Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNDP yatoa dola milioni 22 kwa uchaguzi mkuu

SHIRIKA la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), limetenga dola za Marekani milioni 22 kwa ajili ya kuunga mkono utoaji elimu kwenye uchaguzi mkuu ujao nchini. Kiongozi wa shirika hilo, Helen Clark aliuambia Umoja wa Wanawake Wabunge leo mjini hapa kwamba fedha hizo zitatolewa chini ya Mradi wa Uchaguzi unaoendeshwa na shirika lake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

IMF YATOA DOLA MILIONI 14.3 KWA TANZANIA


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

SHIRIKA  la Fedha Duniani (IMF) limeidhinisha kutoa msaada wa Dola za kimarekani Million 14. 3 kwa Tanzania na hiyo kupitia kikao cha bodi ya wakurugenzi kilichokaa jana Juni 10.

Kupitia mfuko wake wa kupambana na maafa(CCRT ) IMF imeisamehe Tanzania kiasi cha mkopo cha Dola za kimarekani milioni 14. 3 ambazo zilipaswa kulipwa ndani ya miezi minne ijayo kuanzia sasa mpaka tarehe Oktoba 13, 2020.

Imeelezwa kuwa hiyo ni katika kunusuru uchumi wa Tanzania...

 

5 years ago

CCM Blog

MAREKANI YATOA DOLA MILIONI 3.6 KUPAMBANA NA CORONA TANZANIA


 Serikali ya Marekani imetenga kiasi cha dola millioni3.6 ( Shilling billioni 7.8) kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za Tanzania katika mapambano dhidi ya janga la Korona (COVID-19)
Pia serikali hiyo imetoa kiasi cha dola millioni 1.9 ( shilingi Billioni 4.4) kupitia shirika lake la msaada la USAID ili kuisaidia Tanzania kukabiliana na mlipuko huo.
Mwakilishi Mkazi wa shirika la USAID nchini Tanzania Andy Karas alisema haya katika mkutano wake na waandishi wa habari. Alisema kuwa kuwa ni jambo...

 

5 years ago

Michuzi

Serikali ya Marekani yatoa Dola milioni 3.6 kupambana na Covid-19 Tanzania.

 Serikali ya Marekani imetenga kiasi cha dola millioni3.6 ( Shilling billioni 7.8) kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za Tanzania katika mapambano dhidi ya janga la Korona (COVID-19)

Pia serikali hiyo imetoa kiasi cha dola millioni 1.9 ( shilingi Billioni 4.4) kupitia shirika lake la msaada la USAID ili kuisaidia Tanzania kukabiliana na mlipuko huo.

Mwakilishi Mkazi wa shirika la USAID nchini Tanzania Andy Karas alisema haya katika mkutano wake na waandishi wa habari. Alisema kuwa kuwa ni...

 

11 years ago

Habarileo

UNDP kuendelea kugharimia uchaguzi mkuu

SHIRIKA la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) limesema litaendelea kugharimia mradi wa Uchaguzi Mkuu kwa lengo la kuhakikisha uchaguzi unafanyika katika mazingira ya amani na kuimarika kwa demokrasia.

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA SHELTER AFRIQUE YATOA DOLA MILIONI 1 KUWEKEZA NDANI YA TMRC

  Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya mikopo ya nyumba ya Tanzania Mortgage Refinance (TMRC), Oscar Mgaya (kulia) akipokea jijini Dar es Salaam,  mfano wa hundi ya Dola za Kimarekani milioni moja kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya SHELTER AFRIQUE, James Mugerwa (wa pili kushoto), baada ya kampuni hiyo kununua hisa asilimia 11.6 katika TMRC. Wengine kutoka kushoto ni Ofisa Fedha Mkuu wa TMRC, Oswald Urassa na  Mkurugenzi wa Uendeshaji na Mfumo Habari wa taasisi hiyo, Shabani Mande.

 

9 years ago

Michuzi

UNDP YATOA MSAADA KWA WIZARA YA MAMBO YA NJE

Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa, Bw. Alvaro Rodrigues (kushoto) akimkabidhi Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy msaada wa Vifaa vya mawasiliano (Cameras, printers na Computers) kwa ajili ya kitengo cha Mawasiliano ya Serikali cha Wizara ya Mambo ya Nje.
Mazungumzo yakiendelea....

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

9 years ago

Dewji Blog

TCRA yatoa angalizo kwa vyombo vya Habari utangazwaji matokeo ya uchaguzi mkuu

SHIGONGO-TCRA-SACCOS-2
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya. Mawasiliano Tanzania, (TCRA), Dk. Ally Yahaya Simba.

Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari_ Matokeo Ya Uchaguzi Mkuu 2015 

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA KIARABU YA MAENDELEO YA UCHUMI YA AFRIKA ( BADEA)YATOA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 12.0 (SHILINGI BILIONI 20.1) KUSAIDIA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA SAME NA MWANGA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile, mchana wa leo ametiliana saini makubaliano ya mkataba wa kuanzisha Mradi wa Maji katika Wilaya ya Same na Mwanga mkoani Kilimanjaro..  Dr. Likwelile alisaini Mkataba huo kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Benki ya Kiarabu ya Maendeleo ya uchumi ya Afrika. Aliye wakilisha Benki hiyo ni Eng. Yousef I. Al-Bassam ambaye ni Makamu wa Mwenyekiti na Mkurugenzi Msimamizi wa mfuko wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani