UNDP kuendelea kugharimia uchaguzi mkuu
SHIRIKA la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) limesema litaendelea kugharimia mradi wa Uchaguzi Mkuu kwa lengo la kuhakikisha uchaguzi unafanyika katika mazingira ya amani na kuimarika kwa demokrasia.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo13 May
UNDP yatoa dola milioni 22 kwa uchaguzi mkuu
SHIRIKA la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), limetenga dola za Marekani milioni 22 kwa ajili ya kuunga mkono utoaji elimu kwenye uchaguzi mkuu ujao nchini. Kiongozi wa shirika hilo, Helen Clark aliuambia Umoja wa Wanawake Wabunge leo mjini hapa kwamba fedha hizo zitatolewa chini ya Mradi wa Uchaguzi unaoendeshwa na shirika lake.
11 years ago
Mwananchi14 May
UNDP kuiwezesha Tume ya Uchaguzi
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ac5AYlNgM9o/VjDrVxtvHBI/AAAAAAABYOI/rRKDALR-qxA/s72-c/1.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Oct
Wangalizi wa uchaguzi wa kimataifa tayari wameanza kuendelea na kazi zao kuelekea uchaguzi mwezi huu oktoba 25
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula, na Balozi wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania, Mhe. Filiberto Sebregondi, wakitia sign ya Makubaliano ya kuruhusu waangalizi wa uchaguzi kutoka […]
The post Wangalizi wa uchaguzi wa kimataifa tayari wameanza kuendelea na kazi zao kuelekea uchaguzi mwezi huu oktoba 25 appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar10 Oct
ZEC/UNDP yaendesha Semina kwa asasi za kiraia kuhusu uchaguzi
Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar akifunga semina ya asasi za kiraia Friday, October 9, 2015 Asasi za kiraia nchini zimeshauriwa kuchukua jitihada binafsi kutoa elimu ya uraia na elimu ya wapiga kura kwa jamii […]
The post ZEC/UNDP yaendesha Semina kwa asasi za kiraia kuhusu uchaguzi appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vj7rK2hLAa0/U3HtCpUQzDI/AAAAAAAFhOg/Asf9rylFG9M/s72-c/undp3.jpg)
JK AKUTANA NA MKUU WA UNDP BIBI HELLEN CLARK
![](http://4.bp.blogspot.com/-vj7rK2hLAa0/U3HtCpUQzDI/AAAAAAAFhOg/Asf9rylFG9M/s1600/undp3.jpg)
11 years ago
Dewji Blog14 May
Rais Kikwete akutana na Mkuu wa UNDP Bibi Hellen Clark Ikulu Jijini Dar
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bibi Hellen Clark aliyemtembelea jana Mei 13, 2014 Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza baada ya mazungumzo Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bibi Hellen Clark aliyemtembelea jana Mei 13, 2014 Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya ukumbusho na na Mkuu wa Shirika la Maendeleo la...
11 years ago
Michuzi12 May
MKUU WA UNDP DUNIANI HELEN CLARK ATEMBELEA HIFADHI YA RUAHA,APONGEZA USIMAMIZI MZURI WA MRADI WA SPANEST
Kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QiAZdEG1pkQ/U3DDoMAaUMI/AAAAAAAFhFo/tFPsjfIzRCk/s72-c/unnamed+(18).jpg)
Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Maendeleo UNDP Mhe.Hellen Clark atembelea Bungeni Dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-QiAZdEG1pkQ/U3DDoMAaUMI/AAAAAAAFhFo/tFPsjfIzRCk/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8lgTZuGHoNM/U3DDoK4ZobI/AAAAAAAFhFs/-TWNxJG5IeE/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jjk12wzjxgQ/U3DDoftb6ZI/AAAAAAAFhF0/PCW2rv5KwuI/s1600/unnamed+(22).jpg)