UNANG’ANG’ANIA KUPENDA USIPOPENDEKA ILI IWEJE?
![](http://api.ning.com:80/files/mClk6LlNRyvD0nM2U63LIa9GZOPIKnfQZez4epzErEHUJei-e5VDwpgqQibouAUlkz7ESoX3jFZBDci4ekE-JppGau-Fx1-Z/MAHaBA.jpg)
Bila shaka wasomaji wa safu hii mko vizuri na mnaendelea na majukumu yenu ya kila siku. Kwa upande wangu mimi ni mzima wa afya.Ni siku nyingine Mungu ametujalia uzima tunakutana kupeana mawili matatu yahusuyo maisha ya uhusiano. Mapenzi yana nafasi kubwa katika maisha ya wanadamu, mapenzi ni hisia kali zilizoko ndani ya miili yetu ndiyo maana inatokea mtu anampenda mtu kiasi cha kutaka hata dunia nzima ijue kama amependa. ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eOkD9SMZvVpsz-sSpGyR-tkxaDTV01JNHpJ8Drh*LLksRTRQICz5GpMkv8MdqL0z5i1Xn*tzyv0Ux1M*wLGWZhhdlv9KqboM/mahaba.jpg?width=650)
UNANG'ANG'ANIA KUPENDA USIKOPENDEKA ILI IWEJE? - 2
9 years ago
Habarileo20 Dec
Muhongo ang'ang'ania bei ya umeme ishuke
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter M u h o n g o , ameendelea kung’ang’ania bei ya umeme ishuke, ambapo jana ameagiza taasisi zilizo chini ya wizara hiyo, ifikapo Januari mwakani wawe wamempelekea mapendekezo ya kushuka kwa bei ya nishati hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Mbunge CCM ang’ang’ania mil. 100/-
MBUNGE wa Viti Maalumu, Devotha Likokola, (CCM) anadaiwa kung’ang’ania sh milioni 100 zilizoingizwa katika akaunti yake kwa ajili ya kuwasaidia walemavu. Fedha hizo zilitolewa na Mwenyekiti wa Kampuni za IPP,...
11 years ago
Habarileo04 May
Lipumba ang’ang’ania hoja ya Ukawa
PAMOJA na mwito wa Rais Jakaya Kikwete, wasomi na wanasiasa wakongwe na mashuhuri nchini, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba ameweka bayana kuwa chama chake na washirika wengine wanaounda kinachoitwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), hawatorejea kwenye Bunge Maalum la Katiba.
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Meya Bukoba ang’ang’ania kiti
LICHA ya kutangaza kujiuzulu kwa agizo la serikali baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Uttouh, kumtia hatiani aliyekuwa Meya wa Manispaa ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVdk1cUsf5956ElOHcnSD4bAl*aQmqdTrormmsjMsnNTsCTSePWke3aB-flw7rmZpN72gwGJv*15oIxZxHpcLhOL/JACK.jpg?width=650)
JACK DUSTAN ANG’ANG’ANIA KUZAA NA MZUNGU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O3p1FaWf5AdU3UjUB32oqoupJqx7icXYwaG4rdvtkvmdf2FqG2P7sG-oxh8k1s*dZDETJiUix4m-sxHYHxKQnq0b9PBq6p-S/sd.jpg?width=650)
SNURA ANG’ANG’ANIA KUISHI BAA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf29sgafvrguT1m4iNwYkUy6hCpbY4IIp2SJKprYMvqz1X8O3qdIPy-BdI-FpfzSb5*cpusF7tEF0mtU9vV8xr7f/DrAnatoryAmani.jpg?width=600)
MEYA BUKOBA ANG’ANG’ANIA KITI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/TARUKDkBK7oZRGIVKgIWh1dt2uNaHJbToqfyxGMPeK31FY3q7dmX35nA-x2R*qEL2ocQY4Luun-liQZ9oc4yaL6dA73-v9VN/MAMAWEMAh.jpg?width=650)
WEMA, AUNT, YOTE HAYA ILI IWEJE SASA?