Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNATAKA KUMUOA JOHARI? BOFYA HAPA!

Staa mkubwa wa filamu za Kibongo Blandina Changula "Johari" Makala: Sifael Paul
Julai 28, 1983 mkoani Shinyanga, alizaliwa mtoto wa kike ambaye sasa ni staa mkubwa wa filamu za Kibongo. Ni maarufu kwa jina

la kistaa la Johari lakini majina yake kamili ni Blandina Changula.
Kama kawaida yetu huwa tunatoa nafasi kwa staa kusimulia alikopitia hadi akafikia mafanikio aliyonayo ili kutoa chansi kwa …
...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JOHARI: RAY HAWEZI KUMUOA CHUCHU

Na Musa Mateja
Blandina Chagula ‘Johari’, juzikati alifunguka kwamba watu waachane na kusikiliza habari za matapeli wa mapenzi, maana suala la Vicent Kigosi ‘Ray’, kumvisha pete mchumba wake wa sasa Chuchu Hans si la kweli na kwamba huo ni utapeli. Staa wa sinema za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’. Akizungumza Ijumaa Mei 13, mwaka huu Johari alisema hana taarifa zozote za Ray kumvisha...

 

9 years ago

GPL

UNATAKA KUZAA MAPACHA? SOMA HAPA-2

Leo namalizia kuwaletea makala haya yanayohusu elimu mpya ya uzazi, mwanamke yeyote anaweza kupata ujauzito wenye watoto mapacha hata kama si asili ya ukoo wake, ungana nami sehemu ya mwisho. WENYE TABIA HII NDIYO WANAONGOZA Wanawake wengi wanaoongoza kwa kushika mimba za mapacha ni wale ambao wakati wa kulala wanabadili staili mara kwa mara.Mara nyingi inashauriwa kuwa, mwanamke akishaingia kwenye siku zake za hatari kulingana...

 

9 years ago

GPL

UNATAKA KUZAA MAPACHA? SOMA HAPA

Leo nimeonelea kuwaletea elimu mpya kabisa ya uzazi ambapo mwanamke yeyote anaweza kupata ujauzito wenye watoto mapacha hata kama si asili ya ukoo wake. Nimetumia neno ‘mwanamke yeyote’ kwa sababu kuna imani ya miaka na miaka kwamba, si kila mwanamke anaweza kupata ujauzito bali itategemea na asili yake. IMANI ZA KALE KUHUSU UJAUZITO
Baadhi ya mila na desturi, hasa katika nchi za Kiafrika zinaamini kwamba, mwanamke kupata...

 

10 years ago

GPL

UMETENDWA, UNATAKA KUANZISHA UHUSIANO MPYA? SOMA HAPA!

UHALI gani mpenzi msomaji wa safu hii. Ni Jumamosi nyingine tunakutana tena katika uwanja wetu wa kujidai na kuweza kupeana darasa la uhusiano.Ni dhahiri kwamba asilimia kubwa ya watu kabla ya kufikia kwenye hatua ya kufunga ndoa, wanakuwa wamepitia maumivu mengi. Wanatendwa vya kutosha. Wanakuwa na ‘majeraha’ ya kutosha. Kuna ambao huenda mbali zaidi kimawazo hadi kufikia hatua ya kusema ‘sitapenda...

 

10 years ago

Bongo5

Unataka kula bata na Akon jijini New York? Soma hapa

Ni kama zali vile.. Piga 0901002233 na unaweza kwenda majuu na kula bata na Akon jijini New York! #AirtelTraceStar

 

10 years ago

Bongo Movies

Hapa na Pale: Ray Amtapeli Upya Johari

Gazeti la udaku la KIU, limeripoti kuwa hali ndani ya kampuni ya RJ inaendelea kutokuwa shwari kwa kile kinachodaiwa kuwa kuwa wakurugenzi waanzilishi wa kampuni hiyo Vicent Kigosi ‘Ray’ na Blandina Chagula ‘Johari’ kutokuwa na maelewano mazuri na sasa ikidawa kuwa chanzo ni pesa kutoka kwa wadhamni waliokuwa  wakihitaji  kudhamini filamu inayotengenezwa na makampuni hayo.

Chazo hicho ambacho kipo ndani ya kampuni hiyo kilisema kuwa pesa hizo zilitolewa na mfanyabiashara maarufu ambaye...

 

9 years ago

Dewji Blog

Je! Unataka kushinda safari ya Paris, kushuhudia michuano ya Eufa Euro 2016? soma hapa!

1966143_w2

Michuano mikubwa kabisa ya soka itakayoikutanisha miamba ya timu za Taifa za Bara la Ulaya itakayomenyana kuwania kombe la Uefa Euro2016, michezo itakayopigwa nchini Ufaransa katika majiji kadhaa ya nchi hiyo  kwa muda wa mwezi mmoja.

Katika hatua hiyo, wewe  na yule unayo nafasi ya kushinda safari ya kwenda katika jiji la Paris kushuhudia ufunguzi wa michuano hiyo ya Uefa Euro 2016, ambapo utapata nafasi ya kulipiwa kila kitu pamoja na kushuhudia shoo kali ya mwanamuziki nguli ambaye...

 

11 years ago

Bongo Movies

Leo ni birthday ya mwigizaji Vicenti Kigosi ray, Johari ampa salamu tata, isome hapa

Leo mwigizaji maarufu nchini Vicent kigosi - Ray anasherehehea siku yake ya kuzaliwa huku akipata salamu mbalimbali za pongezi toka kwa mastaa mbalimbali nchini.

Moja ya watu wa kwanza kwanza kumpa salamu hiyo ni swahiba na rafiki yake mkubwa, JB akifuatiwa na mpenzi wake wa zamani Johari ambaye salamu yake inadaiwa na wachunguzi wa mambo kuwa ni kwa namna flani inamponda mpenzi wa sasa wa Ray , Chuchu hans, kutokana na maneno yaliyotumika ya salamu hiyo ambayo Johari anadaiwa kuwahi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani