Uongozi wa AICC ‘waingizwa mjini’
NA SHAABAN MDOE, ARUSHA
UONGOZI wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), umeishitaki bodi yake ya zamani kwa kumega viwanja viwili na kuvimilikisha kwa wamiliki wengine kinyemela.
Umesema viwanja hivyo kwa sasa vimejengwa majengo makubwa ikiwemo hoteli ya kisasa na kanisa.
Mkurugenzi wa Miliki na Miradi wa AICC, Paul Ndosa, alitoa shutuma hizo mbele ya bodi mpya huku akisema kuwa madudu hayo yalifanywa miaka iliyopita na kwamba hakuna taarifa zozote.
Alisema maeneo yaliyomegwa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziAICC YAENDELEA KUWAKILISHA KATIKA MICHEZO YA MEI MOSI MJINI MOROGORO
10 years ago
MichuziKamati ya Uongozi ya Bunge yakutana mjini dodoma leo
10 years ago
Michuzi24 Nov
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QeuCjH9YzCw/UzFNZ8gMDxI/AAAAAAAFWJM/_xfs1Z7_fYY/s72-c/unnamed+(14).jpg)
KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE MAALUM YAFANYA KIKAO CHAKE CHA KWANZA LEO MJINI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QeuCjH9YzCw/UzFNZ8gMDxI/AAAAAAAFWJM/_xfs1Z7_fYY/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ovc3jRK-bFs/UzFNdlCPd6I/AAAAAAAFWJU/kwZHhYwQeyQ/s1600/unnamed+(15).jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 Nov
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
AICC yakaribisha wawekezaji
KITUO cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha, (AICC), kimesema kinamiliki maeneo makubwa ya ardhi hivyo kutoa wito kwa wawekezaji kujitokeza kuyatumia kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya maendeleo ikiwemo...
10 years ago
Habarileo28 Jan
Mkurugenzi AICC afukuzwa kazi
BODI ya Wakurugenzi ya Kituo cha Mikutano ya Kimataifa (AICC) Arusha imemtimua kazi Mkurugenzi wa Miliki na Miradi wa kituo hicho, Paul Ndosa kwa ubadhirifu wa mamilioni ya fedha za shirika hilo la umma.
10 years ago
TheCitizen17 Sep
AICC now turns to real estate
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yNZmJ19nHPI/U5q8yWo2WBI/AAAAAAAFqTI/C7wIacKNYF0/s72-c/unnamed+(83).jpg)
KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-yNZmJ19nHPI/U5q8yWo2WBI/AAAAAAAFqTI/C7wIacKNYF0/s1600/unnamed+(83).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4ouihL5xM_w/U5q83LeHuCI/AAAAAAAFqTg/8xPEzL_8dm0/s1600/unnamed+(80).jpg)