Urusi lazima ijitegemee:Putin
Rais Vladimir Putin amewaonya wananchi wa Urusi kuwa watakabiliwa na wakati mgumu wasipojitegemea.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV05 Dec
Putin: Urusi lazima ijitegemee.
Rais Vladimir Putin amewaonya wananchi wa Urusi kuwa watakabiliwa na wakati mgumu siku za usoni na kuwataka kujitegemea, amesema katika hotuba yake kwa taifa akilihutubia bunge.
Urusi imeathirika kwa kiasi kikubwa kiuchumi kutokana na kushuka kwa bei za mafuta na vikwazo kutoka nchi za magharibi vilivyowekwa dhidi ya Urusi kwa kujiingiza katika mgogoro wa nchi jirani ya Ukraine.
Sarafu ya Urusi ya rouble, ikiwa ishara ya utulivu chini ya utawala wa Bwana Putin, ilipata anguko kubwa la siku...
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Putin atetea mashambulio ya Urusi Syria
10 years ago
Bongo522 Nov
Rais wa Urusi, Vladimir Putin apata mkanda mweusi wa nane katika karate!
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Vladimir Putin: Kura itakayomuwezesha Putin kuwa madarakani miaka 36
10 years ago
BBCSwahili31 Oct
Pinda atakaTanzania ijitegemee
9 years ago
TheCitizen13 Oct
‘Tsar Putin’: As secure as he seems?
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Putin ataka mpango wa kupambana na IS
11 years ago
BBCSwahili15 Apr
Putin na Obama wazungumzia Ukraine
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
Putin akutana na rais wa Ukraine