Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ALAT walia kuachwa uteuzi Bunge la Katiba

JUMUIYA ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), imedai haikutendewa haki kwa kutoshirikishwa na kupewa nafasi ya uwakilishi katika Bunge Maalumu la Katiba. Madai hayo yametolewa wakati ambapo tayari Bunge hilo limeanza rasmi mkutano wake mjini Dodoma.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

ALAT: Bunge la Katiba livunjwe

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Serika za Mitaa, ALAT, Dk Didas Masaburi amesema kuna kila sababu ya Bunge Maalumu la Katiba kusitisha vikao vyake na kurejea upya kwa wananchi kupata maoni mapya kuhusu muundo wa Serikali wanayotaka.

 

11 years ago

Mwananchi

JK kukamilisha uteuzi wa Bunge la Katiba

Rais Jakaya Kikwete, wiki ijayo atakamilisha uteuzi wa majina ya wajumbe 201 wa Bunge Maalumu la Katiba, uteuzi unaoashiria kuanza kwa bunge hilo litakalokuwa na wajumbe 640.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viziwi walia kubaguliwa Bunge Maalumu la Katiba

CHAMA cha Viziwi Tanzania (CHAVITA), kesho kitafanya maandamano kwa ajili ya kupinga uteuzi wa Bunge maalumu la Katiba uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete, baada ya kushindwa kuteua mwakilishi kutoka katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Upinzani walia na Sh21 bilioni za Bunge la Katiba

Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imelia na matumizi mabaya ya Sh21 bilioni zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya wajumbe waliosusa Bunge Maalumu la Katiba.

 

11 years ago

GPL

UTEUZI WA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA

Wanahabari wakimsikiliza  Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi Mhe.  Florence Turuka akitangaza majina ya wajumbe wa Bunge Maalum la katiba  yakitangazwa jioni hii katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za Mawasiliano Ikulu jijini Dar es Salaam. Bunge la Katiba litakalokuwa na wajumbe 640, litakutana kwa siku 70 (na kuongezewa siku 20 kama hawatoafikiana)  kujadili Rasimu ya Katiba iliyotolewa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JUKATA yalalamikia uteuzi Bunge la Katiba

JUKWAA la Katiba (JUKATA) limesema uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete umewapendelea zaidi makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Uteuzi huo uliotangazwa mwishoni...

 

11 years ago

Mwananchi

Uteuzi Wajumbe Bunge la Katiba wapondwa

Siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kufanya uteuzi wa majina ya Wajumbe 201 wa Bunge Maalumu la Katiba, wasomi, wanasiasa na wanaharakati wameuponda wakisema umependelea wanasiasa, badala ya wananchi walio nje ya mfumo huo.

 

11 years ago

GPL

KINGUNGE: WANAOPONDA UTEUZI WANGU BUNGE LA KATIBA WAMEUMBUKA

Kingunge Ngombale Mwiru. Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Veterani wa siasa nchini, Kingunge Ngombale Mwiru, amesema kuwa wote walioponda uteuzi wake katika Bunge la Katiba, wameumbuka na sasa anachokitazama ni kuijenga nchi imara kupitia Katiba Mpya. Kigunge alisema, habebwi na Rais Jakaya Kikwete na kwamba tamko la Chama cha Waganga wa Jadi nchini kuwa yeye ndiye mwakilishi wao, limewaumbua wote waliokuwa wanaponda uteuzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani