AICC yakaribisha wawekezaji
KITUO cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha, (AICC), kimesema kinamiliki maeneo makubwa ya ardhi hivyo kutoa wito kwa wawekezaji kujitokeza kuyatumia kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya maendeleo ikiwemo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziSekta binafsi yakaribisha wawekezaji wa China
10 years ago
Dewji Blog31 May
Serikali yakaribisha wawekezaji binafsi kwenye sekta ya uchukuzi
Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samuel Sitta akiwasilisha bajeti ya wizara yake kwa mwaka 2015/2016 bungeni mjini Dodoma jana.
Mbunge wa Kisarawe (CCM) Bw. Suleiman Jafo akichangia mjadala wa bajeti ya wizara ya uchukuzi jana bungeni mjini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwezeshaji Bi. Mary Nagu akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii Bw. Lazaro Nyalandu kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana. (PICHA ZOTE NA FATMA SALUM – MAELEZO).
Na Fatma Salum – Maelezo
Serikali kupitia...
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
PSPF yakaribisha wanachama wa hiari
MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), umewashauri Watanzania wenye kazi na vipato tofauti kujiunga na mfuko huo chini ya mpango wa hiari. Akizungumza na waandishi wa habari wakati...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
PSPF yakaribisha maombi mikopo ya nyumba
MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), umewataka wajasiriamali waliojiunga kupitia Mpango wa Uchangiaji wa Hiari (PSS) kuanza kukopa nyumba zinazojengwa na mfuko huo. Akizungumza na Tanzania Daima jana...
11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
Uongozi wa AICC ‘waingizwa mjini’
NA SHAABAN MDOE, ARUSHA
UONGOZI wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), umeishitaki bodi yake ya zamani kwa kumega viwanja viwili na kuvimilikisha kwa wamiliki wengine kinyemela.
Umesema viwanja hivyo kwa sasa vimejengwa majengo makubwa ikiwemo hoteli ya kisasa na kanisa.
Mkurugenzi wa Miliki na Miradi wa AICC, Paul Ndosa, alitoa shutuma hizo mbele ya bodi mpya huku akisema kuwa madudu hayo yalifanywa miaka iliyopita na kwamba hakuna taarifa zozote.
Alisema maeneo yaliyomegwa...
10 years ago
Habarileo28 Jan
Mkurugenzi AICC afukuzwa kazi
BODI ya Wakurugenzi ya Kituo cha Mikutano ya Kimataifa (AICC) Arusha imemtimua kazi Mkurugenzi wa Miliki na Miradi wa kituo hicho, Paul Ndosa kwa ubadhirifu wa mamilioni ya fedha za shirika hilo la umma.
10 years ago
TheCitizen17 Sep
AICC now turns to real estate
11 years ago
MichuziMAPACHA WATATU WAZALIWA SALAMA HOSPITALI YA AICC ARUSHA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ajp3-hfoQ7U/VBmDJOJ9ewI/AAAAAAAGkFU/a-Pa7tdWWTY/s72-c/unnamed.jpg)
AICC YAZINDUA NYUMBA ZA KISASA ZA KUPANGISHA JIJINI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ajp3-hfoQ7U/VBmDJOJ9ewI/AAAAAAAGkFU/a-Pa7tdWWTY/s1600/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-epYwIjpLnIw/VBmDJGofsfI/AAAAAAAGkFM/CoH46pBFDsM/s1600/unnamedC.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qpgqxNSSr2k/VBmDJezwf2I/AAAAAAAGkFQ/3FXJORv1iR8/s1600/unnamedF.jpg)