Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Unapotoa tuhuma hadharani dhidi ya bosi wako uwe tayari kujiuzulu — 2

Wiki iliyopita nilianza kwa kueleza kuwa mazoea yanajenga tabia; na mazoea mabaya yanajenga tabia mbaya. Katika utendaji wa kazi au utumishi wa aina fulani kuna mambo ambayo yamezoeleka na mengine...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Unapotoa tuhuma hadharani dhidi ya bosi wako uwe tayari kujiuzulu!

MAZOEA yanajenga tabia; na mazoea mabaya yanajenga tabia mbaya. Katika utendaji wa kazi au utumishi wa aina fulani kuna mambo ambayo yamezoeleka na mengine yanakuwa kama tabia tu iliyozoeleka. Katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Kuufanya mwili wako uwe na umbile zuri

Watu wengi hupendelea kuwa na maumbo fulani, hasa yale ambayo wengi wanadhani yanavutia mbele za watu.

 

10 years ago

Bongo5

Kwanini hutakiwi kunywa pombe na bosi wako

Ni sawa kunywa pombe na bosi wako? Kwa hali ya kawaida inaweza kuonekana ni vizuri na haina shida, hiyo ni nadharia tu.  Ukiingia kwa undani zaidi unaanza kumfahamu zaidi kwamba kuna kitu unatakiwa kukijua na kufikiri kwa makini. Unapovuka mipaka kwa kunywa bombe na bosi wako au kwenda sehemu maeneo ya starehe na yeye, unatengeneza […]

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

‘Tuhuma dhidi ya Nyalandu ni uzushi’


NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imesema tuhuma zilizokuwa zikitolewa na baadhi ya vyombo vya habari dhidi ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, hazina ukweli na zimelenga kumchafua binafsi pamoja na wizara.
Pia imetoa ufananuzi wa tuhuma hizo zilizokuwa zikielekezwa kwa Nyalandu na kuonya kuwa, kuanzia sasa itachukua hatua kali za kisheria dhidi ya wanaomchafua na kupaka matope utendaji kazi wake.
Hivi karibuni Nyalandu amekuwa akiandamwa na baadhi ya watu kwa kile kinachodaiwa kuwa ni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Salazar akana tuhuma dhidi yake

Kocha wa Mwanariadha Mo Farah amekana tuhuma za kukiuka sheria ya kupinga matumizi ya dawa zilizopigwa marufuku michezoni

 

10 years ago

Vijimambo

Real Madrid wako tayari kuvunja rekodi ya usajili kwa kumsajili mlinda mlango David De Gea

David De Gea
Real Madrid wako tayari kuvunja rekodi ya usajili kwa kumsajili mlinda mlango David De Gea toka klabu ya Man United usajili huu utavunja rekodi ya uhamisho iliyowekwa na kipa Gianluigi Buffon aliehamia Juventus toka Parma.Huku kukiwa na taarifa De Gea anafuraha kubaki na kikosi cha Manchester United na atasaini mkataba mpya .

Timu ya Liverpool imefikia makubaliano ya kumsajili kipa Guillermo Ochoa toka klabu ya Malaga kwa dau la £3milion ili kuwa mbadala wa Simon Mignolet ambae...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwansasu: Tupo tayari dhidi ya Misri

Fainali za Afrika za soka la ufukweni zitakazofanyika visiwa vya Shelisheli mwezi Aprili mwaka huu,Tanzania yategemea ushindi .

 

9 years ago

Bongo5

Ridhiwan aweka mambo hadharani, soma alichojibu kuhusiana na shutuma za ufisadi dhidi yake

Riz

Soma kile alichoandika Ridhiwan Kikwete kujibu tuhuma mbalimbali za ufisadi zilizomwandama kwa miaka mingi.

Riz

Ndugu zangu waandishi wa habari, nimeamua kuwaita ili kuzungumza nanyi kuhusu baadhi ya mambo yaliyokuwa yanasemwa katika vyombo vya habari kuhusu mimi.

Awali ya yote napenda kusema kuwa habari hizo ni UONGO mtupu, ni mambo yanayozushwa na waandishi wa habari hizo kwa nia ya kuchafua jina langu kwa sababu wanazozijua wanaoandika. UKWELI ni kwamba haya ni mambo yenye kufanywa kwa nia...

 

10 years ago

GPL

ZITTO KABWE: TUHUMA DHIDI YANGU ZICHUNGUZWE

Mbunge wa Kigoma Kaskazini na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe.   Katika kujitetea mbele ya Baraza la Maadili kuhusu tuhuma dhidi yake za kugawiwa mgawo wa fedha kutoka akaunti ya Escrow, mbunge wa Sengerema Bwana William Ngeleja…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani