwa kusaidia watu wasiojiweza kwenye jamii

DSC_0006

 

Mhe. Membe pamoja na Mkewe Mama Dorcas Membe wakipata maelezo juu ya watoto waishio katika kituo hich kutoka kwa Sista Mary Bakhita.

  Waziri Membe akizungumaza wakati wa ziara yake kituoni hapo. Kulia ni Mama Dorcas Membe. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Paul Makonda akifuatiwa na Padri Timoth Maganga wa Kanisa Katoliki la Kigogo Mburahati.

Padri Timoth Maganga wa Kanisa Katoliki la Kigogo Mburahati akitoa shukrani zake za pekee kwa Waziri Membe kutembelea kituoni hapo.

 

9 years ago

Michuzi

Polisi waja na mpango wa kuboresha usalama kwenye jamii

Na. Tamimu Adam – Jeshi la Polisi.
Jeshi la polisi nchini, limeanzisha mpango wa   kuboresha usalama wa jamii  nchi nzima ambao unalenga  kuboresha  utoaji wa huduma bora kwa wananchi, kuboresha mawasiliano  ya ndani na nje ya Jeshi la polisi kwa kuwashirikisha wadau  mbalimbali wa usalama ambapo mpango huo utaanza kutekelezwa katika mkoa wa kipolisi kinondoni  ambapo lengo lake ni  kupunguza uhalifu kwa asilimia kumi ifikapo mwaka 2019.
Akihitimisha  maabara ya mpango huo iliyofanya kazi kwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jeshi la Polisi laja na mpango wa kuboresha usalama kwenye jamii.

1 (1)

Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi, Abdulrahmani Kaniki akisalimiana na askari Polisi wa wa jeshi hilo. (Picha ya Maktaba).

Na Tamimu Adam, wa Jeshi la Polisi.

Jeshi la polisi nchini, limeanzisha mpango wa   kuboresha usalama wa
jamii  nchi nzima ambao unalenga  kuboresha  utoaji wa huduma bora kwa wananchi, kuboresha mawasiliano  ya ndani na nje ya Jeshi la polisi kwa kuwashirikisha wadau  mbalimbali wa usalama 

ambapo mpango huo utaanza kutekelezwa katika mkoa wa kipolisi kinondoni ...

 

9 years ago

Michuzi

Jeshi la Polisi laja na mpango wa kuboresha usalama kwenye jamii.

Na Tamimu Adam, Jeshi la Polisi.

Jeshi la polisi nchini, limeanzisha mpango wa   kuboresha usalama wa jamii  nchi nzima ambao unalenga  kuboresha  utoaji wa huduma bora kwa wananchi, kuboresha mawasiliano  ya ndani na nje ya Jeshi la polisi kwa kuwashirikisha wadau  mbalimbali wa usalama ambapo mpango huo utaanza kutekelezwa katika mkoa wa kipolisi kinondoni  ambapo lengo lake ni  kupunguza uhalifu kwa asilimia kumi ifikapo mwaka 2019.


Akihitimisha  maabara ya mpango huo iliyofanya kazi kwa...

 

10 years ago

Michuzi

Nishati na Madini yatakiwa kushirikisha jamii kwenye uanzishaji wa miradi

Mtaalam Mwelekezi kutoka Kampuni ya Petrogas Bw. Tom Mitro (kushoto) akielekeza namna ya kuandaa mapendekezo ya miradi ( project proposals) mbele ya washiriki wa mafunzo hayo. Baadhi ya washiriki kutoka Wizara ya Nishati na Madini wakifuatilia kwa makini mada zilizokuwa zinawasilishwa na Bw. Tim Mitro kutoka kampuni ya Petrogas (hayupo pichani). Mtaalam Mwelekezi kutoka Kampuni ya Petrogas Bw. Tom Mitro akisisitiza jambo wakati wa mafunzo hayo.
Na Greyson Mwase, Bagamoyo
Wataalamu wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

11 years ago

Tanzania Daima

Jamii yatakiwa kuwasaidia watoto waishio kwenye mazingira magumu

JAMII nchini imetakiwa kuona umuhimu na wajibu wa kuwalea na kuwasaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu ili waweze kufikia ndoto zao katika kimaisha. Ushauri huo umetolewa na Katibu Mtendaji wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Shangwe za Coke Studio zaendelea kuleta burudani kwenye jamii

COKE STUDIO PICHA 3

Mwanamuziki Fid Q akitoa burudani katika moja ya tamasha  la Coke Studio.

PICHA COKE 1

Mwanamuziki Ali Kiba na Victoria Kimani wakiwa katika onyesho la Coke Studio.

COKE STUDIO PICHA 5

Wasanii wa muziki wakitoa burudani katika moja ya tamasha la Coke Studio mkoani Mwanza.

COKE STUDIO PICHA 2

Wanafunzi kuanzia shule za msingi nchini hadi vyuo vikuu wameshiriki kuonyesha vipaji vyao katika msimu huu wa Coke Studio  kama wanavyoonekana  katika moja ya tamasha la Coke Studio.

-Wanafunzi na vijana mitaani waendelea kupata burudani

Onyesho la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani