Upelelezi kesi ya wahitimu JKT umekamilika — Wakili
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
UPELELEZI wa kesi inayowakabili wahitimu sita wa mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) umekamilika .
Hayo yalielezwa jana na Wakili wa Serikali, Gines Tesha mbele ya Hakimu Mkazi, Frank Moshi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Washtakiwa katika kesi hiyo ni Mwenyekiti wa Umoja wa wahitimu hao, George Mgoba, Makamu Mwenyekiti, Parali Kiwango, Katibu Linus Steven na wahitimu wengine, Emmanuel Mwasyembe, Ridhiwani Ngowi na Jacob Mang’wita.
Tesha alidai kwamba...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Upelelezi kesi ya Dk Mvungi kitendawili
10 years ago
Habarileo20 Mar
Upelelezi wa kesi ya Uamsho bado
KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) Shekhe Farid Hadi Ahmed (45) na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya ugaidi bado wanasota rumande kwa kwa kuwa upelelezi wa kesi bado haujakamilika.
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Upelelezi kesi ya ugaidi bado
UPELELEZI wa kesi ya kuwaagiza watu kufanya makosa mbalimbali ya kigaidi nchini inayowakabili watu 16 iliyopo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, bado haujakamilika. Waendesha mashitaka wa...
10 years ago
Mwananchi05 Jun
Upelelezi kesi ya Gwajima wakamilika
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v1F3qXvD8zQ/U6MBjaCNpTI/AAAAAAAFrwo/vZPenqEwgBw/s72-c/1.jpg)
UPELELEZI KESI YA MBASHA WAKAMILIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-v1F3qXvD8zQ/U6MBjaCNpTI/AAAAAAAFrwo/vZPenqEwgBw/s1600/1.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Upelelezi kesi ya Madabida wakamilika
UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya kusambaza dawa za kupunguza makali ya ukimwi (ARVs) inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida na wenzake...
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Upelelezi kesi ya Mchungaji Gwajima wakamilika
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
UPELELEZI wa kesi inayomkabili Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Mchungaji Josephat Gwajima na wenzake watatu umekamilika na kesi inatarajiwa kuanza usikilizwaji wa awali Julai 2, mwaka huu.
Wakili wa Serikali Mwandamizi, Shadrack Kimaro aliifahamisha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jana wakati kesi hiyo ilipokuwa inatajwa.
Mbele ya Hakimu Mkazi Hellen Riwa, Kimaro alidai kesi ilikuwa inatajwa, lakini upelelezi wa kesi hiyo umekamilika hivyo aliomba tarehe...
10 years ago
Habarileo14 Jan
‘Upelelezi kesi ya Shehe Farid haujakamilika’
UPELELEZI wa kesi ya ugaidi inayomkabili kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), Shekhe Farid Hadi Ahmed na wenzake bado haujakamilika.
11 years ago
Habarileo24 Jul
‘Upelelezi kesi ya ugaidi Dar haujakamilika’
UPANDE wa mashtaka umeomba kuongezewa muda wa kukamilisha upelelezi katika kesi ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi inayokabili watu 17.