ALAT walia kuachwa uteuzi Bunge la Katiba
JUMUIYA ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), imedai haikutendewa haki kwa kutoshirikishwa na kupewa nafasi ya uwakilishi katika Bunge Maalumu la Katiba. Madai hayo yametolewa wakati ambapo tayari Bunge hilo limeanza rasmi mkutano wake mjini Dodoma.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Feb
ALAT: Bunge la Katiba livunjwe
11 years ago
Mwananchi23 Jan
JK kukamilisha uteuzi wa Bunge la Katiba
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Viziwi walia kubaguliwa Bunge Maalumu la Katiba
CHAMA cha Viziwi Tanzania (CHAVITA), kesho kitafanya maandamano kwa ajili ya kupinga uteuzi wa Bunge maalumu la Katiba uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete, baada ya kushindwa kuteua mwakilishi kutoka katika...
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Upinzani walia na Sh21 bilioni za Bunge la Katiba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcLmiyXMxfKpAPcF5poTBl8sS8P1018L8mQ0ZTMclMl3rxPrgB0v6jcB2wbpUusb9ttbnL0NTfVjmWwK5o63RDJS/wajumbe.jpg?width=650)
UTEUZI WA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
JUKATA yalalamikia uteuzi Bunge la Katiba
JUKWAA la Katiba (JUKATA) limesema uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete umewapendelea zaidi makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Uteuzi huo uliotangazwa mwishoni...
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Uteuzi Wajumbe Bunge la Katiba wapondwa
11 years ago
GPLKINGUNGE: WANAOPONDA UTEUZI WANGU BUNGE LA KATIBA WAMEUMBUKA