Upinzani walia na Sh21 bilioni za Bunge la Katiba
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imelia na matumizi mabaya ya Sh21 bilioni zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya wajumbe waliosusa Bunge Maalumu la Katiba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Viziwi walia kubaguliwa Bunge Maalumu la Katiba
CHAMA cha Viziwi Tanzania (CHAVITA), kesho kitafanya maandamano kwa ajili ya kupinga uteuzi wa Bunge maalumu la Katiba uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete, baada ya kushindwa kuteua mwakilishi kutoka katika...
11 years ago
Habarileo18 Feb
ALAT walia kuachwa uteuzi Bunge la Katiba
JUMUIYA ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), imedai haikutendewa haki kwa kutoshirikishwa na kupewa nafasi ya uwakilishi katika Bunge Maalumu la Katiba. Madai hayo yametolewa wakati ambapo tayari Bunge hilo limeanza rasmi mkutano wake mjini Dodoma.
11 years ago
BBCSwahili16 Apr
Upinzani wasusa kikao bunge la katiba TZ
11 years ago
GPL
WABUNGE WA UPINZANI WATOKA NJE BUNGE LA KATIBA
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Bunge la #Katiba: 'Wachache' wakomalia serikali tatu, 'Wengi' walia na mbili [VIDEO]
11 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
11 years ago
Mtanzania06 Oct
Masheikh walia na Katiba Mpya

Waumini wa Kiislamu wakiswali
Na Waandishi Wetu, Dar na mikoani
SUALA la Mahakama ya Kadhi ambalo wiki chache zilizopita lilileta mgogoro ndani ya Bunge Maalumu la Katiba hadi kufikia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kulitolea ufafanuzi, limeibuka tena katika swala ya Eid El-Hajj nchini.
Hatua hiyo imewafanya masheikh mbalimbali nchini kusema katu hawako tayari kuitambua Rasimu ya Katiba inayopendekezwa hadi pale suala la Mahakama ya Kadhi litakapotambuliwa.
Wamesema kitendo cha Bunge Maalumu la...
11 years ago
Tanzania Daima06 Oct
Wazee Geita walia na wajumbe bunge maalum
BAADHI ya wazee Wilaya ya Geita mkoani hapa wamewalalamikia wajumbe waliopitisha rasimu ya Katiba iliyopitishwa hivi karibuni kwa kutoa mambo muhimu ya wananchi na kuweka yao wenyewe na kwa maslahi...