UPDATES: MKUTANO WA DIASPORA NCHINI UINGEREZA 2014
Kufuatia hatua ya Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza kuunda kamati ya muda (Tanzania UK Diaspora Task Force) itakayosimamia maandalizi ya Mkutano wa Diaspora mwaka huu 2014, tunapenda kuwasilisha majina ya wajumbe wa kamati hiyo kwa Watanzania waishio Uingereza.
Kamati hiyo itakuwa chini ya Uenyekiti wa Bi Mariam Kilumanga akisaidiwa na Bw. Cleopa John katika nafasi ya Katibu. Aidha Bi Maxine Brown atashughulikia mawasiliano kati ya kamati na watanzania waishio nchini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi27 Feb
TAARIFA KUHUSU MKUTANO WA DIASPORA NCHINI UINGEREZA 2014
9 years ago
Michuzi05 Sep
KATIBU MKUU OFISI YA RAISI ZANZIBAR, MHE. SALUM MAULID AFUNGA MKUTANO WA TANZANIA DIASPORA BUSINESS CONVENTION 2015 NCHINI UINGEREZA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wIvznaLFsWQ/U7nXKMzZNQI/AAAAAAAFvag/fCssSiyDeKo/s72-c/ccm.png)
MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI TAWI LA UINGEREZA MWAKA 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-wIvznaLFsWQ/U7nXKMzZNQI/AAAAAAAFvag/fCssSiyDeKo/s1600/ccm.png)
WANACHAMA WOTE WENYE SIFA MNAKARIBISHWA KUCHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA NAFASI HIYO YA...
11 years ago
Michuzi12 Aug
MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI UINGEREZA KUFANYIKA AGOSTI 30, 2014.
![](https://2.bp.blogspot.com/-Fquj7L3s4Xc/U-i_AC-3awI/AAAAAAAC6OM/noGwqWFXCuQ/s1600/ccmuk.jpg)
KATIKA MKUTANO HUO PIA KUTAFANYIKA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA TAWI LA CCM UINGEREZA ILI KUJAZA NAFASI INAYOACHWA WAZI NA ALIYEKUWA MWENYEKITI WA TAWI HILI TOKA KUANZISHWA KWAKE NDUGU...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yt_HkC4aQYU/U-y75hY_HpI/AAAAAAAF_oQ/vz1fhAn_MR8/s72-c/d78.jpg)
RAIS JK AFUNGUA MKUTANO WA KWANZA WA DIASPORA JIJINI DAR ES SALAAM LEO, WANA-DIASPORA KIBAO WAHUDHURIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-yt_HkC4aQYU/U-y75hY_HpI/AAAAAAAF_oQ/vz1fhAn_MR8/s1600/d78.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-22MDDhU8uBE/U-zGdLc612I/AAAAAAAF_pU/--gsaI5KnP4/s1600/IMG_8452.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-00qMrWRF7S0/U-y8HzpYPvI/AAAAAAAF_oY/op3fBtSV7Wk/s1600/d39.jpg)
10 years ago
Michuzi03 Jul
TANGAZO LA VIWANJA NA MASHAMBA KWA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA (DIASPORA)
Tunaomba maombi hayo yaainishe Mkoa na Wilaya hitajika, aina ya matumizi ya ardhi hiyo kama ni Makazi, Biashara au Kilimo.
Maombi yawasilishwe kwa Viongozi wa Jumuiya za Watanzania katika miji/ maeneo wanayoishi, ambao watayaleta ubalozini kwa hatua zaidi. Au muombaji wanaweza...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-zgXuLfLfTOA/VdWC909y-CI/AAAAAAAD3oM/yyBb0cA2-qg/s72-c/41db8dd8e8ba57de3b8adf2249a0e67e.jpg)
MKUTANO WA DIASPORA DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-zgXuLfLfTOA/VdWC909y-CI/AAAAAAAD3oM/yyBb0cA2-qg/s640/41db8dd8e8ba57de3b8adf2249a0e67e.jpg)
11 years ago
Dewji Blog28 May
2014 Cecafa Nile Basin updates
Results:
Police (0) Vs Victoria University (3)
Malakia (2) Vs Al-Merreikh (4)
Today:
Etincelles Vs Mbeya City (5:30pm)
AFC Leopards Vs Academie (8:00pm)
Defence Vs Al-Shandi (8:00pm), Shandi stadium
Al-Merreikh goes top of Group ‘A’
CECAFA Nile Basin Cup hosts, Al-Merreikh went top of group ‘A’ after winning 4-2 against neighbours Malakia FC from South Sudan. Al-Merreikh led the first half 3-0 with goals coming from Pascal Wawa 6’, Kor Traore 26’ and Tia Togbi Olivier 42’.
Germany Coach...