USALAMA BARABARANI POPOTE UENDAKO NI MUHIMU ZINGATIA SHERIA ZAKE
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/0011.jpg)
Vijana wanao saidia kuokota mipira katika uwanja wa taifa wakati wa mechi mbalimbali za Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara zikichezwa, wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe maalum unaohusu kuhamasisha Usalama barabarani na kutoa elimu kwa wapenzi wa mpira wa miguu na wachezaji,wakati wa mpambano wa ligi hiyo juzi iliyowakutanisha watani wa jadi Simba na Yanga katika uwanja wa Taifa ambapo Yanga waliibuka na ushindi wa mabao 2-0. ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eNQrF378agQ/Vgk27sXo2pI/AAAAAAAH7js/o3CLxyrh64k/s72-c/001.jpg)
USALAMA BARABARANI POPOTE UENDAKO NI MUHIMU ZINGATIA SHERIA ZAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-eNQrF378agQ/Vgk27sXo2pI/AAAAAAAH7js/o3CLxyrh64k/s640/001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mzZ9nDvgcIE/Vgk27kQlAGI/AAAAAAAH7jw/adLi_bEVRm0/s640/003.jpg)
Vijana wanao saidia kuokota mipira katika uwanja wa taifa wakati wa mechi mbalimbali za Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara zikichezwa, wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe maalum unaohusu kuhamasisha Usalama barabarani na kutoa elimu kwa wapenzi wa mpira wa miguu na wachezaji,wakati wa mpambano wa ligi hiyo juzi iliyowakutanisha watani wa jadi Simba na Yanga katika uwanja wa Taifa ambapo Yanga waliibuka na ushindi wa mabao 2-0.
![](http://2.bp.blogspot.com/-hFn7N-TIpDs/Vgk28TVFmRI/AAAAAAAH7kA/K1oCdmm_ITs/s640/004.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xEE-ZAIXPxA/Vgk28r2xQhI/AAAAAAAH7kI/8cr4I_o8X7g/s640/006.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Lg-_ysSDn3U/Vgk28-zgI6I/AAAAAAAH7kE/xj6QskhRgtU/s640/007.jpg)
11 years ago
GPLAIRTEL, BARAZA LA USALAMA BARABARANI KUHAMASISHA USALAMA BARABARANI MSIMU WA SIKUKUU
10 years ago
GPLWAZIRI WA MAMBO YA NDANI AWAAMBIA MADEREVA CHONDE CHONDE ZINGATIENI SHERIA ZA USALAMA BARABARANI
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Wataka sheria za usalama barabarani kuzingatiwa
BAADHI ya washindi wa pikipiki kutoka promosheni ya Jishindie Bodaboda inayoendeshwa na Kampuni ya Vodacom wamehimiza umuhimu wa vyombo vinavyohusika na usalama barabarani kuchukua hatua za makusudi kuimarisha usalama ili...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-anJearEjYck/XuqIgOroXxI/AAAAAAAAdMs/GO3YmnfiP4gMjmBikfi8qone_Ew1aCiWwCLcBGAsYHQ/s72-c/Usalama-2.jpg)
TUNATAKA MABADILIKO SHERIA YA USALAMA BARABARANI.....!
![Usalama-2 Usalama-2](https://1.bp.blogspot.com/-anJearEjYck/XuqIgOroXxI/AAAAAAAAdMs/GO3YmnfiP4gMjmBikfi8qone_Ew1aCiWwCLcBGAsYHQ/s400/Usalama-2.jpg)
1. KUDHIBITI Mwendokasi (Speed) kwa kuweka alama za mwendo kikomo maeneo yenye halaiki, kama vile sokoni, mashuleni, na mijini; na kuweka tafsiri sahihi ya maana ya maeneo ya makazi.
2. Kuwafanya wote dereva na abiria wa Pikipiki avae Kofia ngumu (helmet), ili abiria asiyevaa kofia na ipo apigwe faini yeye mwenyewe;
3. Kuwafanya abiria wote kwenye gari wafunge mikanda (seat belts) na sio wa siti za mbele tu. Kwani ajali zinapotokea abiria wote wanapata madhara. Sheria itamke wazi kuwa abiria...
11 years ago
MichuziMABASI YA UDA YANAENDESHWA BILA KUZINGATIA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01411.jpg)
FACEBOOK KUTUMIKA KUFUNZA USALAMA BARABARANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvRWzt6-5QqekWpiVoG*ympu4ffG1OGHOVn*6vucEVo1vSHjzvBYxy75oPy89nee2rmsWEF4OP8KoFnp*BJKzR60/001.ROAD.jpg?width=650)
WANANCHI WATAKIWA KUTOA TAARIFA ZA UKIUKAJI WA KANUNI NA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI
11 years ago
MichuziKamanda Mpinga awafunda madereva wa UDA kuzingatia sheria za Usalama barabarani